Vishkwambi walivyoahidiwa walimu vimeenda wapi?

Vishkwambi walivyoahidiwa walimu vimeenda wapi?

Kama ww ni mwalimu just ulizia tu utapata majibu kuna jukwaa la walimu humu ulizia
 
Hizi ipad kwa mwalimu zina msaada mkubwa sana ikiwemo kudownload vitabu na kujisomea vitu mbalimbali mtandaoni. Ili kujiweka sawa kwa ajili ya kufundisha.
 
Hizi ipad kwa mwalimu zina msaada mkubwa sana ikiwemo kudownload vitabu na kujisomea vitu mbalimbali mtandaoni. Ili kujiweka sawa kwa ajili ya kufundisha.
Sawa, lakini pia ifikie wakati walimu wajiweke katika hali ya kujitafutia vifaa vya aina hiyo bila kusubiri mabaki ya sensa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujitaftia kwani shule ni mali zao binafsi. Wewe mfano ni engineer unaambiwa ununue spades, mwiko za kwako ili ukaje ge jengo la serikali utafanya hivo
Sasa, mwalimu hadi leo hajui kutumia simu janja na yupo yupo tu. Akiambiwa atume document fulani kwa manufaa yake, hajui ku scarn na hana hata simu janja.
Utasikia tu naomba unisaidie. Mwalimu wa leo huyo.

Asubiri kishikwambi?

Simu janja ni sawa na kishikwambi, akiwa nayo anaweza kutafuta maarifa zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa, mwalimu hadi leo hajui kutumia simu janja na yupo yupo tu. Akiambiwa atume document fulani kwa manufaa yake, hajui ku scarn na hana hata simu janja.
Utasikia tu naomba unisaidie. Mwalimu wa leo huyo.

Asubiri kishikwambi?

Simu janja ni sawa na kishikwambi, akiwa nayo anaweza kutafuta maarifa zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Agho mahelu!!!!

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu si vizuri kupotosha,Mimi ni mwalimu wa darasa la form One A nimepata,na kila mwalimu shuleni kwangu kapata bila kujali kitengo

Huku kwetu(Tukuyu)wamejigawia wakuu wa shule,makamu wakuu wa shule,wahasibu,watakwimu na wataaluma baasi😄😄😄,HII NCHI NGUMU HII.
 
Kwakuwa 50% ya marais wa HII nchi ni walimu!

Uwezekano wa Mwl mwingine kuwa Rais wa NCHI ni mkubwa kuliko kada nyingine!

Zipo dalili za wazi kabisa nitakuwa na dharau dhidi ya walimu zitaisha kabisaa!!!

Waziri mkuu atatamani awe Mwalimu kuliko kuwa Waziri!

Nitaondoa mapesa mengi kwenye SIASA yasiyo na TIJA na kupeleka kwenye utaalamu na uweledi kuliko ilivyo Sasa!!


Mungu ibariki NCHI yetu Tanzania niipendayo Sana!
 
Jinsi ulivyo mkali shuleni wanafunzi wako hawataamini nikiwaambia unalilia kitu ya bure
 
Mm sio mwalimu mkuu but namchukias sana mtu anayemdharau mwalimu hivi wewe hujawahi kusoma. Nan kakufundisha kuandika kusoma na kuhesabu. Kuna watu akili zao hazipo kichwani zipo somewhere else. Unaona kujua kutumia smart ndo ujanja sio
Sijamdharau mwalimu. Ni ushauri tu. Kuna baadhi ya walinu wako hivyo.

Kwani kununua baadhi ya vifaa vinavyomsaidia kazi ni dhambi?

Suala la simu janja kwa mwalimu wakati huu hailkwepeki. Hata kuangalia matokeo ya mwanafunzi wake akaombe kuangalia kwa jirani? Au asubiri kishikwambi?

Kazi nyingi sasa zinamtaka mwalimu atumie ama simu ama computor, atakaa asubiri kishikwambi?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu si vizuri kupotosha,Mimi ni mwalimu wa darasa la form One A nimepata,na kila mwalimu shuleni kwangu kapata bila kujali kitengo
Sio kweli kuwa kila mwalimu atapata kishikwambi,kuna baadhi ya halmashauri nazo ni chache walipewa vishikwambi ,angalau vinavyotosheleza kwa kila mwalimu lakini halmashauri nyingi kuna upungufu mkubwa wa ugawaji wa hivyo vishikwambi ,mkeka upo unaonyesha ugawaji wa vishikwambi kwa kila halmashauri ya wilaya na upungufu wake,kuna rafiki yangu yupo shule moja ipo Wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida wao wamepewa vishikwambi kumi(10)wakati walimu wapo ishirini na mbili(22)
 
Sio kweli kuwa kila mwalimu atapata kishikwambi,kuna baadhi ya halmashauri nazo ni chache walipewa vishikwambi ,angalau vinavyotosheleza kwa kila mwalimu lakini halmashauri nyingi kuna upungufu mkubwa wa ugawaji wa hivyo vishikwambi ,mkeka upo unaonyesha ugawaji wa vishikwambi kwa kila halmashauri ya wilaya na upungufu wake,kuna rafiki yangu yupo shule moja ipo Wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida wao wamepewa vishikwambi kumi(10)wakati walimu wapo ishirini na mbili(22)
Weka huo mkeka mkuu

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Sio kweli kuwa kila mwalimu atapata kishikwambi,kuna baadhi ya halmashauri nazo ni chache walipewa vishikwambi ,angalau vinavyotosheleza kwa kila mwalimu lakini halmashauri nyingi kuna upungufu mkubwa wa ugawaji wa hivyo vishikwambi ,mkeka upo unaonyesha ugawaji wa vishikwambi kwa kila halmashauri ya wilaya na upungufu wake,kuna rafiki yangu yupo shule moja ipo Wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida wao wamepewa vishikwambi kumi(10)wakati walimu wapo ishirini na mbili(22)
@Antonnia come this way
 
Back
Top Bottom