Visima vya mafuta vya Lake Oil, Kigamboni vinateketea kwa moto

Visima vya mafuta vya Lake Oil, Kigamboni vinateketea kwa moto

Hii hali ya joto kuwa kali,inabidi tuwe makini sana kuanzia majumbani kwetu,hasa namna tunavyotunza nguo ambazo hatuzitumii kwa muda mrefu,majani makavu kwa wale wafugaji.

Unaweza shangaa moto umeibuka ukaanza kutafuta mchawi aliyekutumia moto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mwaka umeanza fyongo,kule soko la dunia mafuta yakwenda kupanda sababu ya marekani huku kwetu stock zinaungua balaa sasa ngoja niifunike tu turubai nissan Skline maana ina CC 2500,kesho natafuta boxer ninunue.
 
Hivi kile kivuko cha kigamboni mwisho sa ngapi mwenye kufahamu please
 
Hakuna kisima cha mafuta Kigamboni na lake oil hawajawahi kuwa na kisima cha mafuta Tanzania hii, labda useme matenki ya mafuta ya lake oil.

Hizi shule za kusomea ujinga ni majanga.
Bibi tusamehe bure, tupo kwenye heka heka za kuzima moto sasa.
 
Nchi hii imekwama sana TBC wanaonesha michezo ya kuigiza muda huu hakuna alert yeyote.
 
Hakuna kisima cha mafuta Kigamboni na lake oil hawajawahi kuwa na kisima cha mafuta Tanzania hii, labda useme matenki ya mafuta ya lake oil.

Hizi shule za kusomea ujinga ni majanga.
Wewe ajuza unakulaga ugolo?
Ujuaji mwingi mbele kiza
 
Acha kujifanya mjuaji wakati kichwani ni upepo.

Ati Tanzania hakuna Visima vya mafuta. Sijui umetumia Criteria ipi kuwasilisha upuuzi huu. Unajua maana ya kisima? Unajua maana ya "Tank"

Yaani kama kuna visima vya Maji iweje kusiwepo na Visima vya Mafuta?

Najua mawazo yako Mgando utasema visima vya Mafuta ni vile vilivyopo Uarabuni. Ili ujue kichwa chako sio kizima.

Kisima cha mafuta hata wewe unaweza kuwa macho hapo nyumbani. Unachimba kisima cha kawaida kisha unayahifadhi mafuta humo ndani.


Sheli( Nafahamu ni kampuni ya mafuta) lakini kwa Watanzania walisema Sheli wanalenga vituo vya mafuta. Hivyo nitatumia neno hilo hilo kurejelea maana ya kituo cha mafuta. Sheli nyingi Tanzania zinavisima vya Mafita sasa wewe sijui unapataje uhodari kusema kigambamo hakuna kisima cha mafuta tena ujinga wako ukakupeleka mbali zaidi kuitaja Tanzania ati haina visima vya mafuta.

Labda uje na maana mpya ya Istilahi "Kisima" na hiyo ya "Tank"


Haya Wasomaji watajua nani aliyesomea ujinga. Kati ya mtoa post na wewe Mvamia post.
Hilo ajuza ujuaji huwa mwingi, yani yeye kila kitu anajua hana mashikolo mageni
 
Back
Top Bottom