Hahaaa hiii ndo kanuni yangu mie, napanda ndege tu pale ambapo sina jinsi. Zile stress hapana, ndege haizoeleki bhanaDah.....ndani ya ndege iliyo angani ...abiria wengi humuamini Mungu...ikicheza kidogo tu..Mungu hutajwa sana...ukiwa una akili ya kufikiri mbali...kama si lazima ndege usipande....Ni ushauri tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii kaliMimi sikumbuki vizuri,ila nina zaidi ya masaa laki moja hewani
Tutapanda wote kipenzi ili tubalance ushamba..😂Sijui mimi nitapanda ndege lini[emoji55]
Tutapanda wote kipenzi ili tubalance ushamba..😂
Utapanda tu Dear.. ni suala la muda.Sijui mimi nitapanda ndege lini[emoji55]
Subiri uchaguzi uishe mpenzi..😉Hatimae kilio changu kimesikika!
Sasa lini tunasafiri laazizi?
Utapanda tu Dear.. ni suala la muda.
Subiri uchaguzi uishe mpenzi..😉
Hao jamaa hawakufanya analysis kabla ya kufanya maamuzi yao ya kufungia majirani. Sasa inawagharimuKQ bado kifungoni
Jichange mkuuSijui mimi nitapanda ndege lini[emoji55]
nmecheka sanaMimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...