Acha upuuzi kijana we ni mwalimu?unauhakika gani kama hawajapewa?Acha ujingaVishkwambi walivyoahidiwa walimu kupata vimepotelea wapi.
Ingekuwa Enzi za JPM:-
(1) Vishkwambi vingekuwa vilishasambazwa muda mrefu.
(2) Hakuna Kishkwambi hata kimoja ambacho kingekwapuliwa kama ilifanyika sasa.
Waulize Kama wote walipata kama agizo lilivyoelekeza. Ukijibiwa ndio, nitatembelea kichwa feki.Vishkwambi vinagawa kuanzia tarehe 9 hadi 15 januari,,,kuna baadhi ya halmashauri wameshapewa tangu tarehe 8/12/2022. mfano
korogwe vijijin
karatu dc
nanyamba dc
Hii maana yake havitoshi ama vimepopolewa njiani kabla ya kuwafikia walimu masikini ambao tayari walikuwa na matumaini lukuki kuvipata.nikwamba!!,kwa mujibu wa jamaa yangu ambaye ni mwalimu, kila shule havizidi 8,anapata mkuu wa shule/mwl mkuu,makamu mkuu wa shule,mtaaluma,mtu wa stoo,anaehusika na usajili wa wanafunzi.SIO KILA MWL AMEPATA icho kishikwambi.huo ndio ukweli.
Hilo la "kwa walimu wote nchini" umelitoa wapi Kamyamya !!??Mapema mwezi Disemba mwaka uliopita 2022,waziri mkuu alizindua ugawaji wa Vishkwambi Dodoma kwa walimu wote nchini ili vikatumike kufundishia mashuleni.
Ugawaji wa vifaa hivi ulishaanza na bado unaendelea katika Halmashauri zetu kupitia idara ya Uthibiti ubora(zamani ukaguzi). Cha ajabu badala ya kugawa kwa walimu wote Kama Waziri mkuu alivyoelekeza umetoka mwongozo unaelekeza walimu wa vitengo pekee kupewa vifaa hivyo.
Nimefuatilia kwa ukaribu Halmashauri mbili Mbozi na Mpanda wanagawa Vishkwambi 7 kwa kila shule. Ukiangalia wastani idadi ya walimu kwa shule kwa mfano ni zaidi ya walimu 12, Kwa hesabu hiyo maana yake walimu wengi hawatapata vifaa hivyo. Sasa najiuliza Vishkwambi hivyo VIMEYEYUKIA WAPI?
Nilikuwa najaribu kuiweka video ya kauri ya waziri mkuu Kama rejea, akizindua zoezi lenyewe lakini imegoma. Ila ujumbe wangu umefika.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
ninachojua vimeanza kugaiwa and the target was kuhakikisha kila Mwalimu anapata kbl ya tarehe ya leo ambayo ni ya kufungua shule. nina ushahidi na Manispaa fulani wao wamegaiwa hiz tablet kati ya tarehe 5-6 January, 2023.Vishkwambi walivyoahidiwa walimu kupata vimepotelea wapi.
Ingekuwa Enzi za JPM:-
(1) Vishkwambi vingekuwa vilishasambazwa muda mrefu.
(2) Hakuna Kishkwambi hata kimoja ambacho kingekwapuliwa kama ilifanyika sasa.
Hapo nilikuwa namaanisha walimu wote kwa shule na Taasisi za elimu za Serikali.Hilo la "kwa walimu wote nchini" umelitoa wapi Kamyamya !!??
😂😂😂😂 Mbwa mama yako aliekuzaa alipigwa pipe na wanaume wengi ukapatikana ww usie na akili wala adabu. Usaha wa nyapu ya mama yako mzazi
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kuweni na busara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbwa mama yako aliekuzaa alipigwa pipe na wanaume wengi ukapatikana ww usie na akili wala adabu. Usaha wa nyapu ya mama yako mzazi
Mh. Waziri Mkuu, hili nalo kalitizame.Na hili nalo mkaliangalie
Vishkwambi vimepigwa juukwaju, mama wamulike wateule wako. Walimu wanalia humu siku ya pili leo , wamekata tamaa.Japo vinakula sana mbs, ila niishukuru serikali ya mama wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan kwa kuwapa walimu vishikwambi.
Busara zipo ila mtu akijizima data mm namconnect na hotspotKuweni na busara
Mkuu si vizuri kupotosha,Mimi ni mwalimu wa darasa la form One A nimepata,na kila mwalimu shuleni kwangu kapata bila kujali kitengonikwamba!!,kwa mujibu wa jamaa yangu ambaye ni mwalimu, kila shule havizidi 8,anapata mkuu wa shule/mwl mkuu,makamu mkuu wa shule,mtaaluma,mtu wa stoo,anaehusika na usajili wa wanafunzi.SIO KILA MWL AMEPATA icho kishikwambi.huo ndio ukweli.
Acha kupotosha,kila mwalimu shuleni kwangu na halmashauri mzima walimu wote wamepataWalimu hawajapewa wote kuna watu lazima wamevipiga, kwa sisi wa vyuo kila mwalimu kapewa ila secondari huko nna mtu namjua vimekuja wamepewa walimu wa madarasa tu
Mm wife ni mwl, hajapata mkuu na wala sipotoshiAcha kupotosha,kila mwalimu shuleni kwangu na halmashauri mzima walimu wote wamepata