Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Walimtanga kidogo sana akapotea huyu jamaa story yake ya kweli maana hiki kipande nakifaham vzur mzee magu ndio kaukata mzizi na shina lake sasa hv hakunaga biashara hzo si wakubwa si wadogo
Usidanganyike mzee hiyo biz ipo tena Sana tu. Kilichofanyika ni shake up ya madealers wa zamani then wa kaingia wapya. Au naishi mtaa gani ndugu yangu ambao hauna mateja. Unadhani wanapata wapi ngada hao mateja. Ngada ipo tena ipo sna tu. Sema madila ndio wapya.
Hata hao Mataifa makubwa Wameshindwa hii biz maana mpunga wake si wanchi hii.
 
Walimtanga kidogo sana akapotea huyu jamaa story yake ya kweli maana hiki kipande nakifaham vzur mzee magu ndio kaukata mzizi na shina lake sasa hv hakunaga biashara hzo si wakubwa si wadogo
Shame on u!!eti sasa hivi hakunaga biashara hiyo?!!hiyo repoti ya USA, ya mwaka jana hukuiona juu ya lango la kupitishia madawa ya kulevya ni dar?!!mbona watu wanatumia tu, sema imepungua sio kuisha?!!duniani wapi wamefanikiwa kuitokomeza, huko uarabuni kwenyewe kwenye adhabu za kuuawa bado inafanyika sembuse huku?!!
 
Chizi Maarifa tunaomba muendelezo basi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…