Visent Kigosi (Ray) Nyota yake ilikuwa inazunguka kwa Mgongo wa Kanumba. Kifo cha Kanumba kimeleta shida sana kwake

Visent Kigosi (Ray) Nyota yake ilikuwa inazunguka kwa Mgongo wa Kanumba. Kifo cha Kanumba kimeleta shida sana kwake

Hivi Chalinze na Mlandizi ni wale wale?

Kote Pwani na mambo yao ya kipwani pwani.

Nollywood na Bongo movie zote kelele tu ila watu wanapata mkate wao wa kila siku kwenye hizo tasnia so there's that.
 
Wale waigizaji wa Nollywood wengi wana shahada na uigizaji kwao ni vipaji. Hapa kwetu Bongo Movie ni mlango wa kutokea huna cheti chochote.
dada yangu umeongea jambo la msingi sana.tasnia ya filamu tanzania imetawaliwa na vilaza wengi. wanaojiita wasanii wamejificha kwenye kichaka cha umaarufu.

azam tv huwa wana segment inayozungumzia wasifu wa wasanii nyota wa kituruki ambao tamthilia zao zinaonyweshwa kwenye chaneli ya azam two. CV zao zinatisha sana, ni shule mwanzo mwisho.

wacheza filamu wa bongo wameridhika na vipaji vyao. hakuna anayetumiwa wasifu wa wasanii wa kituruki kama hamasa ya kuwashawishi warudi shule kuongeza maarifa.
 
dada yangu umeongea jambo la msingi sana.tasnia ya filamu tanzania imetawaliwa na vilaza wengi. wanaojiita wasanii wamejificha kwenye kichaka cha umaarufu.

azam tv huwa wana segment inayozungumzia wasifu wa wasanii nyota wa kituruki ambao tamthilia zao zinaonyweshwa kwenye chaneli ya azam two. CV zao zinatisha sana, ni shule mwanzo mwisho.

wacheza filamu wa bongo wameridhika na vipaji vyao. hakuna anayetumiwa wasifu wa wasanii wa kituruki kama hamasa ya kuwashawishi warudi shule kuongeza maarifa.
Ukiwa muangalia sinema mzuri, Nollywood wanasoma sana novels za Kizungu na kunvert scene nyingine katika mazingira ya Kiafrika. Kwakweli hata kama wana copy lakini wanaongeza manjonjo na Kiingereza chao hata Wazungu wanakielewa.
 
Ujue watanzania wa siku hizi sio kama wa zamani..watanzania siku hizi wameshachoka kufokewa bila sababu za msingi..style yake ya kufokafoka wakati anaigiza ndio imemuharibia
[emoji23][emoji23][emoji23]eti syle ya kufoka
 
Ujue watanzania wa siku hizi sio kama wa zamani..watanzania siku hizi wameshachoka kufokewa bila sababu za msingi..style yake ya kufokafoka wakati anaigiza ndio imemuharibia
Alaaa....puuumbaaaavuuuuuuuu.....
 
dada yangu umeongea jambo la msingi sana.tasnia ya filamu tanzania imetawaliwa na vilaza wengi. wanaojiita wasanii wamejificha kwenye kichaka cha umaarufu.

azam tv huwa wana segment inayozungumzia wasifu wa wasanii nyota wa kituruki ambao tamthilia zao zinaonyweshwa kwenye chaneli ya azam two. CV zao zinatisha sana, ni shule mwanzo mwisho.

wacheza filamu wa bongo wameridhika na vipaji vyao. hakuna anayetumiwa wasifu wa wasanii wa kituruki kama hamasa ya kuwashawishi warudi shule kuongeza maarifa.
Umeongea point. Niliangalia filamu moja ya watoto mapacha ilikuwa kali sana.
 
Ray bana hadi blog akaanzisha ili mradi aonekane mwamba kama kanumba. Kifo cha kanumba ni pigo kali kwa ray na vidada alivyovivumbua,vimebakia na umaarufu wa insta tu

Huu ni mfano Domo vs kiba& harmo

Kiba na harmo wamuombee domokaya maisha marefu maana ndie aliyebeba umaarufu wao
Kipindi kile kiba anatamba na Cinderella huyo mond ulikuwa unamjua?!
 
