Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Nina marafiki zangu wale wa tuma elfu 14000 tuma na majina yako matatu jina la baba na jina la mama.

Hahahah ni shida wakimpiga mtu huwa tunazitumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahaahha kama nakuona hapo. Eti simba Hotel umenikimbusha mbalii ni jirani na kwangu hahahahhahaha
 
Na mm nilishawahi kutapeliwa pale ubungo nakumbuka nilitoka kukata tiketi ya kurudi shule mbeya natoka nakutana na teja teja fulani kabeba simu nzuri kabisa aiseee. Ananiomba kuwa yuko alosto nimsaidie akazimue anajisikia vibaya. Basi nilikua na shoga angu akasema nunua tuu hela yenyewe ndogo si tumeshakata tiketi simu kama hyo madukani utapata kwa hela hyo wapi??? Basi ndo kumpa hela sijui hata walibadilisha saa ngapi na akili sijui zilipotea saa ngapi maana hata ku reason hatu ku reason, alinipa kibahasha kimefungwa ila shape ni kama simu!!! heee si akasepa na sisi tukasema tusogee mbele tukafungulie kule lahaulaaa kufungua sabuni hiyooooo Isopooo mweee. Sikucheka wala kulia ila nilikenua tuu haieleweki ni kicheko au kilio maana hela ya pocket money ndo nshaipoteza hivyooo.
 
[emoji23][emoji23] huu uzi nimecheka kama mwehu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Hahahahajahaha uwiiii kuna ndugu yangu aliuziwa simu bovu ubungo jaman khaaa aliumwa week nzima hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Im sorry to say this! Kumtampeli muhindi na mzungu hakunaga zambi. [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] Hii unaongoza ligi bro!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23] huu uzi nimecheka kama mwehu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahajahaha uwiiii kuna ndugu yangu aliuziwa simu bovu ubungo jaman khaaa aliumwa week nzima hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa mwaka 2006 wakati huo blackberry ndio simu za bei ghali hasa,... Kwenye gari niko na wavimba macho watatu, dereva mimi, tunatokea Mwenge tunaenda Moro
Kufika kwenye foleni ya ubungo akaja kwenye dirisha la gari mtu kama kibaka akaichomoa ile simu mfukoni na kuwaonesha wavimba macho basi mmoja akafungua kioo na kuuliza shngapi? Kibaka akasema laki 2... Mchina akasema hamsini basi wakawa wanavutana bei kumbe yule tapeli alikuwa anataimu taa
Magari yaliporuhusiwa akajifanya shingo upande kakubali ile hamsini.... Mchina akatoa hela akakabidhiwa simu yake tukatembea.... Tunafika usawa wa tanesco nilisikia tu misonyo na na matusi ya kichina... Haikuwa simu bali kipande cha sabuni kwenye housing ya BB

Jr[emoji769]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…