Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Visa vya matapeli na watoto wa mjini

NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA

kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.

Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.

Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.

Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.

Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.

Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.

Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.

Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?

Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
ni jokes au kweli ?
 
Wananitongoza nawakubali sasa naanza kuwapanga namna ya kula nauli yake ukiwa mgumu kama upo mkoani nakuleta mpaka Dom kuna Bar yangu maarufu kwa kutapelia nakupeleka pale kabla hujachukua room mm si ndo mwenyeji nakwambia nipe hela ya lodge ukinipa imekula kwako natokea mlango wa pili.
ha ha ha ha,ebu fafanua namna unavyowatapeli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NISHAFANYA NA BADO NAFANYA LAKINI KWA MALAYA TU,NAINGIA BAR HASWA ZILE ZENYE GESTI KWENYE MACHANGU,NACHAGUA TOTO ZURI LINALOLIPA NA WENGI WAO UZURI KICHWANI NI ZERO.KWA MFANO LAST WEEK NILIPIGA SINZA DEMU ZURI KWELI LIKANIPA HADI TIGO KWA KUJITUMA SANA...NINACHOFANYA NALIITA NAKAA NAYE MEZANI NAAGIZA BIA SIO ZAIDI YA SH 10,000 KWAKE NA KWANGU YAANI BIA KAMA NANE HIVI,TUNAINGIA CHUMBANI,KUANZIA NINAPOLIPIA BILI YA BIA NA RECEPTION NATOA HELA KWENYE POCHI LILILONONA ILA SASAAAAA...HILO POCHI LIMEJAA MANOTI YA BURUNDI, KWACHA ZA ZAMANI ZA ZAMBIA MANOTI YA CENTRAL AFRICAN REPUBLIC NA YA ZIMBABWE, USINIULIZE NAYATOA WAPI NINAYO MENGI TUNASINDIKIZIA NA 5000 YA KIBONGO,HADI HAPO DEMU IMANI IPO MAANA AKILI YAKE NI KUIBA HILO POCHI,TUKIINGIA CHUMBANI AKIANZA KUDAI HELA MBELE NAJIFANYA SIJASIKIA NAWEKA LILE POCHI MEZANI,SIJAWAHI FELI HATA SIKU MOJA,HAPO UNAPEWA MAUNO HADI BASI NIKIJISIKIA KURIDHIKA NAJIFANYA KAMA NAMUOMBA TULALE KIDOGO TUTAENDELEA,AFTER 20 MINUTES NAJIFANYA KUKOROMA YEYE ATAKACHOFANYA NI KUNYATA NA KUIBA POCHI NA KUKIMBIA NA POCHI LILONONA,LAST WEEK TU NIMEFANIKISHA HII ILA MUNGU ANISAIDIE NISIJE KUTANA NA MSOMI AATAKAYESTUKIA YALE MANOTI NI TAKATAKA
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa mmoja alipanda zile flats za Ubungo zile za zamani mpaka juu halafu akaaza kushuka taratibu kidogo kuna muuza mayai akapita na baiskeli yake... (Ilikuwa ratiba yake kupita kila siku kumbe jamaa kamlia timing)
Akiwa ghorofa ya tatu akamuita apandishe tray 2 za mayai ghorofa ya nne... Halafu akajifanya kumuita mkewe ayapokee... Wakapishana ghorofa ya pili akamwambia atamkuta chini anamlindia baiskeli na mayai yake kisha atamlipa
Kwa mwonekano wake wa kipapaa muuza mayai hakumtilia shaka... Lakini kufika ghorofa husika hakuna watu wote wameshaondoka kurudi chini hakuna baiskeli wala mayai

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom