Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ndo maana nafanyaga demu atumie hela akifika ntalipa hawezi apite hivi, ntatafuta mwingineHili la nauli linatuhusu wengi[emoji85]
Unakula nauli na kwenda hauendi.
Duh huko uliko? [emoji24][emoji24][emoji24]
Jr[emoji769]
Naona visa vingi hapa ni vya mapenzi basi ngoja nami nitoe changu
Binti mmoja mkazi wa kino shombe fulani hivi alikuwa na trick yake moja kujifanya ana maruhani.. Anakunywea na kukulia vyako lakini kila ukitaka mchezo anakupanga au anakusubirisha.. Akishakufanyia hivyo kama mara nne ya tano atakubali ila mkifika gesti anapandisha maruhani yake majini mpaka mashetani... Kwa jinsi alivyo msanii itabidi tu utoke nduki umwachie na chumba
Kupata hizi habari nikasema subiri huyu nitamkomesha...
Tukafanya mitoko kama miwili hivi ananipanga... Mimi sikuwa na pressure nikamwambia ngono kwangu sio kipaumbele... Nyoko zake akahadaika... Mtoko wa tatu tukatoka mpaka gesti moja Mandela road...
Baada ya kula na kunywa tukazama ndani.... Kufika ndani akaona sina pressure naye.... Nilikuwa na kibegi changu nimeweka mambo yangu kiko mezani... Basi akaanza vituko... Mara akaanza kujinyoosha na kujinyonga kama nyoka huku anapiga miayo ya kujilazimisha...
Mara akasema anasikia joto, mara baridi halafu taratibu akaanza kupandisha madude yake
Kwenye kibegi changu kulikuwa na joka jeusi la plastic, kinyonga mfu, na mahirizi kibao.... Basi wakati anaendelea kupandisha Mimi nikachukua kibegi changu na kutoa zana niague mgonjwa.....
Kuliona lile joka nilisikia tu akisema mama nakufa... Halafu mashetani, majini na maruhani yote yakaingia mitini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mshtuko alioupata mpaka namaliza round ya kwanza ndio nikaona anaanza kutoa ushirikiano... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
Jr[emoji769]
Na pesa akanipa ili joka lisimuume.. Maana kuumwa na majoka mawili kwa wakati mmoja si mchezo
Jr[emoji769]
Sio roho mbaya niliona hastahili nimpandie gariDuuh, yani baadhi ya wadada MNA roho mbaya.., Mzigua90
Safi, ikitokea ukaweka kambi Dom tupeane taarifa. Might get a chance to treat you.
Niunganishe naye tafadhali ila usimwambie na siku hiyo nitavaa hirizi mpaka kiunoni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hii trick kuna kadada kanaitumia akishakula vya watu. Siku amenihadithia tukio alilomfanya diwani mmoja nilicheka nusu nikojoe
Sent using Jamii Forums mobile app
Atumie pesa yake kabisaaaa!! Never.Mi ndo maana nafanyaga demu atumie hela akifika ntalipa hawezi apite hivi, ntatafuta mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeua mtoto wa watu [emoji23][emoji23]Naona visa vingi hapa ni vya mapenzi basi ngoja nami nitoe changu
Binti mmoja mkazi wa kino shombe fulani hivi alikuwa na trick yake moja kujifanya ana maruhani.. Anakunywea na kukulia vyako lakini kila ukitaka mchezo anakupanga au anakusubirisha.. Akishakufanyia hivyo kama mara nne ya tano atakubali ila mkifika gesti anapandisha maruhani yake majini mpaka mashetani... Kwa jinsi alivyo msanii itabidi tu utoke nduki umwachie na chumba
Kupata hizi habari nikasema subiri huyu nitamkomesha...
Tukafanya mitoko kama miwili hivi ananipanga... Mimi sikuwa na pressure nikamwambia ngono kwangu sio kipaumbele... Nyoko zake akahadaika... Mtoko wa tatu tukatoka mpaka gesti moja Mandela road...
