permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Za kuambiwa changanya na zako.Kuweni wawazi tumechoka kuvaa kondomu semeni ukweli ukimwi upo au haupo..?
Kumbuka jibu lako laweza niponza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za kuambiwa changanya na zako.Kuweni wawazi tumechoka kuvaa kondomu semeni ukweli ukimwi upo au haupo..?
Kumbuka jibu lako laweza niponza!
Mmekuwa na viburi baada ya kuvimbiwa ARV's , ambaye ameexperience wagonjwa WA HIV miaka ya 80 na 90 huko hawezi andika Huu utoto mnaoandika hapa, ni vile Tu mmekulia kwenye neema ARV zimeshaanza kutumika ,watu wengine wanajipima nankuanza kubugia ArVS na miili ina nawiri na risk ya kushambuliwa na magonjwa nyemelezi inapungua Sana , Acha kabisa fanya masihara kwenye issues nyingine Ila si hili suala la HIV , watu walikuwa wanakuwa kama zombiesMkuu umeelezea vema sana nimesoma pia makala moja ya mwamba Dr.Sebi Wa Mexico Inaeleza Hvyo Thabo Mbeki Alishtuka Akawaambia wasouth waache mara moja ARVs wakubwa wakampora uraisi Anyways napiga kambi kwenye huu uzi kuna mafundi sana
Mbona naskia HIV cha mtoto... eti kuna homa ya ini na njia za uambukizaji ni hatari kuliko HIV NA UKIMWI?Mmekuwa na viburi baada ya kuvimbiwa ARV's , ambaye ameexperience wagonjwa WA HIV miaka ya 80 na 90 huko hawezi andika Huu utoto mnaoandika hapa , ni vile Tu mmekulia kwenye neema ARV zimeshaanza kutumika ,watu wengine wanajipima nankuanza kubugia ArVS na miili ina nawiri na risk ya kushambuliwa na magonjwa nyemelezi inapungua Sana , Acha kabisa fanya masihara kwenye issues nyingine Ila si hili suala la HIV , watu walikuwa wanakuwa kama zombies
Acheni kutisha watu! Mainstream Media zimewaharibu sana. AIDS ipo ila haisababishwi na hicho kinachosemwa! Mbona watu wengi siku hizi wanalijua hili? Nyie mnaishi ulimwengu gani?Mmekuwa na viburi baada ya kuvimbiwa ARV's , ambaye ameexperience wagonjwa WA HIV miaka ya 80 na 90 huko hawezi andika Huu utoto mnaoandika hapa , ni vile Tu mmekulia kwenye neema ARV zimeshaanza kutumika ,watu wengine wanajipima nankuanza kubugia ArVS na miili ina nawiri na risk ya kushambuliwa na magonjwa nyemelezi inapungua Sana , Acha kabisa fanya masihara kwenye issues nyingine Ila si hili suala la HIV , watu walikuwa wanakuwa kama zombies
Vijana waliozaliwa miaka ya2000 wakati ARV zimeshaletwa wana tabu sana. Hebu waulizeni Wazazi wenu wawa elezee kuhusisha ukimwi ulivyokuwa unapukutisha. Vijana hawa wangeona wagonjwa wa ukimwi walivyokuwa wanabaki kama katuni wasingeongea utoto eti ukimwi ni hoax,are you serious?Mmekuwa na viburi baada ya kuvimbiwa ARV's , ambaye ameexperience wagonjwa WA HIV miaka ya 80 na 90 huko hawezi andika Huu utoto mnaoandika hapa , ni vile Tu mmekulia kwenye neema ARV zimeshaanza kutumika ,watu wengine wanajipima nankuanza kubugia ArVS na miili ina nawiri na risk ya kushambuliwa na magonjwa nyemelezi inapungua Sana , Acha kabisa fanya masihara kwenye issues nyingine Ila si hili suala la HIV , watu walikuwa wanakuwa kama zombies
