Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Nilipanda pipa kutoka nairobi hadi brazili.. Zaidi ya masaa 14 nipo tu ndani ya Emirates.. Airbus.
Ila kulitokea tatizo nikapata bahati nikahamishiwa business class. Nilipiga mapicha mpaka simu ikajaa.
Fb na instagram walinikoma kabisa.
Ila sipendi usafiri wa ndege
Ila kulitokea tatizo nikapata bahati nikahamishiwa business class. Nilipiga mapicha mpaka simu ikajaa.
Fb na instagram walinikoma kabisa.
Ila sipendi usafiri wa ndege