Visenti kidogo nimebadilisha mafuta

Visenti kidogo nimebadilisha mafuta

Mimi ni team wix....
Mwaka wa wa pili sasa....
Hatariiii ngozi imeglow balaa...
Natumia kuanzia sabuni mpaka sunscreen ngozi full kuteleza....
Nikifanya scrub ndo balaa full kuteleza kunukia utamu...
Katika bidha zote yanayonikosha ni hayo mafuta ya maji yananukia utamu balaa...
Yaani harufu fulani hivi ya kinyamwezi...
Hii picha nilimtumia leo bint mmoja nasoma nae maana alitaka kujua napaka nini...
 

Attachments

  • 20220819_032012.jpg
    20220819_032012.jpg
    363.9 KB · Views: 51
Habari wakuu,

Husika na kichwa hapo juu,

Baada ya kupata visenti kidogo nimeona nibadili mafuta ya kupaka.

Na hii ni baada ya kuona mwenzangu aliyezeeka uso kawa kijana ghafla.pia ngozi imekuwa kama mtoto.

Nikamuuliza unapaka nini akasema OLAY CREAM toka UK inauzwa Lavish Glow wapo Mbezi Salasala akanipa namba, ndio mafuta mazuri, yapo ya mchana na usiku bei akanitonya, basi mtoto mkali mimi nikaona nijilipue.

Akaniambia ni mafuta ya ngozi za kawaida yani normal skin, bei elfu 50.

Nikaanza kupaka mtoto mie, jamani nimekuwa mlaini hatareeee...

Nikaona nisiwe mchoyo niwaambie

😂😂😂😂
 
Mimi ni team wix....
Mwaka wa wa pili sasa....
Hatariiii ngozi imeglow balaa...
Natumia kuanzia sabuni mpaka sunscreen ngozi full kuteleza....
Nikifanya scrub ndo balaa full kuteleza kunukia utamu...
Katika bidha zote yanayonikosha ni hayo mafuta ya maji yananukia utamu balaa...
Yaani harufu fulani hivi ya kinyamwezi...
Hii picha nilimtumia leo bint mmoja nasoma nae maana alitaka kujua napaka nini...
Hebu nikuone😂
 
Mimi ni team wix....
Mwaka wa wa pili sasa....
Hatariiii ngozi imeglow balaa...
Natumia kuanzia sabuni mpaka sunscreen ngozi full kuteleza....
Nikifanya scrub ndo balaa full kuteleza kunukia utamu...
Katika bidha zote yanayonikosha ni hayo mafuta ya maji yananukia utamu balaa...
Yaani harufu fulani hivi ya kinyamwezi...
Hii picha nilimtumia leo bint mmoja nasoma nae maana alitaka kujua napaka nini...
Nasikia nzuri sana
 
Mimi ni team wix....
Mwaka wa wa pili sasa....
Hatariiii ngozi imeglow balaa...
Natumia kuanzia sabuni mpaka sunscreen ngozi full kuteleza....
Nikifanya scrub ndo balaa full kuteleza kunukia utamu...
Katika bidha zote yanayonikosha ni hayo mafuta ya maji yananukia utamu balaa...
Yaani harufu fulani hivi ya kinyamwezi...
Hii picha nilimtumia leo bint mmoja nasoma nae maana alitaka kujua napaka nini...
Hadi umentamanisha. Na wenye ngozi kavu yanatufaa?
 
Kwa niaba ya Wana jf naomba nije nithibitishe huo ulaini wa ngozi yako mrembo 🤗
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa hapo juu,

Baada ya kupata visenti kidogo nimeona nibadili mafuta ya kupaka.

Na hii ni baada ya kuona mwenzangu aliyezeeka uso kawa kijana ghafla.pia ngozi imekuwa kama mtoto.

Nikamuuliza unapaka nini akasema OLAY CREAM toka UK inauzwa Lavish Glow wapo Mbezi Salasala akanipa namba, ndio mafuta mazuri, yapo ya mchana na usiku bei akanitonya, basi mtoto mkali mimi nikaona nijilipue.

Akaniambia ni mafuta ya ngozi za kawaida yani normal skin, bei elfu 50.

Nikaanza kupaka mtoto mie, jamani nimekuwa mlaini hatareeee...

Nikaona nisiwe mchoyo niwaambie na nyie.
Mwenzako Kiranja Mkuu anaoga mkojo asizeeke
 
Back
Top Bottom