Ushajiuliza kwanini mtu ukipima ukaambiwa unaoVijana waliozaliwa miaka ya2000 wakati ARV zimeshaletwa wana tabu sana. Hebu waulizeni Wazazi wenu wawa elements kuhusisha ukimwi ulivyokuwa unapukutisha. Vijana hawa wangeona wagonjwa wa ukimwi walivyokuwa wanabaki kama katuni wasingeongea utoto eti ukimwi ni hoax,are you serious? Mtu alikuwa akimuona mgonjwa wa ukimwi anaapa hatafanya ngono mpaka anaingia kabulini leo hii wengine wanakejeli. Hebu pata ukimwi halafu usitumie ARV uonje ladha ya ukkmy
Ushajiuliza kwann mtu ukipima ukaambiwa unao
Homa ndo zinaanza??Sasa pata ukimwi halafu usipime uone kama utachukua round. Ugonjwa ulipoingia hakuna mtu aliyejua nini kinawaua watu. Watu walikuwa wanakufa hovyo na wala haikujulikana kama kuna Ugonjwa mpya umeingia. Hawa watu HAWAkUPIMWA wala kwenda mahospitalini walifia majumbani ilikuwa taharuki watu walijua wamelogwa sasa niambie kwanini waliugua kwa sababu HAWAkUPIMWA na Hospital hawakukanyaga wala hakujua kuna Ugonjwa mpya umeingia. Ilichukua miaka Ugonjwa kujulikana. bukoba ilielekea kubaki migomba.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kuweni wawazi tumechoka kuvaa kondomu semeni ukweli ukimwi upo au haupo..?
Kumbuka jibu lako laweza niponza!
DYORUkifuatilia kiundani kabisa utakuja kugundua hiv vitu viwili ni tofaut.
UKIMWI/AIDS na HIV/VVU
Yaan wanasema kuwa ili mtu apate ukimwi(upungufu wa kinga mwilini) basi lazima apate kwanza VVU/HIV na baadae kinga zikizorota anapata upungufu wa hizo kinga na kuanza kuugua,
Utata unakuja hapa, ukimchunguza mgonjwa anaesemekana kuugua UKIMWI hutokutana wala kuviona hivyo virusi mwilini mwake, ikimaanisha kuwa hakuna VVU bali kuna magonjwa mengine ya kawaida anayoumwa yamepelekea kinga kuzorota je kilichopelekea aumwe ni nini kama hana virusi?,
Kuna tofaut kubwa sana ya haya mambo, hivyo mnavyoita Virusi vya ukimwi havipo na havitowai kuwepo, Why?
Sababu vipimo vya Ukimwi(AIDS) na Virusi vya ukimwi(HIV) ni tofaut.
Kipimo cha AIDS ama UKIMWI hupima upungufu wa selihai mwilini ambazo uhusika na mapambano dhidi ya magonjwa nyemelezi, iwe homa ama nini, na kipimo cha HIV ama VVU yaan virusi wa ukimwi hiki kinahusika na Kupima uwepo wa hao virus mnaosingizia wanasababisha Ukimwi ama upungufu wa kinga mwilin, maajabu ni kuwa, kwanini ukimpima mtu mwenye upungufu wa kinga mwilini huwezi kumuona akiwa na hivyo virusi? Zaid ya kumuona anaumwa baada ya kinga mwili kupungua je virusi viko wapi mnaanza kusingizia CD4 zake zimeshuka ama kapata upungufu wakinga? Je ni kipi kilichomfanya apate huo upungufu kama virusi havionekani mwilini?.
Jibu unalipata kuwa, hivyo vinavyoitwa virus vya ukimwi ni aina ya selihai ambazo hujigeuza maumbile tofaut na mwanzo ili kupambana na vimelea nyemelezi vya ugonjwa wowote ule, na selihai hizi huzalishwa pale mtu anapokuwa ktk hatar ya kuugua gonjwa lolote liwe la kuambukizwa ama kutokuambukizwa na hata mtu anapokosa lishe kamili, selihai hufanya mageuzi haya ya kujipa nguvu ili kujihami na uvamizi wa vimelea.
