Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Visa vya matapeli na watoto wa mjini

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.

Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?

Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisikia mjini shule, shamba darasa. Jiulize hao waliotunga huo usemi walikuwa na maana gani ama walikutana na masahabu gani!

Akili ya binadamu ni kitu cha kushangaza mno. Kina uwezo wa ajabu hasa pale mtu anapokutana na changamoto mbalimbali. Huko vijijini akili nyingi zimelala kutokana na kukosa changamoto za kimaisha.

Kijijini hata kama huna kazi huna pesa utaishi tu... Sio mjini! Mjini tangu kunapambazuka mpaka kunakuchwa kila kitu ni shekeli. Hakuna cha bure mjini. Lakini vilevile mjini kila mtu anatamani kuishi maisha fulani lakini changamoto ya elimu kipato na ajira ndio kikwazo.

Hivyo basi kuweza kukabiliana na changamoto hizo watu kila uchao hubuni mbinu mpya za kuingiza kipato. Kuanzia utapeli, wizi, ujambazi, kukaba, kurubuni nknk. Kila mmoja wetu hawezi kukosa kisa cha hawa jamaa wanaoishi kwa ujanja ujanja. Nitaaza mimi kwa kusimulia vichache

Kisa cha kwanza
Huyu jamaa yeye hakuwa na kazi maalum. Ila muda wote ni msafi akionekana kama afisa fulani hivi. Siku moja akawa kakosa nauli kabisa ya kurudi nyumbani kwake Tabata na yuko kijitonyama.

Alichofanya ni kuwarubuni wale jamaa wa magari ya majitaka kuwa anataka huduma hiyo Tabata... Wakapatana bei akaenda nao mpaka mtaa wa pili kufika kwake.

Akashuka huku akiwaelekeza uchochoro mmoja kuwa ndio kwake... Akaingia hapo akatokea upande wa pili akasepa mazima.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kisa cha pili.
Ni wale jamaa wanaorubuni watoto kuwanunulia chakula ama chochote. Ataenda na mtoto hapo mahali ataagiza kama ni bidhaa ama chakula.... Kisha atasepa na kumuacha bond mtoto wa watu..

Karibu nawe kabla sijaendelea na visa vingine

Jr[emoji769]
Kweli kbs manake hapa dunia ili ufanikiwe lazma uwe MKWELI NA TAPELI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Braza wangu anavisenti vichache mfukoni ila anataka angoe demu kwa kishua akanambie nimsindikize baa kufika kanipa mchongo kwamba dogo pesa ninazo kidogo kwahyo nikinunua kinjwaji usiwe unakunywa mpaka nikukanyage kwenye mguu. Demu katimba wakawa wanapiga story uku wanasogeza kinywaji mdogo mdogo. Mimi yangu ipo kwenye glasi ila naona bro kakausha ataki kunikanyaga kama alivyo nitonya nikamwambia bro vp mbona unakausha nikanyage basi? Utajuwa mwenyewe kilichotokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwingine huu hapa, ni juzi tu bwana mmoja alienda M-pesa akaomba huduma ya k utoa akaambiwa sawa, wakati akiendelea utaratibu wa kutoa, mara aaah shit! Imezimika,akamwomba m pesa am-boostie, akajieleza ana mgonjwa wamemleta hosp jirani na hapo akaomba 20000 apeleke hosp. zinahitajika haraka, akampa namba ya siri ili cm ikpt chaji amtolee laki, akapewa alizoomba akaondoka, dada wa m pesa akaendelea kuchaji huku akimsbr, sbr jamaa hakuonekana, dada akaamua kuichunguza cm maana haikuwa na dalili ya kuchaji kumbe ilikuwa ni kopo kwenye betr aliweka kicherema cha sabuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwingine huu hapa, ni juzi tu bwana mmoja alienda M-pesa akaomba huduma ya k utoa akaambiwa sawa, wakati akiendelea utaratibu wa kutoa, mara aaah shit! Imezimika,akamwomba m pesa am-boostie, akajieleza ana mgonjwa wamemleta hosp jirani na hapo akaomba 20000 apeleke hosp. zinahitajika haraka, akampa namba ya siri ili cm ikpt chaji amtolee laki, akapewa alizoomba akaondoka, dada wa m pesa akaendelea kuchaji huku akimsbr, sbr jamaa hakuonekana, dada akaamua kuichunguza cm maana haikuwa na dalili ya kuchaji kumbe ilikuwa ni kopo kwenye betr aliweka kicherema cha sabuni

