mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ilipoungua mamba club studio pale fire walikuja[emoji30][emoji30][emoji30]
Jr[emoji769]
Lkn walisahau maji kubeba
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilipoungua mamba club studio pale fire walikuja[emoji30][emoji30][emoji30]
Jr[emoji769]
Update
Wamama wa imani yako hairuhusiwi kuhutubia wababa.Shika adabu yako. Perez.
Mtoto wa Tamar kwenye biblia. Kasome kisa chake utanielewa.Perez ndio nini bibi?
Nipo morogoro naona moshi tu agani, itakuwa ndio hilo tukio
Huujuwi Uislam wewe, kaa kimya.Wamama wa imani yako hairuhusiwi kuhutubia wababa.
Abide.
Uko sahihi nami nimeona moshi huku Igunga ni wazi ilikuwa ni shehena nyingi sana.
Mabubu wote wanatokana na kutokuujua uslamuHuujuwi Uislam wewe, kaa kimya.
Amejichanganya mkuu,Kwaiyo maji nayotumia mimi kuzima mkaa wangu jikoni, hiyo carbon dioxide inakua imewekwa na nani?
Tueleze wewe ambaye umepitia chemistry ya fom two
Nilijua utawaambia waliokaribu waondoke kwenye hayo maeneo. Ila badala yake unataka wakupe taarifaView attachment 1316501
Habari nilizopata hivi punde ni kwamba
Tukio hili linatokea sasa hivi sa tatu na nusu usiku.
Moto mkubwa unawaka katika visima vya Mafuta vya Lake Oil Kigamboni.
Kwa walioko karibu tafadhali tupeane updates kuhusu usalama na yanayoendelea kwa sasa
Wakazi wa Kigamboni,Kisiwani,Vijibweni na maeneo Jirani chukueni Hadhari
Hapana huko ni mimi na masela ndio tumeulipuaUko sahihi nami nimeona moshi huku Igunga ni wazi ilikuwa ni shehena nyingi sana.
Mpiga picha sogea japo hapo Munuo tuone vizuri,hapo ni mbali sana
Sent using Jamii Forums mobile app