Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Kama uko maeneo ya joto kama dar fanya ivi agiza Serengeti lager ya baridi na Kilo moja ya Mdudu na Ugali kidogo afu uje kuleta mrejesho apaUkitaka kujua kama ngurue ni haram chukua kipande cha nyama yake ingiza kwenye chombo, ingiza Coca-Cola thn iache kama daika 45, utakachokikuta humo huzoweza kumla tena huyo mdudu
MKUU kwan c wametolea maelezo hapo ?!China watupe break sasa khaa yani kila kukicha wao wanashinda Lab kutengeneza Virus
Ukitaka kujua kama ngurue ni haram chukua kipande cha nyama yake ingiza kwenye chombo, ingiza Coca-Cola thn iache kama daika 45, utakachokikuta humo huzoweza kumla tena huyo mdudu
[emoji23] [emoji23]Hii Waarabu na Waislam haiwahusu
mimi Pork ntapiga tu na nyungu ntapiga
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Binadam hamuishi wivu usio na maana.
We umeona haram piga kimya, ile kitu hujawai ionja wewe.[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahahaha, ana vimelea mkuuKama uko maeneo ya joto kama dar fanya ivi agiza Serengeti lager ya baridi na Kilo moja ya Mdudu na Ugali kidogo afu uje kuleta mrejesho apa
Dahhh
[emoji3][emoji3][emoji3]Kama uko maeneo ya joto kama dar fanya ivi agiza Serengeti lager ya baridi na Kilo moja ya Mdudu na Ugali kidogo afu uje kuleta mrejesho apa
Mkuu mbona mtume aliruhusu kumla kitimoto kama kukiwa na dharula....kwahiyo uharamu wa kitimoto unaisha kwny dharula
Mtume gani mkuu?
Muhammad
Hata bata pia haramu.Ukitaka kujua kama ngurue ni haram chukua kipande cha nyama yake ingiza kwenye chombo, ingiza Coca-Cola thn iache kama daika 45, utakachokikuta humo huzoweza kumla tena huyo mdudu
Nipe aya ktk kitabu cha Qur-an kimeongea kama ulivyosema, kama huna basi hayo itakua hayo ni yako mkuu
Nipe aya ktk kitabu cha Qur-an kimeongea kama ulivyosema, kama huna basi hayo itakua hayo ni yako mkuu
Nawashangaa wanaosema nguruwe ni haramu wakati nao wanakula sungura, bata, ng'amia , wanazinzi, wanaseng'enya, wanabagua, wanafuga majini, wanapiga bao, na bado wanajiisi wapo harari kumbe wao nao wapo njia moja tu wala nguruweUkitaka kujua kama ngurue ni haram chukua kipande cha nyama yake ingiza kwenye chombo, ingiza Coca-Cola thn iache kama daika 45, utakachokikuta humo huzoweza kumla tena huyo mdudu
Kufanya yote hayo hakumhalalishii anaye yafanya kua yupo sahihiNawashangaa wanaosema nguruwe ni haramu wakati nao wanakula sungura, bata, ng'amia , wanazinzi, wanaseng'enya, wanabagua, wanafuga majini, wanapiga bao, na bado wanajiisi wapo harari kumbe wao nao wapo njia moja tu wala nguruwe
imeswmaje ?!.....Kasome Surah Al-Maidah 5:3-5