Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MWISHO
Ukiwa kipande nyingine nitag mkuu nmependa story zakoUzi wangu lakini naanza kuuogopa. Naumwa nikikaa vizuri ntaandika.ila nikiendeleza tu baadaye kichwa kinanitesa sana
Huyu jamaa huwa hamalizi story zake, hii ni kwaida yake siku zoteKm unanzishaga uzi afu unashindwa kumalzia n bora ungeacha mana unaua VIBE.!
Mungu akuponye chizi maarifa utuletee muendelezo
Kasema kila akiandika hii story jioni hua anaumwa Sana kichwa.Kwan anaumwaaaaa???
Duh!Kasema kila akiandika hii story jioni hua anaumwa Sana kichwa.
Angel ebu tulia basi ndio unamkimbiza kuwa kama mimi kapoleIla huyu Chizi Maarifa amezoea sana kuanzisha stories halafu akaacha hamalizii. Sijui tukache kusoma mistori yake. Laziim atatafuta tu sababu ya kutuacha kwenye mataa. Sio poa yaani
Tupo woteOk. Huu nipo nao tayari.
Pamoja na ule wa Khumbu...toto la kizulu lilomchanganya Konda Msafi
Mkuu mbona PM zangu nawe hujibu na hujawahi nijibu?Mimi nadhani kama una nia ya dhati ya kumsaidia mtu utamsaidia tu, sababu anachofanya ni maamuzi yake na sio yako, pia kiuhalisia unatakiwa kumpa namna ya kufika huko kwa mtaalam husika na yeye ndio atachagua mwenyewe, na sio unaanza kumpa tahadhari ambazo hazina msingi, mimi nadhani ni mmoja wa watu ambao niliwahi kukuomba connection lakini hukunipa na sidhani hata msg yangu ulijibu, embu mwisho wa siku tuache unafiki, mtu akikuomba kitu kama hutaki sema sitaki kukupa, sio unazunguka zunguka na kutoa vitisho na tahadhari ..kwani anayeamua kufuata hio njia hajui? Anyway ni makavu laivu nakupa mzee baba, na wengine wenye tabia kama yako, nimepata shida kupata connection lakini kuna wenye nia ya dhati ambao wamenisaidia.
Jukwaa la usiku nalo limepoa bro raia hawaonekani... Ikifika saa11 ndo wanajitokezaYani hakuna kitu kinatesa kama Arosto za hizi stori. Mr Khumbu nae kachomoa kule mpaka kesho huku nako bilabila.
Ngoja nisubiri muda wa lindo kwenye jukwaa la usiku wa manane
Wakongwe tupoJukwaa la usiku nalo limepoa bro raia hawaonekani... Ikifika saa11 ndo wanajitokeza
WapoWakongwe tupo
Kasema kila akiandika hii story jioni hua anaumwa Sana kichwa.