Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Na mm nilishawahi kutapeliwa pale ubungo nakumbuka nilitoka kukata tiketi ya kurudi shule mbeya natoka nakutana na teja teja fulani kabeba simu nzuri kabisa aiseee. Ananiomba kuwa yuko alosto nimsaidie akazimue anajisikia vibaya. Basi nilikua na shoga angu akasema nunua tuu hela yenyewe ndogo si tumeshakata tiketi simu kama hyo madukani utapata kwa hela hyo wapi??? Basi ndo kumpa hela sijui hata walibadilisha saa ngapi na akili sijui zilipotea saa ngapi maana hata ku reason hatu ku reason, alinipa kibahasha kimefungwa ila shape ni kama simu!!! heee si akasepa na sisi tukasema tusogee mbele tukafungulie kule lahaulaaa kufungua sabuni hiyooooo Isopooo mweee. Sikucheka wala kulia ila nilikenua tuu haieleweki ni kicheko au kilio maana hela ya pocket money ndo nshaipoteza hivyooo.
Lakini si mbaya ulipata sabuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa yangu mmoja alipigwa hii na malaya villa mwanza.

Katoka North mara, tuko tunacheck band pale, mara akapita mwanamke mmoja hata kama umekaa na Beyonce meza moja lazima ugeuke. Jamaa mate yakamtoka, akamvuta mezani. Mida ya saa 5 dem anataka akale, sasa namuambia msosi hapa si upo akasema anataka twende salma cone ndio kuna mishkaki mizuri. Basi, K zinanguvu, tukaondoka kuelekea salma cone. Njiani dem akasema anataka apite kwake abadili nguo ili awe huru. Kwake anasema anaishi Mkolani.. (Dah, hii route kwa watu wa mwanza nadhani mnanielewa). Nikamwambia mbona mbali sana.. Sasa sbb dem alikuwa mbele na jamaa ndio anadrive, naona alizidiwa nguvu akiweka gia mkono unagusa paja..

Mwana akasema twende tu, akipitia crdb ya Pale lapf safari ikaanza. Kufika mkolani, tukasimamishiwa lodge. Nikamuuliza ndio hapa, dem akasema ndio hapa, amekuja kwenye semina na amefikia hapa. Nikahisi hapa ipo namna. Sbb mtu kichwa kidogo kishasimama kikubwa hakifanyi kazi.

Tukarudi na kufika salma cone. Msosiz baadae tukaenda club hadi night kali jamaa yuko tungi.. Dem kama hajanywa vile na amegonga savanna kama 10.. (Nikahisi huyu ni mamba). Kufika lodge, nikawaacha.. Asubuhi saa 2 napigiwa sim namba ngeni... Kufika lodge, jamaa anasema Dem kasepa na Iphone, Note 5, na laki 4... Nilijikuta nacheka sana badala ya kusikitika.

Sasa kuuliza ilikuwaje, jamaa anasema alipoingia alipiga kimoja, wakaingia bafuni, dem akarudi chumbani na kuja bafuni, wakiwa mle dem akaanza mnyonyesha matiti.. Akaona kama mwili unazidi ishiwa nguvu... Akashtuka asubuhi yuko bafuni... Wale watu wa lodge wanasema dem alitoka saa 12 akidai anamfuatia mmewe dawa za moyo amezisahau bar...

Ikabidi twende kule lodge, kufika kule wanasema huyo mwanamke alichukua chumba tu hapo alilala na mtu, so muda ule alipokuja alibadili nguo na kutoka. Chumbani kukuta kaacha nguo tu zile za usiku uliopita.

Ukiona vitu visivyo vya kawaida nasi ujue hapi taa nyekundu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuelewa hyo route ilikua ndefu sema kwa vile ulikua unamsindikiza jamaa asije akaona una mind kisa kapata mlupo
 
Hawa wassenge nimewavulia kofia!
Kuna jamaa yetu fala sana !Alitapeliwa na jamaa wa kujiita freemason!...
Ni hivi jamaa yetu alikua yuko vizuri sana sasa kuna siku freemason feki wakaja ofisini kwake(anauza mbao)na bonge la ndinga!Kufika wanataka mbao wakauziana pale then wakaachiana contacts(hapa ndio mission inaaza)Huku na kule wanawasiliana wakamwambia je unapenda kufanikiwa zaidi,jamaa kasema ndio.wakapanga miadi siku mamason wanafika wakamwambia sisi ni member wa freemason ndio maana tuna mafanikio tele so na wewe kama unataka tutakufikishia ombi lako kwa mkuu wetu wakapamtia 10m cash kwamba ndio wanamkaribisha ila hadi wapate kibali kwa mkuu!Jamaa yetu kuona zile m10(hapa walimtibua vuzzi) akajua hawa ndio mason wenyewe kumbe bwege anapigwa!Siku ya siku wakaja wakamwambia ombi lako limejibiwa vizuri tena ila bank una Tsh ngapi coz inatakiwa tukachanganye hela zote ndio ijulikane utaongezewa kiasi gani .Jamaa karopoka ana m70 ,wakamwambia aongeze zifike m100 ili zikienda kuchanganywa apate 1billion!!!Hapa jamaa hakupoteza mda akaenda kudro mpunga wote na kuuza nyumba ndani ya siku mbili jamaa wakaja kuchukua mpunga wao jamaa akitegemea bilioni moja!Toka siku ile hawajawai kupatkana kwenye simu na jamaa kawa pumb.u no mia!!!
 
