Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

@Chizi Maarifa asante sana ili usiwe unatuacha hvyo mda mrefu
 
Jimena , mamiloo muendelezo tayari
T11 chizi njoo pande hizi
 
Na jitahidi kurecall ni mkuu gani wa polisi alifariki kipindi kile bado jina haliji. Ila hiyo story ya hawa vijana kudandiwa huko uchinani naipata kWa kiasi chake. Na hata yule artist ya tanga nasikia alikuwepo
 
Na jitahidi kurecall ni mkuu gani wa polisi alifariki kipindi kile bado jina haliji. Ila hiyo story ya hawa vijana kudandiwa huko uchinani naipata kWa kiasi chake. Na hata yule artist ya tanga nasikia alikuwepo
Walimtanga kidogo sana akapotea huyu jamaa story yake ya kweli maana hiki kipande nakifaham vzur mzee magu ndio kaukata mzizi na shina lake sasa hv hakunaga biashara hzo si wakubwa si wadogo
 
Aisee hiyo ndumba ni nzuri nikiipata na ingia benki mchana kweupe na jichotea mkwanza kiulaiiiini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…