Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Ukikutana na mm nahisi tutakimbiana maana taprli+tapeli= mission failed

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani itakuwa ngoma droo, wewe unaweza kufanikiwa kunitapeli lakini lazima na mi nikufyatue tu [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji1]

komando kinjekitile ngwale
 
Umeona mbinu zangu matata eeeh [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
........Imeniuma sana yani pesa unilie na unitangaze uku basi omba mungu usiwe na shida tena Ofisin kwangu

Tena ile 50 nilikuwa nimepewa na Mtumishi mmoja nimfanyie kazi kama yako Ila fresh wewe si mjanja😀😀😀😀
 
Una dhambi wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
anaetaka kunitapeli aje dm mana nimemiss sana kutapeliwa
 
Baba ako we mafia
 
Utapeli + papuchi kutafunwa hua unawauma sana.
 
Sasa mkuu gharama zote izo si bora umgemlipa tuu elfu 10 yake usimpe bia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unaitwa Escrot gentil Kabido [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu gharama zote izo si bora umgemlipa tuu elfu 10 yake usimpe bia

Sent using Jamii Forums mobile app
sichukui mademu wa 10,000 boss,nachukua wazuri,wasafi plus nikitumia hiyo trick napewa na ka bang juu na kiwango cha kujituma kinaongezeka ,yaani service ninayopewa ni kama nimelipia laki moja.hasara kwangu ni hizo bia 4 wanazokunywaga tu labda na room maana sichukuagi zaidi ya room ya 10,000.mademu wenyewe wezi hao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…