Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] aligundua?Kuna jamaa yangu nilimlipisha chakula kwenye south African airways.. Dola 50,,ilikuwa safari yake ya kwanza kusafiri na ndege kwenda juu..
Kutokana na ushamba wake wa ndege hakushtuka hilo,,kumbe msosi ni bure kabisa,,
Nilimwambiya lete pesa nikalipe chakula , vinywaji ulivyokula,,,BAHARIA nikala kabinyau...
Hadi Leo tukikutana namzidi maneno,,
Aligunduwa baadae sana,,hadi Leo nikiongea jambo anakaa kimya,,,kkkkkk[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] aligundua?
Bongo Dsalam maeneo ya Kipunguni hiyoMe nilichungulia sana nje, sasahv nimeshazoea...... Hii ni precision air.. Wataalamu location wapi hapo [emoji38]View attachment 1549924
Ndege Tamu ajabuBongo Dsalam maeneo ya Kipunguni hiyo
Umeniwahi! Nilianzia hizi za kijeshi! [emoji23]Ombea usianzie kwenye ndege za jeshi,utajuta! But saiv naona kwaida tu kwenye ndege za aibiria na jeshi pia
Ndege Ni mkusanyiko wa chuma!!!??hakuna usafir wa uhakika duniani siku yako ikiwa imefika chief.hata baiskeli nayo Ni hatari siku ya ajali.Ndege ndio usafiri wa uhakika duniani tofauti na ule mkusanyiko wa mabati na injini pale ubungo
Ulichunguliaje nje? Hayo madirisha yanafunguka?Me nilichungulia sana nje, sasahv nimeshazoea...... Hii ni precision air.. Wataalamu location wapi hapo [emoji38]View attachment 1549924
Surekenya eaweiz wana njaa ova si unaona hata nauli zao za ajabu ajabu