jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Umezidi ushari na wewe! kama yatima wa general Qaseem!!Hakuna kisima cha mafuta Kigamboni na lake oil hawajawahi kuwa na kisima cha mafuta Tanzania hii, labda useme matenki ya mafuta ya lake oil.
Hizi shule za kusomea ujinga ni majanga.