Lennovo core i5
Member
- Dec 4, 2019
- 59
- 101
Wewe unazima mkaa sio moto, naomba usiulize swali lingine naenda kuchunguza kambi za marekani zilizoshambuliwa na Iran ili nilete taarifa kamiliKwaiyo maji nayotumia mimi kuzima mkaa wangu jikoni, hiyo carbon dioxide inakua imewekwa na nani?
Tueleze wewe ambaye umepitia chemistry ya fom two
kasoma english medium huyo msamehe hajui tofauti ya tenki na kisima kwa kiswahiliHakuna kisima cha mafuta Kigamboni na lake oil hawajawahi kuwa na kisima cha mafuta Tanzania hii, labda useme matenki ya mafuta ya lake oil.
Hizi shule za kusomea ujinga ni majanga.
Hakuna kisima cha mafuta Kigamboni na lake oil hawajawahi kuwa na kisima cha mafuta Tanzania hii, labda useme matenki ya mafuta ya lake oil.
Hizi shule za kusomea ujinga ni majanga.
ulitaka waende na midomo wakatemee mate moto uzimike?
TANGI NI CHUMA SIO MBAO LITAWAKAJE MOTO?..tank lingewaka ingekuaje?
Tukio hilo lihusishwe moja kwa moja na Iran.
Lile gari la morogoro pia lilikuwa la mbao.TANGI NI CHUMA SIO MBAO LITAWAKAJE MOTO?
Yaliyokuwa yakiungua ni mafuta sio tenki la gari.Mafuta ndio yaliungua tenki kwa kuwa ni la chuma sio mbao halikuungua
Mkuu usipende kuelezea vitu usivyoelewa...TANGI NI CHUMA SIO MBAO LITAWAKAJE MOTO?
Na mkojo wakakukojoleeeulitaka waende na midomo wakatemee mate moto uzimike?
1) tunasema tank limeshika moto nakama matanki yana Code namba mf tank A tank B... Tunasema tank C limeshika moto linaungua japo chemically yanaungua mafuta professionally tunasema tank linaungua, ikija zimamoto atauliza tank gani linaungua unasema Tank C kwaakiri zako na wewe utamjibu “yanaungua mafuta sio tank”Yaliyokuwa yakiungua ni mafuta sio tenki la gari.Mafuta yaliungu tenki kwa kuwa ni la chuma sio mbao halikuungua
lakin moto wa mafuta hauzimwi kwa majiNi tanzania pekee ambayo zimamoto watafika eneo la tukio na kusema hawana maji wakati moto umetokea kando kando ya bahari
Unapojifanya mjuzi sana [emoji121]Ni tanzania pekee ambayo zimamoto watafika eneo la tukio na kusema hawana maji wakati moto umetokea kando kando ya bahari
unazimwaje kwa kupuliza na mdomo au?lakin moto wa mafuta hauzimwi kwa maji
hahhahaha hahhahaha kwa foamunazimwaje kwa kupuliza na mdomo au?
HawashindwiDaaah mkuu umezingua sasa wachote moto?
Hapana ni uzembe wa kutokuwa na vifaa vya kutosha kukabili moto hasa maeneo kama hayo. Wakajifunze Mtwara kwenye visima vya gesi kule.is that a crime