Virusi vipya ambavyo vinaweza kusababisha mlipuko duniani vyagunduliwa China

Virusi vipya ambavyo vinaweza kusababisha mlipuko duniani vyagunduliwa China

Ukitaka kujua kama ngurue ni haram chukua kipande cha nyama yake ingiza kwenye chombo, ingiza Coca-Cola thn iache kama daika 45, utakachokikuta humo huzoweza kumla tena huyo mdudu
Kama uko maeneo ya joto kama dar fanya ivi agiza Serengeti lager ya baridi na Kilo moja ya Mdudu na Ugali kidogo afu uje kuleta mrejesho apa
 
Ukitaka kujua kama ngurue ni haram chukua kipande cha nyama yake ingiza kwenye chombo, ingiza Coca-Cola thn iache kama daika 45, utakachokikuta humo huzoweza kumla tena huyo mdudu

Mkuu mbona mtume aliruhusu kumla kitimoto kama kukiwa na dharula....kwahiyo uharamu wa kitimoto unaisha kwny dharula
 
Mzigo mpya umeingia.ngoja Merinda Gates atatubiriaje Africa msimu huu!!!
 
Ukitaka kujua kama ngurue ni haram chukua kipande cha nyama yake ingiza kwenye chombo, ingiza Coca-Cola thn iache kama daika 45, utakachokikuta humo huzoweza kumla tena huyo mdudu
Hata bata pia haramu.
 
Ukitaka kujua kama ngurue ni haram chukua kipande cha nyama yake ingiza kwenye chombo, ingiza Coca-Cola thn iache kama daika 45, utakachokikuta humo huzoweza kumla tena huyo mdudu
Nawashangaa wanaosema nguruwe ni haramu wakati nao wanakula sungura, bata, ng'amia , wanazinzi, wanaseng'enya, wanabagua, wanafuga majini, wanapiga bao, na bado wanajiisi wapo harari kumbe wao nao wapo njia moja tu wala nguruwe
 
Nawashangaa wanaosema nguruwe ni haramu wakati nao wanakula sungura, bata, ng'amia , wanazinzi, wanaseng'enya, wanabagua, wanafuga majini, wanapiga bao, na bado wanajiisi wapo harari kumbe wao nao wapo njia moja tu wala nguruwe
Kufanya yote hayo hakumhalalishii anaye yafanya kua yupo sahihi

Mnakwamia wapi ?!
 
Back
Top Bottom