Sasa wanasayansi walioamua kuifanya elimu ya matibabu iwe ya kibiashara na ushetan waliamua kuita mageuzi ya selihai hizo yaan selihai mpya kuwa ni kirusi, na kirusi hiki ni haramu hivyo kinasababisha magonjwa,
Wakaamua kufanya hila zaid kwa kuunda njama za tiba dhidi ya kinga ya mwanadamu, yaan unapotumia Dawa za ARV unakuwa unapambana na seli zako mwenyewe kuziangamiza ili zisiwe active kupambana na magonjwa hatimae unakuwa teja wa madawa ambayo endapo utaacha kuyatumia, basi utadhulika na magonjwa nyemelezi, maana kinga hazifanyi kazi tena, So utakufa ama kuugua magonjwa mpka uzirudie ARV, hapo UTU wako unakuwa umekwisha yaan kinga zako zimeshamalizwa na ponapona yako ni kujisalimisha ktk Utumwa wa kutegemea madawa.
Wanasayansi wabobevu wanajua kuwa hakuna kitu kinachoitwa HIV/ Virusi vya ukimwi, HAKUNAAA, maana hata ukiwaomba wakuletee hiyo Original Structure ya huyo kirusi yukoje baada ya kupimwa ktk Microscope, hawatokuonesha YOU KNOW WHY? sababu hayupo, sasa kitu kisichokuwepo kinaweza kuambukiza? Kusambaa? Kuleta madhara? Whts the nonsense waanze kusema Kuna HIV kama icho kirusi chenyewe hakijawai kuonekana wala hakina umbo wala uwepo?[emoji23][emoji23][emoji23]mtachezewa akili.
Wengine tulipoyajua haya tulishaachana na hofu za kijinga wala kuhofia hizo nadharia za kishenzi za hawa madactari wetu uchwara wanaokalili notes bila kuhoji wala kutafiti,
Endapo Tafiti zikifanyika dhidi ya hili gonjwa feki, basi mataifa makubwa mnayoyategemea yatatakiwa kuwekwa kizuizin ama kufunguliwa mashitaka dhidi ya Uhalifu wa afya za watu, pia Malipo na fidia kubwa zitatakiwa kurejeshwa kwa waliodhuliwa na huo uongo, pia sekta ya Afya na matibabu dunian itadharauliwa kwa kuunda uongo unaoangamiza jamii, hapa ndiomaana utaona kila anaejaribu kufichua huo ushenzi, wanammaliza ama kumfungia usajili wa kufanya tafiti, bila kusahau kumkatisha tamaa kupitia propaganda zao za kishetani.
Ukimwi hausababishwi na virusi, na hivyo basi ukimwi utambulike kama idadi ya magonjwa yanayomkumba mtu baada ya kukosa lishe ama kinga zake kuzorota baada ya madhara ya matumizi ya madawa yanayodhuru mwili, iwe ya kulevya ama madawa ya hospitalin.
Na itambulike kuwa, mtu akikosa lishe ataugua na akiugua uo ugonjwa utaitwa ni ukimwi na ukimwi huo hautoweza kuambukizwa kwa njia ya damu wala ngono,
Pia itambulike kuwa mtu akiugua kaswende, kisonono ama Tb huyu tukimpima idadi ya selihai mwilin tutasema anaugua ugonjwa wa kupungua seli(ukimwi)yaan atakuwa anaitwa mgonjwa wa gonjwa ambalo limemsababisha apungukiwe selihai na gonjwa hilo linaweza sababishwa kwa kuambukizana kupitia migusano kama ni(Tb) na gonjwa hilo linaweza kuwa la kuambukizwa kwa ngono kama mtu ameugua(kaswende/U.T.I ama kisonono) hayo magonjwa ya kawaida ya zinaa, hivi ndivyo wahuni waliutunga uongo na kuanzisha nadharia ya UKIMWI[emoji23][emoji23][emoji23].
Hivyo basi nihitimishe kwa kusema, hakuna kiumbe kinachoweza kupretend maisha kwa kujigeuza mfu, huu ushenzi wa kuaminisha watu ufie uko uko vyuoni mnakowadanganya wanafunzi na kuwakalilisha Notes za kishetan ili waje kuwa madactari wanaosapoti ushetan dhidi ya Afya ya mtu.
