Visa nilivyokutana navyo, baada ya kumtembelea rafiki yangu mpenda matatizo

Humo humo ndani mnasajili na laini
 
Unajitumia msg
 
We nawe uko obsessed sana na mimi looh. Punguza shobo hizo kidogo basi
 
Wewe ni KE??
 
' I mean no malice to anybody' halafu unatia dagaa za watu mchanga?!
 
We nawe uko obsessed sana na mimi looh. Punguza shobo hizo kidogo basi
Naona wewe ndo upo obsessed maana unajichomeka hata ambapo hapakuhusu. Niambie wapi mimi hata nimekutag au kukutaja? Nyie wengine kwa nini hamkupewa akili? Mtu hata sikujui na wala sijakutaja popote unajileta leta tu. Mnatafuta mabwana humu? Wewe siyo type yangu. So please stay away from me. Sijakugusa unajileta leta tu kilevi...
 
trudie hili Jamaa linakupendaga Sanaa😂😂😂, mpaka nakasirika Kama mbwehaaa😂😂
 
Niwe obsessed na wewe chizi unayejizushia visa kila kukicha si nitakuwa na shida. Hivi kati ya mimi na wewe nani hakupewa akili?? We dada hebu punguza spidi hiyo nitakuwaje type yako wakati wewe ni Chizi?? Eti sio type yangu ya nyoko narudia tena acha shobo.
 
But ni wewe unayenifata fata na kuni tag. Mimi hata jina lako silifahamu. Sasa wapi tena nimekuzushia au ni hayo matege sasa ukitembea unahisi kila mtu akicheka anakucheka wewe? Mimi hata sikufahamu.
 
Halafu anasema eti hajanitaja mimi ndio najipeleka kwake eti nipo obsessed nae hahahaaa....sio mzima kabisa.
Nadhani una stress au umepanic sana. Nioneshe nilipokutaja. Utakuwa na tatizo na hujiamini. Maana sijawahi kukutaja ika unajishtukia. Sasa unajisemesha kwa IDs zako zote mbili. Why? Ndo mambo ya kuachiwa mtoto peke yako? Just calm down muombe Mungu unaweza pata mwanaume mwingine akakuzalisha tena.... Usikate tamaa. Na huna sababu ya kunichukia... Mimi hata jina lako silifahamu ila naona wewe unanijua sana kwa jina.... Na nyuzi unasema nazusha visa ... Unafuatilia...😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…