Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Visa vya matapeli na watoto wa mjini

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
Mshana Jr hiki kisa ni cha kweli na kilitokea kama miaka kumi iliyopita pale Kariakoo. Alikuwepo bwana mmoja ana duka lake akiuza nguo za jumla. Wateja wake wengi walikuwa watu wa mikoani na wengine kutoka nje ya nchi kama Zambia. Biashara ilikuwa inachanganya kweli kweli. Nje ya duka lake alikuwepo mzee mmoja vijana wakimwita babu. Huyo mzee kazi yake ilikuwa ni kufunga mafurushi ya nguo za wateja walizonunua tayari kwa kusafirisha kwenda mikoani. Alikuwa maarufu na mwuungwana kweli kweli na wateja wengi walikuwa wanamtumia kufunga mizigo yao. Lakini huyu mzee alikuwa na kazi nyingine ya ziada i.e. alikuwa anatumiwa na mwenye duka kupeleka fedha za mauzo benki. Ilikuwa hivi: kwa vile duka lilikuwa linauza mauzo mengi, mwenye duka alikuwa anaogopa kutoka na fedha yeye mwenyewe kupeleka bank kwa kuogopa majambazi (yalishatokea matukio mengi ya watu kuvamiwa wakati wa kupeleka fedha bank). Hivyo alikuwa anakusanya mauzo ya hata wiki moja halafu anafunga kwenye mfuko mchafu chafu anampa yule mzee anapeleka bank ambako mke wa mwenye duka alikuwa anatangulia ili ku-deposit. . Lakini kuna kitu kimoja. Yule mzee alikuwa anasema ni mtu wa Morogoro lakini hakuna aliyekuwa anajua hasa undani wake. Hata nyumba aliyokuwa anaishi haswa hakuna aliyekuwa anajua ila ilifahamika tu kuwa anaishi Manzese Midizini. Kusema kweli alikuwa ni mtu mzima na hakuna aliyefikiri hata kidogo angeweza kuasi. Na pale mtaani alikuwa maarufu sana na alikuwa amefanya kazi ya kufunga mizigo kwa muda mrefu. Kumbe alikuwa anawalia timing... siku moja akapewa sh milioni 24 apeleke bank (kipindi hicho ni fedha nyingi). Akatokomea anakojua mwenyewe. Mke wa mwenye duka akasuburi bank wee alipoona hatokei ndiyo wakashtuka. Wakajaribu kufuatilia mpaka nyumba aliyokuwa anaishi Manzese lakini wakaambia alishahama kama miezi mitatu iliyopita. Walijaribu kufuatilia sana mpaka Morogoro lakini hakuna aliyekuwa anajua hasa ni mwenyeji wa Morogoro sehemu gani.
 
Ukisikia mjini shule, shamba darasa. Jiulize hao waliotunga huo usemi walikuwa na maana gani ama walikutana na masahabu gani!

Akili ya binadamu ni kitu cha kushangaza mno. Kina uwezo wa ajabu hasa pale mtu anapokutana na changamoto mbalimbali. Huko vijijini akili nyingi zimelala kutokana na kukosa changamoto za kimaisha.

Kijijini hata kama huna kazi huna pesa utaishi tu... Sio mjini! Mjini tangu kunapambazuka mpaka kunakuchwa kila kitu ni shekeli. Hakuna cha bure mjini. Lakini vilevile mjini kila mtu anatamani kuishi maisha fulani lakini changamoto ya elimu kipato na ajira ndio kikwazo.

Hivyo basi kuweza kukabiliana na changamoto hizo watu kila uchao hubuni mbinu mpya za kuingiza kipato. Kuanzia utapeli, wizi, ujambazi, kukaba, kurubuni nknk. Kila mmoja wetu hawezi kukosa kisa cha hawa jamaa wanaoishi kwa ujanja ujanja. Nitaaza mimi kwa kusimulia vichache

Kisa cha kwanza
Huyu jamaa yeye hakuwa na kazi maalum. Ila muda wote ni msafi akionekana kama afisa fulani hivi. Siku moja akawa kakosa nauli kabisa ya kurudi nyumbani kwake Tabata na yuko kijitonyama.

Alichofanya ni kuwarubuni wale jamaa wa magari ya majitaka kuwa anataka huduma hiyo Tabata... Wakapatana bei akaenda nao mpaka mtaa wa pili kufika kwake.

Akashuka huku akiwaelekeza uchochoro mmoja kuwa ndio kwake... Akaingia hapo akatokea upande wa pili akasepa mazima.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kisa cha pili.
Ni wale jamaa wanaorubuni watoto kuwanunulia chakula ama chochote. Ataenda na mtoto hapo mahali ataagiza kama ni bidhaa ama chakula.... Kisha atasepa na kumuacha bond mtoto wa watu..

Karibu nawe kabla sijaendelea na visa vingine

Jr[emoji769]
Bora umeleta huu Uzi. Ktk Uzi wetu ile wa dar na vituko vyake nilikugusia kuhusu utapeli uliokuwa unafanyika pale sokoni manzese kituo cha Bakhresa. Aisee ktk dunia ya utapeli mpaka tunaingia mitamboni mhaya anaongoza na hakimbii kesi.

Pale kulikuwa na wazee watu wazima wahaya ndiyo walikuwa wanaongoza jahazi na wengine wanafuatia. Hivi ulishawai kutapeliwa na mzee wa miaka 60-70 basi hiyo ni manzese. Nitakuwa natupia kidogokidogo as I could remember and get them from the original source. Ila kwa hint tuu JB muigizaji alikuwa anafundishwa utapeli manzese.

