Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Yani hakuna kitu kinatesa kama Arosto za hizi stori. Mr Khumbu nae kachomoa kule mpaka kesho huku nako bilabila.

Ngoja nisubiri muda wa lindo kwenye jukwaa la usiku wa manane
 
Mimi nadhani kama una nia ya dhati ya kumsaidia mtu utamsaidia tu, sababu anachofanya ni maamuzi yake na sio yako, pia kiuhalisia unatakiwa kumpa namna ya kufika huko kwa mtaalam husika na yeye ndio atachagua mwenyewe, na sio unaanza kumpa tahadhari ambazo hazina msingi, mimi nadhani ni mmoja wa watu ambao niliwahi kukuomba connection lakini hukunipa na sidhani hata msg yangu ulijibu, embu mwisho wa siku tuache unafiki, mtu akikuomba kitu kama hutaki sema sitaki kukupa, sio unazunguka zunguka na kutoa vitisho na tahadhari ..kwani anayeamua kufuata hio njia hajui? Anyway ni makavu laivu nakupa mzee baba, na wengine wenye tabia kama yako, nimepata shida kupata connection lakini kuna wenye nia ya dhati ambao wamenisaidia.
Mkuu mbona PM zangu nawe hujibu na hujawahi nijibu?
 
Yani hakuna kitu kinatesa kama Arosto za hizi stori. Mr Khumbu nae kachomoa kule mpaka kesho huku nako bilabila.

Ngoja nisubiri muda wa lindo kwenye jukwaa la usiku wa manane
Jukwaa la usiku nalo limepoa bro raia hawaonekani... Ikifika saa11 ndo wanajitokeza
 
Back
Top Bottom