Acha kujifanya mjuaji wakati kichwani ni upepo.
Ati Tanzania hakuna Visima vya mafuta. Sijui umetumia Criteria ipi kuwasilisha upuuzi huu. Unajua maana ya kisima? Unajua maana ya "Tank"
Yaani kama kuna visima vya Maji iweje kusiwepo na Visima vya Mafuta?
Najua mawazo yako Mgando utasema visima vya Mafuta ni vile vilivyopo Uarabuni. Ili ujue kichwa chako sio kizima.
Kisima cha mafuta hata wewe unaweza kuwa macho hapo nyumbani. Unachimba kisima cha kawaida kisha unayahifadhi mafuta humo ndani.
Sheli( Nafahamu ni kampuni ya mafuta) lakini kwa Watanzania walisema Sheli wanalenga vituo vya mafuta. Hivyo nitatumia neno hilo hilo kurejelea maana ya kituo cha mafuta. Sheli nyingi Tanzania zinavisima vya Mafita sasa wewe sijui unapataje uhodari kusema kigambamo hakuna kisima cha mafuta tena ujinga wako ukakupeleka mbali zaidi kuitaja Tanzania ati haina visima vya mafuta.
Labda uje na maana mpya ya Istilahi "Kisima" na hiyo ya "Tank"
Haya Wasomaji watajua nani aliyesomea ujinga. Kati ya mtoa post na wewe Mvamia post.