Umeona eeh[emoji23] [emoji23] [emoji23]Abiria wa Fastjet full ujuaji, kukoromea wafanyakazi kwa vitu hata visivyo na tija, ukute nauli kalipa 39,000 tu (OFA)
hahahahahahahahahahahahakweli ushamba mzigoMimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...
Hahahaha nimejikuta nacheka kwa sauti lohkuna watu mnaishi,sisi wengine wasindikizaji tu, huko visiwa vya mbali sijui Indonesia mnafuataga nini huko? Uchawi ama?
Dah, eti eeh.Ndege ina utamu wake ila usipande Ethiopia maana mizigo kama fuso