M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Pamoja na JIWE kubana?Hiyobroute ina abiria wengi sana. Nimeshasafiri nayo zaidi yabmara kumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na JIWE kubana?Hiyobroute ina abiria wengi sana. Nimeshasafiri nayo zaidi yabmara kumi
Emirates From DXB-DAR inayo operate in Boeing 777-ER katk mpangilio ni 3rd Largest Passenger plane in the world after Airbus A380 and Boeing 747-9 Sky QueenHivi kama Emirates hawapati hasara kurusha B787 Direct Dubai-Dar kila siku na abiria wa kuokoteza?
Hao Emirates wajipange ATC wanaichungulia hiyo route kwa jicho angavu. Hiv Walewafanyakazi wa ATC waliokuwa bado Dubai na joburg bado wapo huko?Emirates From DXB-DAR inayo operate in Boeing 777-ER katk mpangilio ni 3rd Largest Passenger plane in the world after Airbus A380 and Boeing 747-9 Sky Queen
Acha kufafanisha Emirates na vitu vingineHao Emirates wajipange ATC wanaichungulia hiyo route kwa jicho angavu. Hiv Walewafanyakazi wa ATC waliokuwa bado Dubai na joburg bado wapo huko?
Emirates wana kitu gani cha ajabuu?🤣ATC kuifananisha na EMIRATE ni sawa na kumfananisha JAY Z au DAVIDO na MSAGA SUMU acheni utani
Fleets to DXB kutoka Tanzania kwa siku nnazozijua ni kama 4 hivi, Emirates Fly Dubai ya DAR, JRO, na ZNZ izo ni kila siku lazima zifanye iyo Route na zinapata Abiria wa kutosha,, nahisi hata ATCL akianza atapata abiria tu kawaida ila hawezi Kushindana na akina Emirates-Fly Dubai izo Kampuni ni kubwa sana mkuuHao Emirates wajipange ATC wanaichungulia hiyo route kwa jicho angavu. Hiv Walewafanyakazi wa ATC waliokuwa bado Dubai na joburg bado wapo huko?
Shime wafanyabiashara kariakoo kuweni wazalendoFleets to DXB kutoka Tanzania kwa siku nnazozijua ni kama 4 hivi, Emirates Fly Dubai ya DAR, JRO, na ZNZ izo ni kila siku lazima zifanye iyo Route na zinapata Abiria wa kutosha,, nahisi hata ATCL akianza atapata abiria tu kawaida ila hawezi Kushindana na akina Emirates-Fly Dubai izo Kampuni ni kubwa sana mkuu
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Huu Uzi ni wa kutolea stress zetu sisi wasafiri wa noah
Mwongo we jamaaMimi sikumbuki vizuri,ila nina zaidi ya masaa laki moja hewani
City Number = Namba ya mjimimi ilikua 2014 dar to mbeya. Nilikua napiga kelele kua Ticket yangu Haina City No. kumbe unapewa City No. pindi napanda.
nilipopanda nikawa nakenua meno kila mtu ananishangaa. alafu nilikua na viroba vya konyag