General Galadudu
JF-Expert Member
- Nov 7, 2015
- 1,868
- 2,210
Nadhani itakuwa ngoma droo, wewe unaweza kufanikiwa kunitapeli lakini lazima na mi nikufyatue tu [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji1]Ukikutana na mm nahisi tutakimbiana maana taprli+tapeli= mission failed
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani itakuwa ngoma droo, wewe unaweza kufanikiwa kunitapeli lakini lazima na mi nikufyatue tu [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji1]
komando kinjekitile ngwale
........Imeniuma sana yani pesa unilie na unitangaze uku basi omba mungu usiwe na shida tena Ofisin kwanguNGOJA NIWAPE MKASA MMOJA
kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.
Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.
Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.
Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.
Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.
Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.
Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.
Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?
Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una dhambi weweNilimfanyia ushenzi dada mmoja aliyetaka kujifanya yeye ni mtoto wa mjini, baada ya kumtia swaga akaeleweka lakini eti kwa kuwa alikuwa anataka aende kwanza nyumbani kuwapelekea hela, nikamuuliza ulikuwa unataka kupeleka sh ngapi akasema elfu 80 lakini hapo alikuwa ana sh elfu 50 tu so kama nitamuongezea 30 itakuwa vzr.
Nikamwambia asiwe na tatizo nitamwambia kijana wangu wa m pesa awatumie yote elfu 80 wala asiwe na wasiwasi.......basi nikampigia jamaa yangu mmoja hivi ambae kwa kweli akili zake anazijuaga yeye mwenyewe tu nikamuelezea shida yangu akasema haina shida tumtumia hyo namba, mdada akanipa mimi ndo niitume .......basi nikaituma kwa sms kwenda kwa huyo jamaa yangu mwehu mwehu, halafu kwa chini nikaongezea maneno USITUME HELA NI MISSION MAALUM.......baada ya muda tukajisogeza sehemu kupata kilaji, halafu nikampigia tena jamaa yangu nikamwambia ukishatuma elfu 80 kwenye ile namba na mi nitumie elfu 80 jamaa akakubali, nikamwambia kimwali kwamba wakati nasubiri muamala wangu basi tuagize kwa sababu yeye ana ile elfu 50 hela ikitumwa namrudishia.......kweli bana .........tukaanza kukata miti na kupanda miti huku nyama yetu pendwa ya kitimoto ikizidi kuteketea mezani, nikamshawishi tuchukue room akakubali, wakati huo kasahau na kuulizia kwenye ile namba aliyonipa kama imepokea elfu 80 au la.
Room akalipia yeye na nilivomuona alikuwa ana zaidi ya ile elfu 50 alonambia kuwa anayo, tukaendelea kupiga mtu kwa fujo, ili kumkoleza nikamtext jamaa yangu nikamwambia anitumie fasta laki moja, dakika chache tu muamala ukasoma 105,000/= nikamuonesha bi mdada akazidi kupagawa........ikawa kampa kampa tena mara akaachia mzigo, nilisimamia show kibabe maana nilikuwa nimepiga balimi mdogo mixing na jibapa........nikamuacha hoi, tukapumzika kidogo halafu nikamwambia twende nje tukaendelee kunywa, tukatoka nikamwambia aagize, nae akaagiza mi nikamwambia naenda kutoa ile hela tuendelee kupombeka.........hajaniona hadi leo na hiyo ilikuwa 2013
komando kinjekitile ngwale
Chadema ni dada zangu, mimi huwa nachukua ccm tu ili niwakomeshe, maana huwa nawasugua mpaka nasimamia kucha, lakini utashangaa kesho tena anakuja, maccm bana sijui yakoje hayakomagi
Safi Sana mwana upo kama mimiChadema ni dada zangu, mimi huwa nachukua ccm tu ili niwakomeshe, maana huwa nawasugua mpaka nasimamia kucha, lakini utashangaa kesho tena anakuja, maccm bana sijui yakoje hayakomagi
Nikikutana na mjuzi zaidi huwa nalazimika kutumia zile mbinu za ziada ambazo huwa nazitoa ktk nyakati ngumu tu
Hata yeye pia ana dhambi sana
Baba ako we mafiaNilimfanyia ushenzi dada mmoja aliyetaka kujifanya yeye ni mtoto wa mjini, baada ya kumtia swaga akaeleweka lakini eti kwa kuwa alikuwa anataka aende kwanza nyumbani kuwapelekea hela, nikamuuliza ulikuwa unataka kupeleka sh ngapi akasema elfu 80 lakini hapo alikuwa ana sh elfu 50 tu so kama nitamuongezea 30 itakuwa vzr.