Mimi huwa nikipigiwa simu na mpenzi wangu(mchepuko) nikisikia tu "mpenzi nikuambie kitu" najua huyu anataka kunidanganya nimpe hela ndefu basi hapohapo nakata simu haraka natoa betri na line naficha kabisa uvunguni mwa kitanda kama wiki hivi ndiyo nawasha simu tena
HEAVY
 
Nilimfanyia ushenzi dada mmoja aliyetaka kujifanya yeye ni mtoto wa mjini, baada ya kumtia swaga akaeleweka lakini eti kwa kuwa alikuwa anataka aende kwanza nyumbani kuwapelekea hela, nikamuuliza ulikuwa unataka kupeleka sh ngapi akasema elfu 80 lakini hapo alikuwa ana sh elfu 50 tu so kama nitamuongezea 30 itakuwa vzr.

Nikamwambia asiwe na tatizo nitamwambia kijana wangu wa m pesa awatumie yote elfu 80 wala asiwe na wasiwasi.......basi nikampigia jamaa yangu mmoja hivi ambae kwa kweli akili zake anazijuaga yeye mwenyewe tu nikamuelezea shida yangu akasema haina shida tumtumia hyo namba, mdada akanipa mimi ndo niitume .......basi nikaituma kwa sms kwenda kwa huyo jamaa yangu mwehu mwehu, halafu kwa chini nikaongezea maneno USITUME HELA NI MISSION MAALUM.......baada ya muda tukajisogeza sehemu kupata kilaji, halafu nikampigia tena jamaa yangu nikamwambia ukishatuma elfu 80 kwenye ile namba na mi nitumie elfu 80 jamaa akakubali, nikamwambia kimwali kwamba wakati nasubiri muamala wangu basi tuagize kwa sababu yeye ana ile elfu 50 hela ikitumwa namrudishia.......kweli bana .........tukaanza kukata miti na kupanda miti huku nyama yetu pendwa ya kitimoto ikizidi kuteketea mezani, nikamshawishi tuchukue room akakubali, wakati huo kasahau na kuulizia kwenye ile namba aliyonipa kama imepokea elfu 80 au la.

Room akalipia yeye na nilivomuona alikuwa ana zaidi ya ile elfu 50 alonambia kuwa anayo, tukaendelea kupiga mtu kwa fujo, ili kumkoleza nikamtext jamaa yangu nikamwambia anitumie fasta laki moja, dakika chache tu muamala ukasoma 105,000/= nikamuonesha bi mdada akazidi kupagawa........ikawa kampa kampa tena mara akaachia mzigo, nilisimamia show kibabe maana nilikuwa nimepiga balimi mdogo mixing na jibapa........nikamuacha hoi, tukapumzika kidogo halafu nikamwambia twende nje tukaendelee kunywa, tukatoka nikamwambia aagize, nae akaagiza mi nikamwambia naenda kutoa ile hela tuendelee kupombeka.........hajaniona hadi leo na hiyo ilikuwa 2013

komando kinjekitile ngwale
Asee HEAVY
 
Mimi huwa nikipigiwa simu na mpenzi wangu(mchepuko) nikisikia tu "mpenzi nikuambie kitu" najua huyu anataka kunidanganya nimpe hela ndefu basi hapohapo nakata simu haraka natoa betri na line naficha kabisa uvunguni mwa kitanda kama wiki hivi ndiyo nawasha simu tena
Simu yako inatoka betri miaka hii.!
No offense bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisa cha sita
Miaka ile ya 2000 mpaka 2007 hivi ilikuwa ukisafiri kwenda nje kupitia Ethiopia lazima ulale Adis Ababa kwa gharama zao wenyewe... Sasa hotel ya kulaza wageni wa airport ikawa imevamiwa na machangu wa kihabeshi... Walikuwa wanaipenda sana kwakuwa ni ya foreigners na mara nyingi wanalala usiku mmoja tu
Kwahiyo walichokuwa wanafanya hawa machangu ni kupaka dawa ya usingizi kwenye manyonyo yao.. Waliowahi kudate na watoto wa kihabeshi wanajua jinsi walivyo na chuchu konzi.....
Akiingia chumbani kwako lazima kwanza aende chooni kisha akitoka huko lazima atataka umnyonye matiti yake... Ukikubali tu kwishney... Hutamfanya na utaamshwa siku ya pili uwahi gari la airport (kuna gari maalum la kuchukua wageni).... Utashangaa usingizi mzito ulitoka wapi lakini ukijikagua umeshalizwa pesa na vitu vingine kasoro passport..... Sasa ni jukumu lako kuendelea na safari ama kuahirisha ufungue kesi
Kesho nitasimulia nilichofanya mpaka akalala yeye na mimi nikaondoka salama na vitu changu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
Mkuu mambo ya Rohypnol HEAVY
 
Miaka ya 2000 mwanzoni tuliwahi kulizwa na wazee wa kazi.

