Ukitaka kujua kama ngurue ni haram chukua kipande cha nyama yake ingiza kwenye chombo, ingiza Coca-Cola thn iache kama daika 45, utakachokikuta humo huzoweza kumla tena huyo mdudu
Kweli jamii forum Kuna wakati baadhi ya members wake hujitoa ufahamu kabisa . Mkuu ivi kweli unaamini Gastric juice Ni sawa na coca cola ?
Duuuhhh story za kijiweni ni mbaya Sana . Fact za watoto wa darasa la nne na nadharia za wasabato zinaenda na wengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]