Visa na matukio (adventures) binafsi niliopitia maishani

Laana sumakha we jamaa🤣
 
Kwa hiyo hata siku akiamua amle mama yake mzazi sawa tu kwa sababu itaingia huyo mshenzi kamkosea sana mjomba wake
Teh teh teh teh. Sasa ndugu yangu,iwe mtoto,hana adabu. Mwanamke,ndo kabisaaaa, hamnamo. Hapo wa kumlaumu ni nani sasa!
Ukikosea kuoa,ndo kwishnei. Itakuwa ya yale mhindi Boss wa juma,alietaka kuongalia mhogo John alioiba jikoni kwake.
Kwanza ukiona mwanamke ana mazoea ya kijinga jinga na marafiki zako au badhi ya ndugu,aise. Labda tu uanze kujifunza kukubaliana na hali halisi.
Sasa, mama yake ndo kitu gani?! Wakati siku hizi unashangaa eti mwanaume kazaa no mtoto wake wa kumzaa kabisa!

Hii dunia ya leo na uzao wake,iacheni tu. Utaishia bumbuwazi,suruhu ndo basi.
 


Uko na fideo tuone 😄
 

Takuja kuliwa tunu ya taifa kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…