Visa nilivyokutana navyo, baada ya kumtembelea rafiki yangu mpenda matatizo

Visa nilivyokutana navyo, baada ya kumtembelea rafiki yangu mpenda matatizo

Intelligent businessman

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
31,913
Reaction score
65,514
Mimi intelli Kama nijulikanavyo ni mzee wa kauli ya "I mean no malice to nobody" - ila nilijuta Baada ya kwenda kumtembelea Jamaa yangu wa mkoa fulani.

Aisee Kuna watu wanapenda Shari na ugomvi Kama vile ni chakula, nami nikaona SI mbaya nikishare nanyi niliyo yaona huko. Namnukuu

Kisa Cha kwanza-01
Ila jaman hawa wapangaji wenzangu wa mwisho wa reli wamezidi,khaaaa nimewavulieni kofiaaa 😂😂😂
Jana saa saba usiku kapokelewa mwingine kaja na basi la Adventure ko jumla wamefikia 18,sasa wakati anaingia si nikaguna weeeee wacha nichezee mitusi 😂😂.Naambiwa dume zima silali nafuatilia mambo ya watu.

Lakini jamani nyie wenyewe fikirieni,watu 18 chumba kimoja 😳.Asubuhi sasa wakiwa wanatoka nje weee unaweza sema basi la kigango cha mtakatifu mama jusi wa mashariki linashusha wanakwaya 😂😂

Huyo mmoja ndo anajifanya kimbele mbele kila akiniona ananisonya.Na kidevu chake kirefu utadhani karani wa TANU.

Usiku sasa wakiwa wamelala joto,hawana feni basi kila mtu anajipepea na kipande cha box,hizo kelele unaweza hisi kiwanda cha karatasi kipo chumbani.

Sasa hivi wamejazana hapa uwani wananisikilizia niropoke wanidunde,na mie nimejikausha kimyaaaa nakula zangu chips kuku na pepsi mbembeni huku najiimbia ule wimbo baby punguza raha nakuwa chibonge nanenepaaa😊.Najua roho zinawauma ukizingatia jioni niliona walibandika dagaa na niliwatia michanga 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
FB_IMG_16849429517731690.jpg
 
Mimi intelli Kama nijulikanavyo ni mzee wa kauli ya "I mean no malice to nobody" - ila nilijuta Baada ya kwenda kumtembelea Jamaa yangu wa mkoa fulani.

Aisee Kuna watu wanapenda Shari na ugomvi Kama vile ni chakula, nami nikaona SI mbaya nikishare nanyi niliyo yaona huko. Namnukuu

Kisa Cha kwanza-01
Ila jaman hawa wapangaji wenzangu wa mwisho wa reli wamezidi,khaaaa nimewavulieni kofiaaa 😂😂😂
Jana saa saba usiku kapokelewa mwingine kaja na basi la Adventure ko jumla wamefikia 18,sasa wakati anaingia si nikaguna weeeee wacha nichezee mitusi 😂😂.Naambiwa dume zima silali nafuatilia mambo ya watu.

Lakini jamani nyie wenyewe fikirieni,watu 18 chumba kimoja 😳.Asubuhi sasa wakiwa wanatoka nje weee unaweza sema basi la kigango cha mtakatifu mama jusi wa mashariki linashusha wanakwaya 😂😂

Huyo mmoja ndo anajifanya kimbele mbele kila akiniona ananisonya.Na kidevu chake kirefu utadhani karani wa TANU.
Usiku sasa wakiwa wamelala joto,hawana feni basi kila mtu anajipepea na kipande cha box,hizo kelele unaweza hisi kiwanda cha karatasi kipo chumbani.

Sasa hivi wamejazana hapa uwani wananisikilizia niropoke wanidunde,na mie nimejikausha kimyaaaa nakula zangu chips kuku na pepsi mbembeni huku najiimbia ule wimbo baby punguza raha nakuwa chibonge nanenepaaa😊.Najua roho zinawauma ukizingatia jioni niliona walibandika dagaa na niliwatia michanga 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
View attachment 2639229
naona umechili geto la wandago
 
Kisa Cha 2.- Jamaa na mama mwenye nyumba.

Jamani wapangaji wenzangu wenye uadilifu uliotukuka naombeni mnishauri.Hivi kosa langu hapa lipo wapi?Kupiga machata na spray kwenye nyumba ili ipendeze ndio kosa😳?
Huyu mama wa kipemba ananitafuta nini mie jaman,au kashaniona bwege kisa tangu nihamie kwenye nyumba yake sijafanya tukio lolote?

Sasa ameyakanyaga,atajuta kunipangisha 😏
FB_IMG_16853629642862731.jpg
 
SHULE ZIMEFUNGWA LAST WEEK. MAANA NAONA SASA HUMU MABINTI MLIOKUWA SHULE SASA MPO FREE. WEWE LAST WEEK ULIKUWA NA BIRTHDAY UKAJA TANGAZA HUMU LEO.... KWELI KAZi IPO. HALAFU HUJUI KUANDIKA BUSINESSWOMAN UMEANDIKA MAN. WAKATI WEWE... TURUDIE NI MWANAMKE.
 
Mwanaume unaandika kama mwanamke.

Halafu hueleweki unachooandika na unalenga nini.

Hovyoooo
 
Back
Top Bottom