Hahaaaa. utakwea tu kaka. Maana sisi wengine mpaka leo tunaendelea kukwea mapipa ndani na nje kwa hisani ya makampuni tunayofanya kazi na si kwa kulipa nauli zetu toka mfukoni. Hahah[emoji1] [emoji1] [emoji1]Ulinitangulia mwaka, mi nilikuwa mwaka wa pili ila 'Ngwine' mpaka leo sijawahi kupanda ndege...ila mwaka huu ntajitoa kimasomaso japo nikwee Fast Jet