Virusi hawafi, kwanini mashine za kunyoa hazisambazi UKIMWI?

Virusi hawafi, kwanini mashine za kunyoa hazisambazi UKIMWI?

mozeh

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2022
Posts
493
Reaction score
961
Habari zenu wakuu..

Kama kichwa kinavojieleza, kisayansi na kibaiolojia virusi wanasifa ya non living pale wanapokuwa nje ya seli ya kiumbe mwingine(host) na wanaweza kukaa muda mrefu bila kuwa na dalili zote za viumbe hai mpaka pale watapoingia kwenye seli ya kiumbe.

Swali ni vipi HIV virus tunaambiwa haambukizwi kwa mashine za kunyolea saloon kwa kigezo cha kwamba hawawezi kuish katika mashine na ilihali wao ni non living wanapokua nje ya host?

Karibuni wataalam mtujuze katika hili
 
MKUU UNA UHAKIKA MASHINE HAZIAMBUKIZI? UNAJUA KWA NINI WANAFANYA STERILIZATION??
Umeshachunguza ni saloon ngapi zinafanya hyo sterilization??? Mitaani hamna hiyo kitu na wataalam wanatuambia maambukizi yanapungua tofauti na miaka ya nyuma..

Pili turudi kwenye msingi wa mada virus ni non living... je non living wanasifa ya kufa???
 
Jiulize kwanza..., Are Virus Alive ?!!!! (What is not Alive Can Never Die)...

Tukirudi kwenye lecture at hand.., HIV ni weak virus nje ya mwili na ikiwa nje inapoteza 99 percent of its infecting Power ila ipe medium ya Ku-move from point A to B ndio utaona mziki wake...., (Inadanganya mwili wako kutengeneza immunity ya kuwaondoa hao kumbe inawatengeneza HIV zaidi in the end unajimaliza mwenyewe)
 
Mambo mengine naona ni mapenzi ya mola tu kwa viumbe vyake

Mimi sikutegemea kuona COVID inaisha ila eti imeisha, ukitafakari namna COVID inavyosambaa kutoka mtu mmoja kwenda mwingine ni inshu ngumu sana kuepuka.
 
Mambo mengine naona ni mapenzi ya mola tu kwa viumbe vyake
Argument yako ni illogical....

Angewapenda sana angezuia in the first place.., pili kama kifo sio adhabu ni pre-arrange (according to your faith) kwahio unachofanya initially haki-determine final outcome... Kama eventually utakufa (does it mean kwamba hapo ameacha kukupenda?)
Mimi sikutegemea kuona COVID inaisha ila eti imeisha,ukitafakari namna COVID inavyosambaa kutoka mtu mmoja kwenda mwingine ni inshu ngumu sana kuepuka
Ukifuatilia haya mambo ungejua kabisa kilichotokea ndio ambacho kingetokia (immunity kujengwa baada ya mwili kugundua adui zake) sio kwamba COVID imekwisha bali mwili umepata weaponry ya kupambana nayo (na yenyewe mpaka ijipange upya na kurudi kivingine..., Hence the battle continues, and the fittest survive; the weakest perish.... (that's nature for you) inaji-balance yenyewe
 
HIV ni man made viruses, akipigwa na hewa kwa dak moja kwisha ankuwa normal tu
 
Nami napatwa mashaka zaid na hii kitu mzee.. coz uswahilin saloon nying hazina hayo mambo yao ya sterilization na watu hawaambukizani
Kataa kupima uushinde ukimwi. Kamwe usikubali kupima ilimradi uwe na uhakika hauumwi sehemu yoyote usipime! Ukiwa hauumwi halafu ukapima ndio utakuwa mwanzo wa kuumwa. Na hapo ndipo scam ilipoanzia.
 
Argument yako ni illogical....

Angewapenda sana angezuia in the first place.., pili kama kifo sio adhabu ni pre-arrange (according to your faith) kwahio unachofanya initially haki-determine final outcome... Kama eventually utakufa (does it mean kwamba hapo ameacha kukupenda?)

Ukifuatilia haya mambo ungejua kabisa kilichotokea ndio ambacho kingetokia (immunity kujengwa baada ya mwili kugundua adui zake) sio kwamba COVID imekwisha bali mwili umepata weaponry ya kupambana nayo (na yenyewe mpaka ijipange upya na kurudi kivingine..., Hence the battle continues, and the fittest survive; the weakest perish.... (that's nature for you) inaji-balance yenyewe
Mbona miili haijengi immunity ya kaswende?(magwonjwa ya zinaa?).
 
Back
Top Bottom