Nikamwambia asiwe na tatizo nitamwambia kijana wangu wa m pesa awatumie yote elfu 80 wala asiwe na wasiwasi.......basi nikampigia jamaa yangu mmoja hivi ambae kwa kweli akili zake anazijuaga yeye mwenyewe tu nikamuelezea shida yangu akasema haina shida tumtumia hyo namba, mdada akanipa mimi ndo niitume .......basi nikaituma kwa sms kwenda kwa huyo jamaa yangu mwehu mwehu, halafu kwa chini nikaongezea maneno USITUME HELA NI MISSION MAALUM.......baada ya muda tukajisogeza sehemu kupata kilaji, halafu nikampigia tena jamaa yangu nikamwambia ukishatuma elfu 80 kwenye ile namba na mi nitumie elfu 80 jamaa akakubali, nikamwambia kimwali kwamba wakati nasubiri muamala wangu basi tuagize kwa sababu yeye ana ile elfu 50 hela ikitumwa namrudishia.......kweli bana .........tukaanza kukata miti na kupanda miti huku nyama yetu pendwa ya kitimoto ikizidi kuteketea mezani, nikamshawishi tuchukue room akakubali, wakati huo kasahau na kuulizia kwenye ile namba aliyonipa kama imepokea elfu 80 au la.
Room akalipia yeye na nilivomuona alikuwa ana zaidi ya ile elfu 50 alonambia kuwa anayo, tukaendelea kupiga mtu kwa fujo, ili kumkoleza nikamtext jamaa yangu nikamwambia anitumie fasta laki moja, dakika chache tu muamala ukasoma 105,000/= nikamuonesha bi mdada akazidi kupagawa........ikawa kampa kampa tena mara akaachia mzigo, nilisimamia show kibabe maana nilikuwa nimepiga balimi mdogo mixing na jibapa........nikamuacha hoi, tukapumzika kidogo halafu nikamwambia twende nje tukaendelee kunywa, tukatoka nikamwambia aagize, nae akaagiza mi nikamwambia naenda kutoa ile hela tuendelee kupombeka.........hajaniona hadi leo na hiyo ilikuwa 2013
komando kinjekitile ngwale
Ha ha ha ha nimekuelewa
Utapeli + papuchi kutafunwa hua unawauma sana.Nilimfanyia ushenzi dada mmoja aliyetaka kujifanya yeye ni mtoto wa mjini, baada ya kumtia swaga akaeleweka lakini eti kwa kuwa alikuwa anataka aende kwanza nyumbani kuwapelekea hela, nikamuuliza ulikuwa unataka kupeleka sh ngapi akasema elfu 80 lakini hapo alikuwa ana sh elfu 50 tu so kama nitamuongezea 30 itakuwa vzr.
Nikamwambia asiwe na tatizo nitamwambia kijana wangu wa m pesa awatumie yote elfu 80 wala asiwe na wasiwasi.......basi nikampigia jamaa yangu mmoja hivi ambae kwa kweli akili zake anazijuaga yeye mwenyewe tu nikamuelezea shida yangu akasema haina shida tumtumia hyo namba, mdada akanipa mimi ndo niitume .......basi nikaituma kwa sms kwenda kwa huyo jamaa yangu mwehu mwehu, halafu kwa chini nikaongezea maneno USITUME HELA NI MISSION MAALUM.......baada ya muda tukajisogeza sehemu kupata kilaji, halafu nikampigia tena jamaa yangu nikamwambia ukishatuma elfu 80 kwenye ile namba na mi nitumie elfu 80 jamaa akakubali, nikamwambia kimwali kwamba wakati nasubiri muamala wangu basi tuagize kwa sababu yeye ana ile elfu 50 hela ikitumwa namrudishia.......kweli bana .........tukaanza kukata miti na kupanda miti huku nyama yetu pendwa ya kitimoto ikizidi kuteketea mezani, nikamshawishi tuchukue room akakubali, wakati huo kasahau na kuulizia kwenye ile namba aliyonipa kama imepokea elfu 80 au la.
Room akalipia yeye na nilivomuona alikuwa ana zaidi ya ile elfu 50 alonambia kuwa anayo, tukaendelea kupiga mtu kwa fujo, ili kumkoleza nikamtext jamaa yangu nikamwambia anitumie fasta laki moja, dakika chache tu muamala ukasoma 105,000/= nikamuonesha bi mdada akazidi kupagawa........ikawa kampa kampa tena mara akaachia mzigo, nilisimamia show kibabe maana nilikuwa nimepiga balimi mdogo mixing na jibapa........nikamuacha hoi, tukapumzika kidogo halafu nikamwambia twende nje tukaendelee kunywa, tukatoka nikamwambia aagize, nae akaagiza mi nikamwambia naenda kutoa ile hela tuendelee kupombeka.........hajaniona hadi leo na hiyo ilikuwa 2013
komando kinjekitile ngwale
Inategemea umekuja kwangu kwa mtindo upi, yule tangu nimeanza kuongea nae tu nikajua keshaniona mi boya kwa hyo anatala anilize lakini matokeo yake akalia yeye