Siku hizi wamejikita kutoa series film haziuziki
Kuna kipindi alipiga kelele kuwafanya wapenzi wa bongo movie wamsahau Steven Charles Kanumba lakini wapi
Nakibaya zaidi makampuni ya usambazaji wafilm yamekufa
Najiuliza Kanumba angekuwepo kweli yangekufa haya makampuni
Ila jamaa atakumbukwa Daima wale waliomchukia wanaona umuhimi wake kwa sasa
Pilpili entertainment
 
Ule msuguano wao wa kishabiki ulikuwa unanogesha tasinia nzima ya bongo movie.
Na ieleweke bila ushindani wa vile mara nyingi kunakuwa hakuna maendeleo ya jambo husika.

Inawezekana pia kama angetangulia Ray, Kanumba naye kwa kiasi fulani angeyumba.

-Kanumba The great ....Ray naye akajiita The Greatest [emoji28]
Kama vp ashindane na gabo
 
Siku hizi wamejikita kutoa series film haziuziki
Kuna kipindi alipiga kelele kuwafanya wapenzi wa bongo movie wamsahau Steven Charles Kanumba lakini wapi
Nakibaya zaidi makampuni ya usambazaji wafilm yamekufa
Najiuliza Kanumba angekuwepo kweli yangekufa haya makampuni
Ila jamaa atakumbukwa Daima wale waliomchukia wanaona umuhimi wake kwa sasa
Mkojani na vituko vyake kawafunika. Siku hizi hata Johari anaomba kumpata mme yeyote mwenye akili timamu tu amuoe ili amsitiri kachoka kudanga
 
KE

huo ni uzi wa huyo born town shabiki wa kiba na r kelly

mkuu huu ni ukorofi wa kimataifa, umempiga na kitu kizito kichwani sijui kama atainuka.
 
Wana JF

Ukisikia nyota kung'aa huwa ina msukumo wa dodoki, hii imetokea mwigizaji nguli Ray ambaye akiweka sana miaka 8 iliyopita kwa mgongo wa Kanumba, ambaye alitokea kupanda sana kutokana na juhudi zake za kukonga roho za watu kutokana na umahili wa kuigiza nyanja zote.

Msindani wake Visent Kigosi almaalufu kama King Ray, alijinasibu kuwa wana uwezo unaofanana katika uigizaji. Mara nyingi tuliona drama za kushindana hata kuonyesha magari mazuri. Kanumba yeye alijikita kwenye mapenzi na wasichana wapya wakati Ray yeye alinasa kwa majimama yenye pesa.

Namkumbuka Dotnata akiwa ni mtu mzima mama wa watoto wawili alikuwa ilimanusura waoane. Dottinata kipindi hicho anawika kwa mapishi bora ya kwenye harusi na masherehe pia na mapambo. Sikui hizi haonekani kabisa. Ray hata matangazo hawampi Richard ya kuandaa mwanae angalau aambulie ustaa bado mbichi lakini naye makosa promo baada ya Ray kutengana na mke wake.

Wewe nyota yako inazunguka kwa mgongo wa nan mtoa mada
 
Mkuu acha papara na kukurupuka bila kusahau kuabudu watu ,domo hawezi kuwa nabii halafu karibu JF nzima wanafahamu am domo hater. kiba alipotea akaja kuibuka kwa kiki ya kushindana na domo

anashindana nini na domo!!!!

magari,wingi wa nyimbo,machawa ama idadi ya mademu??
 
Mkojani na vituko vyake kawafunika. Siku hizi hata Johari anaomba kumpata mme yeyote mwenye akili timamu tu amuoe ili amsitiri kachoka kudanga
Huyo mkojani anajitahidi kuvaa viatu vya Mzee Majuto lakini vitampwaya anamisifa sana
 
Back
Top Bottom