Mzee alikuwa ana duka la kuuza baiskeli na spea zake. Basi siku ya siku jamaa wakaja wakamkuta mzee wakamwomba kama anazo shilingi moja moja awatafutie watazinunua 1 kwa sh 20, mzee akazisaka mule dukani akapata kadhaa, maana kipindi hicho zilishaacha kutumika.

Wakazinunua akapata kama 15,000/-, basi wakamwambia awakusanyie watakuwa siku fulani, walipokuja walikuta kakusanya nyingi kidogo, wakanunua, alipata kama 250,000/-.

Mzee akaambiwa akusanye zaidi maana kuna wazungu ambao wanazihitaji sana, wanataka mzigo mkubwa, kwamba kuna vito wanatumia kutengenezea.

Basi kwenye kutafuta mzee akakutana na mtu ambaye alisema anazo ila anauza kwa bei ya sh 10 kila moja maana dili limeshajulikana kwamba anauza kwa 20. Akanunua mzigo wa almost 900,000/-, maana kuna shamba aliuza kuongezea hela. Hapo alitegemea faida mara 2.

Jamaa hawakurudi tena, ikaja baadae kugundulika wale jamaa waliomuuzia mzigo wa mwisho ndiyo hao hao walionunua kwake mwanzoni.
 
Kuna jamaa mmoja Tapeli mbobevu kuna siku nikipewa story full nitaweka story yake hapa.

Ila in short jamaa yupo kituo kukubwa cha polisi maeneo ya mbezi as we speak. Katapeli Morogoro, Iringa anatafutwa na Sinza katapeli gari kama 6 hivi.

Mwenye access afatilie kesi ya huyu jamaa nimesikia ipo Gogoni hapo Mbezi. Mshana Jr

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Hawa wassenge nimewavulia kofia!
Kuna jamaa yetu fala sana !Alitapeliwa na jamaa wa kujiita freemason!...
Ni hivi jamaa yetu alikua yuko vizuri sana sasa kuna siku freemason feki wakaja ofisini kwake(anauza mbao)na bonge la ndinga!Kufika wanataka mbao wakauziana pale then wakaachiana contacts(hapa ndio mission inaaza)Huku na kule wanawasiliana wakamwambia je unapenda kufanikiwa zaidi,jamaa kasema ndio.wakapanga miadi siku mamason wanafika wakamwambia sisi ni member wa freemason ndio maana tuna mafanikio tele so na wewe kama unataka tutakufikishia ombi lako kwa mkuu wetu wakapamtia 10m cash kwamba ndio wanamkaribisha ila hadi wapate kibali kwa mkuu!Jamaa yetu kuona zile m10(hapa walimtibua vuzzi) akajua hawa ndio mason wenyewe kumbe bwege anapigwa!Siku ya siku wakaja wakamwambia ombi lako limejibiwa vizuri tena ila bank una Tsh ngapi coz inatakiwa tukachanganye hela zote ndio ijulikane utaongezewa kiasi gani .Jamaa karopoka ana m70 ,wakamwambia aongeze zifike m100 ili zikienda kuchanganywa apate 1billion!!!Hapa jamaa hakupoteza mda akaenda kudro mpunga wote na kuuza nyumba ndani ya siku mbili jamaa wakaja kuchukua mpunga wao jamaa akitegemea bilioni moja!Toka siku ile hawajawai kupatkana kwenye simu na jamaa kawa pumb.u no mia!!!
Duuh serious??????[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya 2000 mwanzoni tuliwahi kulizwa na wazee wa kazi.

Mzee alikuwa ana duka la kuuza baiskeli na spea zake. Basi siku ya siku jamaa wakaja wakamkuta mzee wakamwomba kama anazo shilingi moja moja awatafutie watazinunua 1 kwa sh 20, mzee akazisaka mule dukani akapata kadhaa, maana kipindi hicho zilishaacha kutumika.

Wakazinunua akapata kama 15,000/-, basi wakamwambia awakusanyie watakuwa siku fulani, walipokuja walikuta kakusanya nyingi kidogo, wakanunua, alipata kama 250,000/-.

Mzee akaambiwa akusanye zaidi maana kuna wazungu ambao wanazihitaji sana, wanataka mzigo mkubwa, kwamba kuna vito wanatumia kutengenezea.

Basi kwenye kutafuta mzee akakutana na mtu ambaye alisema anazo ila anauza kwa bei ya sh 10 kila moja maana dili limeshajulikana kwamba anauza kwa 20. Akanunua mzigo wa almost 900,000/-, maana kuna shamba aliuza kuongezea hela. Hapo alitegemea faida mara 2.

Jamaa hawakurudi tena, ikaja baadae kugundulika wale jamaa waliomuuzia mzigo wa mwisho ndiyo hao hao walionunua kwake mwanzoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji48][emoji119][emoji119][emoji119] mamaeee hao jamaa fundi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom