Ukifuatilia kiundani kabisa utakuja kugundua hiv vitu viwili ni tofaut.
UKIMWI/AIDS na HIV/VVU
Yaan wanasema kuwa ili mtu apate ukimwi(upungufu wa kinga mwilini) basi lazima apate kwanza VVU/HIV na baadae kinga zikizorota anapata upungufu wa hizo kinga na kuanza kuugua,
Utata unakuja hapa, ukimchunguza mgonjwa anaesemekana kuugua UKIMWI hutokutana wala kuviona hivyo virusi mwilini mwake, ikimaanisha kuwa hakuna VVU bali kuna magonjwa mengine ya kawaida anayoumwa yamepelekea kinga kuzorota je kilichopelekea aumwe ni nini kama hana virusi?,
Kuna tofaut kubwa sana ya haya mambo, hivyo mnavyoita Virusi vya ukimwi havipo na havitowai kuwepo, Why?
Sababu vipimo vya Ukimwi(AIDS) na Virusi vya ukimwi(HIV) ni tofaut.
Kipimo cha AIDS ama UKIMWI hupima upungufu wa selihai mwilini ambazo uhusika na mapambano dhidi ya magonjwa nyemelezi, iwe homa ama nini, na kipimo cha HIV ama VVU yaan virusi wa ukimwi hiki kinahusika na Kupima uwepo wa hao virus mnaosingizia wanasababisha Ukimwi ama upungufu wa kinga mwilin, maajabu ni kuwa, kwanini ukimpima mtu mwenye upungufu wa kinga mwilini huwezi kumuona akiwa na hivyo virusi? Zaid ya kumuona anaumwa baada ya kinga mwili kupungua je virusi viko wapi mnaanza kusingizia CD4 zake zimeshuka ama kapata upungufu wakinga? Je ni kipi kilichomfanya apate huo upungufu kama virusi havionekani mwilini?.
Jibu unalipata kuwa, hivyo vinavyoitwa virus vya ukimwi ni aina ya selihai ambazo hujigeuza maumbile tofaut na mwanzo ili kupambana na vimelea nyemelezi vya ugonjwa wowote ule, na selihai hizi huzalishwa pale mtu anapokuwa ktk hatar ya kuugua gonjwa lolote liwe la kuambukizwa ama kutokuambukizwa na hata mtu anapokosa lishe kamili, selihai hufanya mageuzi haya ya kujipa nguvu ili kujihami na uvamizi wa vimelea.
Sasa wanasayansi walioamua kuifanya elimu ya matibabu iwe ya kibiashara na ushetan waliamua kuita mageuzi ya selihai hizo yaan selihai mpya kuwa ni kirusi, na kirusi hiki ni haramu hivyo kinasababisha magonjwa,
Wakaamua kufanya hila zaid kwa kuunda njama za tiba dhidi ya kinga ya mwanadamu, yaan unapotumia Dawa za ARV unakuwa unapambana na seli zako mwenyewe kuziangamiza ili zisiwe active kupambana na magonjwa hatimae unakuwa teja wa madawa ambayo endapo utaacha kuyatumia, basi utadhulika na magonjwa nyemelezi, maana kinga hazifanyi kazi tena, So utakufa ama kuugua magonjwa mpka uzirudie ARV, hapo UTU wako unakuwa umekwisha yaan kinga zako zimeshamalizwa na ponapona yako ni kujisalimisha ktk Utumwa wa kutegemea madawa.
Wanasayansi wabobevu wanajua kuwa hakuna kitu kinachoitwa HIV/ Virusi vya ukimwi, HAKUNAAA, maana hata ukiwaomba wakuletee hiyo Original Structure ya huyo kirusi yukoje baada ya kupimwa ktk Microscope, hawatokuonesha YOU KNOW WHY? sababu hayupo, sasa kitu kisichokuwepo kinaweza kuambukiza? Kusambaa? Kuleta madhara? Whts the nonsense waanze kusema Kuna HIV kama icho kirusi chenyewe hakijawai kuonekana wala hakina umbo wala uwepo?[emoji23][emoji23][emoji23]mtachezewa akili.
Wengine tulipoyajua haya tulishaachana na hofu za kijinga wala kuhofia hizo nadharia za kishenzi za hawa madactari wetu uchwara wanaokalili notes bila kuhoji wala kutafiti,
Endapo Tafiti zikifanyika dhidi ya hili gonjwa feki, basi mataifa makubwa mnayoyategemea yatatakiwa kuwekwa kizuizin ama kufunguliwa mashitaka dhidi ya Uhalifu wa afya za watu, pia Malipo na fidia kubwa zitatakiwa kurejeshwa kwa waliodhuliwa na huo uongo, pia sekta ya Afya na matibabu dunian itadharauliwa kwa kuunda uongo unaoangamiza jamii, hapa ndiomaana utaona kila anaejaribu kufichua huo ushenzi, wanammaliza ama kumfungia usajili wa kufanya tafiti, bila kusahau kumkatisha tamaa kupitia propaganda zao za kishetani.
Ukimwi hausababishwi na virusi, na hivyo basi ukimwi utambulike kama idadi ya magonjwa yanayomkumba mtu baada ya kukosa lishe ama kinga zake kuzorota baada ya madhara ya matumizi ya madawa yanayodhuru mwili, iwe ya kulevya ama madawa ya hospitalin.
Na itambulike kuwa, mtu akikosa lishe ataugua na akiugua uo ugonjwa utaitwa ni ukimwi na ukimwi huo hautoweza kuambukizwa kwa njia ya damu wala ngono,
Pia itambulike kuwa mtu akiugua kaswende, kisonono ama Tb huyu tukimpima idadi ya selihai mwilin tutasema anaugua ugonjwa wa kupungua seli(ukimwi)yaan atakuwa anaitwa mgonjwa wa gonjwa ambalo limemsababisha apungukiwe selihai na gonjwa hilo linaweza sababishwa kwa kuambukizana kupitia migusano kama ni(Tb) na gonjwa hilo linaweza kuwa la kuambukizwa kwa ngono kama mtu ameugua(kaswende/U.T.I ama kisonono) hayo magonjwa ya kawaida ya zinaa, hivi ndivyo wahuni waliutunga uongo na kuanzisha nadharia ya UKIMWI[emoji23][emoji23][emoji23].
Hivyo basi nihitimishe kwa kusema, hakuna kiumbe kinachoweza kupretend maisha kwa kujigeuza mfu, huu ushenzi wa kuaminisha watu ufie uko uko vyuoni mnakowadanganya wanafunzi na kuwakalilisha Notes za kishetan ili waje kuwa madactari wanaosapoti ushetan dhidi ya Afya ya mtu.