Nilikuwa namuelekeza tu mazingira ya mji yakoje na sio kila mtu unaweza kumtapeliBaba ako we mafia
Sasa mkuu gharama zote izo si bora umgemlipa tuu elfu 10 yake usimpe biaNISHAFANYA NA BADO NAFANYA LAKINI KWA MALAYA TU,NAINGIA BAR HASWA ZILE ZENYE GESTI KWENYE MACHANGU,NACHAGUA TOTO ZURI LINALOLIPA NA WENGI WAO UZURI KICHWANI NI ZERO.KWA MFANO LAST WEEK NILIPIGA SINZA DEMU ZURI KWELI LIKANIPA HADI TIGO KWA KUJITUMA SANA...NINACHOFANYA NALIITA NAKAA NAYE MEZANI NAAGIZA BIA SIO ZAIDI YA SH 10,000 KWAKE NA KWANGU YAANI BIA KAMA NANE HIVI,TUNAINGIA CHUMBANI,KUANZIA NINAPOLIPIA BILI YA BIA NA RECEPTION NATOA HELA KWENYE POCHI LILILONONA ILA SASAAAAA...HILO POCHI LIMEJAA MANOTI YA BURUNDI, KWACHA ZA ZAMANI ZA ZAMBIA MANOTI YA CENTRAL AFRICAN REPUBLIC NA YA ZIMBABWE, USINIULIZE NAYATOA WAPI NINAYO MENGI TUNASINDIKIZIA NA 5000 YA KIBONGO,HADI HAPO DEMU IMANI IPO MAANA AKILI YAKE NI KUIBA HILO POCHI,TUKIINGIA CHUMBANI AKIANZA KUDAI HELA MBELE NAJIFANYA SIJASIKIA NAWEKA LILE POCHI MEZANI,SIJAWAHI FELI HATA SIKU MOJA,HAPO UNAPEWA MAUNO HADI BASI NIKIJISIKIA KURIDHIKA NAJIFANYA KAMA NAMUOMBA TULALE KIDOGO TUTAENDELEA,AFTER 20 MINUTES NAJIFANYA KUKOROMA YEYE ATAKACHOFANYA NI KUNYATA NA KUIBA POCHI NA KUKIMBIA NA POCHI LILONONA,LAST WEEK TU NIMEFANIKISHA HII ILA MUNGU ANISAIDIE NISIJE KUTANA NA MSOMI AATAKAYESTUKIA YALE MANOTI NI TAKATAKA
Nilimfanyia ushenzi dada mmoja aliyetaka kujifanya yeye ni mtoto wa mjini, baada ya kumtia swaga akaeleweka lakini eti kwa kuwa alikuwa anataka aende kwanza nyumbani kuwapelekea hela, nikamuuliza ulikuwa unataka kupeleka sh ngapi akasema elfu 80 lakini hapo alikuwa ana sh elfu 50 tu so kama nitamuongezea 30 itakuwa vzr.
Nikamwambia asiwe na tatizo nitamwambia kijana wangu wa m pesa awatumie yote elfu 80 wala asiwe na wasiwasi.......basi nikampigia jamaa yangu mmoja hivi ambae kwa kweli akili zake anazijuaga yeye mwenyewe tu nikamuelezea shida yangu akasema haina shida tumtumia hyo namba, mdada akanipa mimi ndo niitume .......basi nikaituma kwa sms kwenda kwa huyo jamaa yangu mwehu mwehu, halafu kwa chini nikaongezea maneno USITUME HELA NI MISSION MAALUM.......baada ya muda tukajisogeza sehemu kupata kilaji, halafu nikampigia tena jamaa yangu nikamwambia ukishatuma elfu 80 kwenye ile namba na mi nitumie elfu 80 jamaa akakubali, nikamwambia kimwali kwamba wakati nasubiri muamala wangu basi tuagize kwa sababu yeye ana ile elfu 50 hela ikitumwa namrudishia.......kweli bana .........tukaanza kukata miti na kupanda miti huku nyama yetu pendwa ya kitimoto ikizidi kuteketea mezani, nikamshawishi tuchukue room akakubali, wakati huo kasahau na kuulizia kwenye ile namba aliyonipa kama imepokea elfu 80 au la.
Room akalipia yeye na nilivomuona alikuwa ana zaidi ya ile elfu 50 alonambia kuwa anayo, tukaendelea kupiga mtu kwa fujo, ili kumkoleza nikamtext jamaa yangu nikamwambia anitumie fasta laki moja, dakika chache tu muamala ukasoma 105,000/= nikamuonesha bi mdada akazidi kupagawa........ikawa kampa kampa tena mara akaachia mzigo, nilisimamia show kibabe maana nilikuwa nimepiga balimi mdogo mixing na jibapa........nikamuacha hoi, tukapumzika kidogo halafu nikamwambia twende nje tukaendelee kunywa, tukatoka nikamwambia aagize, nae akaagiza mi nikamwambia naenda kutoa ile hela tuendelee kupombeka.........hajaniona hadi leo na hiyo ilikuwa 2013
komando kinjekitile ngwale
sichukui mademu wa 10,000 boss,nachukua wazuri,wasafi plus nikitumia hiyo trick napewa na ka bang juu na kiwango cha kujituma kinaongezeka ,yaani service ninayopewa ni kama nimelipia laki moja.hasara kwangu ni hizo bia 4 wanazokunywaga tu labda na room maana sichukuagi zaidi ya room ya 10,000.mademu wenyewe wezi hao.Sasa mkuu gharama zote izo si bora umgemlipa tuu elfu 10 yake usimpe bia
Sent using Jamii Forums mobile app