Kwakweli sio rahisi (hata kwa kusimuliwa) kwa mtu ambaye hakuwepo au alikuwa bado mtoto wkt uo kujua balaa la hili gonjwa. HIV ya miaka ile iliwaondosha mahendisam boy na madada wanguvu na watoto wadogo wengi sana (japo wapo walioweza kusavaivu hadi dawa zilipokuja 2003 km sikosei).Vijana waliozaliwa miaka ya2000 wakati ARV zimeshaletwa wana tabu sana. Hebu waulizeni Wazazi wenu wawa elements kuhusisha ukimwi ulivyokuwa unapukutisha. Vijana hawa wangeona wagonjwa wa ukimwi walivyokuwa wanabaki kama katuni wasingeongea utoto eti ukimwi ni hoax,are you serious? Mtu alikuwa akimuona mgonjwa wa ukimwi anaapa hatafanya ngono mpaka anaingia kabulini leo hii wengine wanakejeli. Hebu pata ukimwi halafu usitumie ARV uonje ladha ya ukkmy
Mkuu naomba unijib maswali haya tafadhali[emoji120][emoji120]Kwakweli sio rahisi (hata kwa kusimuliwa) kwa mtu ambaye hakuwepo au alikuwa bado mtoto wkt uo kujua balaa la hili gonjwa. HIV ya miaka ile iliwaondosha mahendisam boy na madada wanguvu na watoto wadogo wengi sana (japo wapo walioweza kusavaivu hadi dawa zilipokuja 2003 km sikosei). Hali ilitisha sana kiasi hakuna aliyethubutu hata kwenda kupima afya (maana hata ukipima ukakutwa nao, hakukuwa na dawa). Ashukuriwe mke wa rais bush wa marekani na pefpar kuleta dawa kwenye hz nchi zetu masikini. Tuendelee kuomba dawa ya kumaliza hii shida ipatikane.
Dogo hujui chochote ni Bora ukae kimya TuAcheni kutisha watu! Mainstream Media zimewaharibu sana. AIDS ipo ila haisababishwi na hicho kinachosemwa! Mbona watu wengi siku hizi wanalijua hili? Nyie mnaishi ulimwengu gani?
Unafananisha HIV na TB? duh haya bwanaMkuu naomba unijib maswali haya tafadhali[emoji120][emoji120]
Ushawahi kumuona mgonjwa wa TB???
Ukimuona mgonjwa wa TB na wa ukimwi unaweza kuwatofautisha??
Una uhakika gani kilichokua kinapukutisha watu ni ukimwi na sio TB???
Kwann baada ya tiba ya TB kupatikana na idadi ya wanaokufa kwa ukimwi imepungua??
Kwann watu wengi wanaosemekana wana ukimwi wanakufa na magonjwa ya moyo,figo,kisukar,ini n.k ma sio kama zaman???
Ukimwi hausababishwi na virusi, na hivyo basi ukimwi utambulike kama idadi ya magonjwa yanayomkumba mtu baada ya kukosa lishe ama kinga zake kuzorota baada ya madhara ya matumizi ya madawa yanayodhuru mwili, iwe ya kulevya ama madawa ya hospitalin.
Hii kitu ni real na kipo japo sikuwepo miaka hiyo mnayoisemea ila nimeshuhudia huku kwetu hapo 2016 kuna jamaa alikufa kisa kupuuza matumizi ya arvs. Ilikuwaje. Jamaa alikuwa nao ila akapata ajali ya pikipiki akavunjika mguu. Jamaa akakata tamaa akawa anakula dawa za ARVS na za jeraha huku anashushia na bia kama maji.Kwakweli sio rahisi (hata kwa kusimuliwa) kwa mtu ambaye hakuwepo au alikuwa bado mtoto wkt uo kujua balaa la hili gonjwa. HIV ya miaka ile iliwaondosha mahendisam boy na madada wanguvu na watoto wadogo wengi sana (japo wapo walioweza kusavaivu hadi dawa zilipokuja 2003 km sikosei).
Hali ilitisha sana kiasi hakuna aliyethubutu hata kwenda kupima afya (maana hata ukipima ukakutwa nao, hakukuwa na dawa). Ashukuriwe mke wa rais bush wa marekani na pefpar kuleta dawa kwenye hz nchi zetu masikini.
Tuendelee kuomba dawa ya kumaliza hii shida ipatikane.
Na hatupimi sasa tuona kama mtafanikiwa kwenye hiyo biashara.Dogo hujui chochote ni Bora ukae kimya Tu