Matapeli wazoefu walikuwa wanaitwa walimu na wale wasiowazoefu walikuwa wanaitwa wanafunzi.


Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.

Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?

Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app

nyie ndio wa “bebi nikwambie kitu?” [emoji23][emoji23][emoji23]
 
NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA

kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.

Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.

Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.

Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.

Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.

Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.

Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.

Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?

Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
Bosi goloko huyoo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.

Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?

Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
We si umepata haya maujanja juzi tu kutoka kwenye uzi wa mtandao pendwa, ushakuwa bingwa?
 
NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA

kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.

Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.

Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.

Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.

Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.

Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.

Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.

Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?

Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
Tapeli gani hata kudanganya hujui??[emoji851]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona visa vingi hapa ni vya mapenzi basi ngoja nami nitoe changu
Binti mmoja mkazi wa kino shombe fulani hivi alikuwa na trick yake moja kujifanya ana maruhani.. Anakunywea na kukulia vyako lakini kila ukitaka mchezo anakupanga au anakusubirisha.. Akishakufanyia hivyo kama mara nne ya tano atakubali ila mkifika gesti anapandisha maruhani yake majini mpaka mashetani... Kwa jinsi alivyo msanii itabidi tu utoke nduki umwachie na chumba
Kupata hizi habari nikasema subiri huyu nitamkomesha...
Tukafanya mitoko kama miwili hivi ananipanga... Mimi sikuwa na pressure nikamwambia ngono kwangu sio kipaumbele... Nyoko zake akahadaika... Mtoko wa tatu tukatoka mpaka gesti moja Mandela road...
Baada ya kula na kunywa tukazama ndani.... Kufika ndani akaona sina pressure naye.... Nilikuwa na kibegi changu nimeweka mambo yangu kiko mezani... Basi akaanza vituko... Mara akaanza kujinyoosha na kujinyonga kama nyoka huku anapiga miayo ya kujilazimisha...
Mara akasema anasikia joto, mara baridi halafu taratibu akaanza kupandisha madude yake
Kwenye kibegi changu kulikuwa na joka jeusi la plastic, kinyonga mfu, na mahirizi kibao.... Basi wakati anaendelea kupandisha Mimi nikachukua kibegi changu na kutoa zana niague mgonjwa.....
Kuliona lile joka nilisikia tu akisema mama nakufa... Halafu mashetani, majini na maruhani yote yakaingia mitini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mshtuko alioupata mpaka namaliza round ya kwanza ndio nikaona anaanza kutoa ushirikiano... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Jr[emoji769]
Braza, shenzy kabisa, hahahahahaaaaaaa
Samahani lakin
 
Ni mm 100% ndo maana siachi kutapeli maana picha yangu tu ukiiona kama mtakatifu mtoto nimejistiri unajua demu ndo huyu kumbe tapeli fulani hivi la Mzinga mbagala

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli we Tapeli Ila sura hyo ni yako kwa asilimia 40 zilizobaki ni sura ya foundation. Amini nakwambia
 
Naona visa vingi hapa ni vya mapenzi basi ngoja nami nitoe changu
Binti mmoja mkazi wa kino shombe fulani hivi alikuwa na trick yake moja kujifanya ana maruhani.. Anakunywea na kukulia vyako lakini kila ukitaka mchezo anakupanga au anakusubirisha.. Akishakufanyia hivyo kama mara nne ya tano atakubali ila mkifika gesti anapandisha maruhani yake majini mpaka mashetani... Kwa jinsi alivyo msanii itabidi tu utoke nduki umwachie na chumba
Kupata hizi habari nikasema subiri huyu nitamkomesha...
Tukafanya mitoko kama miwili hivi ananipanga... Mimi sikuwa na pressure nikamwambia ngono kwangu sio kipaumbele... Nyoko zake akahadaika... Mtoko wa tatu tukatoka mpaka gesti moja Mandela road...
Baada ya kula na kunywa tukazama ndani.... Kufika ndani akaona sina pressure naye.... Nilikuwa na kibegi changu nimeweka mambo yangu kiko mezani... Basi akaanza vituko... Mara akaanza kujinyoosha na kujinyonga kama nyoka huku anapiga miayo ya kujilazimisha...
Mara akasema anasikia joto, mara baridi halafu taratibu akaanza kupandisha madude yake
Kwenye kibegi changu kulikuwa na joka jeusi la plastic, kinyonga mfu, na mahirizi kibao.... Basi wakati anaendelea kupandisha Mimi nikachukua kibegi changu na kutoa zana niague mgonjwa.....
Kuliona lile joka nilisikia tu akisema mama nakufa... Halafu mashetani, majini na maruhani yote yakaingia mitini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mshtuko alioupata mpaka namaliza round ya kwanza ndio nikaona anaanza kutoa ushirikiano... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Jr[emoji769]
Duuuh aiseeeee Wewe hadi nao unaongoza kilinge dk tano goli 5,kweli we Noma
 
Wacha wee... Naziona dalili zote za nauli kutumwa hapa[emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.

Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?

Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna tapeli anayejiita tapeli. Acha uongo
 
Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.

Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?

Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah aisee umenikumbusha dom 2010,kuna rafiki yangu alijifanya kula laki alitumiwa nauli na mpemba wakutane dar akaanza kumzingua ,mbona alimrudisha pesa ya watu
 
Back
Top Bottom