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Braza wangu anavisenti vichache mfukoni ila anataka angoe demu kwa kishua akanambie nimsindikize baa kufika kanipa mchongo kwamba dogo pesa ninazo kidogo kwahyo nikinunua kinjwaji usiwe unakunywa mpaka nikukanyage kwenye mguu. Demu katimba wakawa wanapiga story uku wanasogeza kinywaji mdogo mdogo. Mimi yangu ipo kwenye glasi ila naona bro kakausha ataki kunikanyaga kama alivyo nitonya nikamwambia bro vp mbona unakausha nikanyage basi? Utajuwa mwenyewe kilichotokea.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani bado nachekaaa kamanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii chai ya haluwa
NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA

kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.

Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.

Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.

Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.

Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.

Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.

Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.

Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?

Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nauli nilikula Mara moja sijui. Yani nilikua kila nikiwaza kweli nipande bus nimfuate huyu mkaka?? Nikasema siwezi. Nikampigia simu nikamwambia siwezi kukufuata ulipo sababu nahisi moyo haujakukubali. Basi nikaitumbua laki yangu kwa amani kabisa.
Siyo kwa cheko hilo vipi wewe hujawahi? Kula nauli

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa nikipigiwa simu na mpenzi wangu(mchepuko) nikisikia tu "mpenzi nikuambie kitu" najua huyu anataka kunidanganya nimpe hela ndefu basi hapohapo nakata simu haraka natoa betri na line naficha kabisa uvunguni mwa kitanda kama wiki hivi ndiyo nawasha simu tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani bado nachekaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nauli nilikula Mara moja sijui. Yani nilikua kila nikiwaza kweli nipande bus nimfuate huyu mkaka?? Nikasema siwezi. Nikampigia simu nikamwambia siwezi kukufuata ulipo sababu nahisi moyo haujakukubali. Basi nikaitumbua laki yangu kwa amani kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili la nauli linatuhusu wengi[emoji85]
Unakula nauli na kwenda hauendi.
 
Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.

Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?

Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana ela unazo ila hazikutoshi na kazi unayo lakini hauipendi,
 
Mwingine huu hapa, ni juzi tu bwana mmoja alienda M-pesa akaomba huduma ya k utoa akaambiwa sawa, wakati akiendelea utaratibu wa kutoa, mara aaah shit! Imezimika,akamwomba m pesa am-boostie, akajieleza ana mgonjwa wamemleta hosp jirani na hapo akaomba 20000 apeleke hosp. zinahitajika haraka, akampa namba ya siri ili cm ikpt chaji amtolee laki, akapewa alizoomba akaondoka, dada wa m pesa akaendelea kuchaji huku akimsbr, sbr jamaa hakuonekana, dada akaamua kuichunguza cm maana haikuwa na dalili ya kuchaji kumbe ilikuwa ni kopo kwenye betr aliweka kicherema cha sabuni

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa mmoja alipanda zile flats za Ubungo zile za zamani mpaka juu halafu akaaza kushuka taratibu kidogo kuna muuza mayai akapita na baiskeli yake... (Ilikuwa ratiba yake kupita kila siku kumbe jamaa kamlia timing)
Akiwa ghorofa ya tatu akamuita apandishe tray 2 za mayai ghorofa ya nne... Halafu akajifanya kumuita mkewe ayapokee... Wakapishana ghorofa ya pili akamwambia atamkuta chini anamlindia baiskeli na mayai yake kisha atamlipa
Kwa mwonekano wake wa kipapaa muuza mayai hakumtilia shaka... Lakini kufika ghorofa husika hakuna watu wote wameshaondoka kurudi chini hakuna baiskeli wala mayai

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom