Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Yaani huu uzi siachagi kuuchungulia. Nachekaga sana comments zilizopo humu.

Mimi bado sijapanda. Ila mwaka huu naapa mbuzi aning'ate lazima nipande. Dar-kia
 
Ije ATC, Azam Airlines kule Fastjet kati Precision patakuwa hapatoshi.
 
Yaani soon JNIA kutakuwa kama Ubungo Bus Terminal. Ndege kibao (Azam, ATC, Fastjet, Community & Presisheniii). Hope wenye hela za mawazo tutakwea mipipa.
 
Lakini perfume zinakatazwa kwenye ma bag madogo (yale ambayo unaingia nayo upande wa abiri) ila ukiweka kwenye mabag makubwa ya nguo, ambayo hulipati hadi ufike, hayo unaweza na hakuna wakukuzuia.
 
Lakini perfume zinakatazwa kwenye ma bag madogo (yale ambayo unaingia nayo upande wa abiri) ila ukiweka kwenye mabag makubwa ya nguo, ambayo hulipati hadi ufike, hayo unaweza na hakuna wakukuzuia.
Zile zinazozidi ML 100 ndio unaweza kuchek in kwenye bag la chini, lakini zile zenye ML 100 and below unabeba kwenye bag lako la mkononi bila tabu
 
Yaani humu watu wanachekesha sijawahi ona loh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ya kupigwa mzinga hata mie nimekutana nayo hapo JNIA 2005. Ushamba ulionipata ni kutojua kufunga mkanda, nilidhani unapita shingoni km wa gari, kumbe ni tofauti kbs. Kweli ushamba mzigo
Bora muelekeze jinsi yankufunga nasi tusije enda kuumbuka bure????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…