Baada ya kula na kunywa tukazama ndani.... Kufika ndani akaona sina pressure naye.... Nilikuwa na kibegi changu nimeweka mambo yangu kiko mezani... Basi akaanza vituko... Mara akaanza kujinyoosha na kujinyonga kama nyoka huku anapiga miayo ya kujilazimisha...
Mara akasema anasikia joto, mara baridi halafu taratibu akaanza kupandisha madude yake
Kwenye kibegi changu kulikuwa na joka jeusi la plastic, kinyonga mfu, na mahirizi kibao.... Basi wakati anaendelea kupandisha Mimi nikachukua kibegi changu na kutoa zana niague mgonjwa.....
Kuliona lile joka nilisikia tu akisema mama nakufa... Halafu mashetani, majini na maruhani yote yakaingia mitini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mshtuko alioupata mpaka namaliza round ya kwanza ndio nikaona anaanza kutoa ushirikiano... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu mpaka sasa bado unaongoza ligi kwa hii mbinu..wacha tuendelee kusubiri tuone kama kuna mtu atakushusha kileleni..Naona visa vingi hapa ni vya mapenzi basi ngoja nami nitoe changu
Binti mmoja mkazi wa kino shombe fulani hivi alikuwa na trick yake moja kujifanya ana maruhani.. Anakunywea na kukulia vyako lakini kila ukitaka mchezo anakupanga au anakusubirisha.. Akishakufanyia hivyo kama mara nne ya tano atakubali ila mkifika gesti anapandisha maruhani yake majini mpaka mashetani... Kwa jinsi alivyo msanii itabidi tu utoke nduki umwachie na chumba
Kupata hizi habari nikasema subiri huyu nitamkomesha...
Tukafanya mitoko kama miwili hivi ananipanga... Mimi sikuwa na pressure nikamwambia ngono kwangu sio kipaumbele... Nyoko zake akahadaika... Mtoko wa tatu tukatoka mpaka gesti moja Mandela road...
Baada ya kula na kunywa tukazama ndani.... Kufika ndani akaona sina pressure naye.... Nilikuwa na kibegi changu nimeweka mambo yangu kiko mezani... Basi akaanza vituko... Mara akaanza kujinyoosha na kujinyonga kama nyoka huku anapiga miayo ya kujilazimisha...
Mara akasema anasikia joto, mara baridi halafu taratibu akaanza kupandisha madude yake
Kwenye kibegi changu kulikuwa na joka jeusi la plastic, kinyonga mfu, na mahirizi kibao.... Basi wakati anaendelea kupandisha Mimi nikachukua kibegi changu na kutoa zana niague mgonjwa.....
Kuliona lile joka nilisikia tu akisema mama nakufa... Halafu mashetani, majini na maruhani yote yakaingia mitini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mshtuko alioupata mpaka namaliza round ya kwanza ndio nikaona anaanza kutoa ushirikiano... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
Jr[emoji769]
Haujamkamata vizuri tena anaitumia fresh kabisa ukiona hataki hiyo ujue anataka kukuingiza mjiniAtumie pesa yake kabisaaaa!! Never.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu mpaka sasa bado unaongoza ligi kwa hii mbinu..wacha tuendelee kusubiri tuone kama kuna mtu atakushusha kileleni..
Sent using Jamii Forums mobile app
Babu mzima anakubali kuitwa baby! Kisa eti uzee mwisho Chalinze!utapeli wa wanawake wa mjini ni kwamba hata wazee wanaitwa baby
Tayari nimemalizia mkuu ipo palepale[emoji101][emoji101][emoji101][emoji101]
Jr[emoji769]
Mwisho wa tapeli ni mbaya kama sio kifo ni kuzaliljshwa vibaya sana, hivyo we endelea kula vya watu alafu mzigo hautoi siku yako ipoNGOJA NIWAPE MKASA MMOJA
kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.
Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.
Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.
Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.
Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.
Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.
Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.
Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?
Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.