Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Yani hakuna kitu kinatesa kama Arosto za hizi stori. Mr Khumbu nae kachomoa kule mpaka kesho huku nako bilabila.

Ngoja nisubiri muda wa lindo kwenye jukwaa la usiku wa manane
 
Mkuu mbona PM zangu nawe hujibu na hujawahi nijibu?
 
Yani hakuna kitu kinatesa kama Arosto za hizi stori. Mr Khumbu nae kachomoa kule mpaka kesho huku nako bilabila.

Ngoja nisubiri muda wa lindo kwenye jukwaa la usiku wa manane
Jukwaa la usiku nalo limepoa bro raia hawaonekani... Ikifika saa11 ndo wanajitokeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…