Visima vya mafuta vya Lake Oil, Kigamboni vinateketea kwa moto

Visima vya mafuta vya Lake Oil, Kigamboni vinateketea kwa moto

Taratibu jaman! Mie niliyopo Tabata sijaona moshi ndo mniambie Moro mumeona moshi mkubwa angani!
 
Hatari hii
 
Hao zimamoto mpaka sasa bado hawajaudhibiti huo mto tu
 
Kwaiyo maji nayotumia mimi kuzima mkaa wangu jikoni, hiyo carbon dioxide inakua imewekwa na nani?

Tueleze wewe ambaye umepitia chemistry ya fom two
Amejichanganya mkuu,
Kila aina ya moto ina aina ya uzimaji wake.

Mfano, huu moto wa mafuta huwezi tumia maji,maana utasababisha usambae zaidi. Labda kama alitaka kuwa na maana ya foam.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1316501
Habari nilizopata hivi punde ni kwamba

Tukio hili linatokea sasa hivi sa tatu na nusu usiku.

Moto mkubwa unawaka katika visima vya Mafuta vya Lake Oil Kigamboni.

Kwa walioko karibu tafadhali tupeane updates kuhusu usalama na yanayoendelea kwa sasa

Wakazi wa Kigamboni,Kisiwani,Vijibweni na maeneo Jirani chukueni Hadhari
Nilijua utawaambia waliokaribu waondoke kwenye hayo maeneo. Ila badala yake unataka wakupe taarifa
 
Back
Top Bottom