Visima vya mafuta vya Lake Oil, Kigamboni vinateketea kwa moto

Visima vya mafuta vya Lake Oil, Kigamboni vinateketea kwa moto

Acha kujifanya mjuaji wakati kichwani ni upepo.

Ati Tanzania hakuna Visima vya mafuta. Sijui umetumia Criteria ipi kuwasilisha upuuzi huu. Unajua maana ya kisima? Unajua maana ya "Tank"

Yaani kama kuna visima vya Maji iweje kusiwepo na Visima vya Mafuta?

Najua mawazo yako Mgando utasema visima vya Mafuta ni vile vilivyopo Uarabuni. Ili ujue kichwa chako sio kizima.

Kisima cha mafuta hata wewe unaweza kuwa macho hapo nyumbani. Unachimba kisima cha kawaida kisha unayahifadhi mafuta humo ndani.


Sheli( Nafahamu ni kampuni ya mafuta) lakini kwa Watanzania walisema Sheli wanalenga vituo vya mafuta. Hivyo nitatumia neno hilo hilo kurejelea maana ya kituo cha mafuta. Sheli nyingi Tanzania zinavisima vya Mafita sasa wewe sijui unapataje uhodari kusema kigambamo hakuna kisima cha mafuta tena ujinga wako ukakupeleka mbali zaidi kuitaja Tanzania ati haina visima vya mafuta.

Labda uje na maana mpya ya Istilahi "Kisima" na hiyo ya "Tank"


Haya Wasomaji watajua nani aliyesomea ujinga. Kati ya mtoa post na wewe Mvamia post.
Natamani kujua alijibuje hili Mkuu FF!
 
Sasa mzee unataka kusema moderators ni wajinga hadi wameacha title ya "visima vya lake oil"?
.
Au wewe ukisikia kisima cha mafuta moja kwa mbili unakiona kiko kama kisima cha maji?
Kwahiyo mkuu na wewe unaamini kabisa kwamba kilichopo pale Lake Oil ni Visima vya Mafuta?!
 
Hawana vifaa vya kutosha kuzima moto wa mafuta. Tusubiri ndege zikileta faida tuitumie kununua hivyo vifaa.
Pole sana, dua lako ovu limegonga ukuta. Wanajeshi wetu wa kupambana na moto wameuzima saa sita usiku.
 
Kwahiyo mkuu na wewe unaamini kabisa kwamba kilichopo pale Lake Oil ni Visima vya Mafuta?!
Yes, kungekuwa hakuna mods wangeshatoa hiyo neno "KISIMA"
.
Types of wellsEdit

A natural gas well in the southeast Lost Hills Field, California, US.

Raising the derrick

Oil extraction in Boryslav in 1909

Burning of natural gases at an oil drilling site, presumably at Pangkalan Brandan, East Coast of Sumatra - circa 1905
 
Kwahiyo mkuu na wewe unaamini kabisa kwamba kilichopo pale Lake Oil ni Visima vya Mafuta?!
Kisima=well= kuna chemichemi ya maji ama mafuta ama gasi
Shimo la ardhini= pit= lakini kwa kiswahili chetu hatusemi shimo la mafuta, tunasema kisima cha mafuta.
 
Kisima=well= kuna chemichemi ya maji ama mafuta ama gasi
Shimo la ardhini= pit= lakini kwa kiswali chetu hatusemi shimo la mafuta, tunasema kisims cha mafuta.
Hapana, ukishaweka ile miundo mbinu, iwe mafuta au maji, msamiati unabadilika na kuwa matangi ya mafuta, au matangi ya maji!!

Pit au shimo hali-extend above earth surface!
 
Hakuna kisima cha mafuta Kigamboni na lake oil hawajawahi kuwa na kisima cha mafuta Tanzania hii, labda useme matenki ya mafuta ya lake oil.

Hizi shule za kusomea ujinga ni majanga.

Umetoa maelezo mazuri yenye elimu. Lakini umerudia makosa yale yale, shule za kusomea ujinga hazijawahi kuwepo, unazimiliki wewe?
 
Unajua hata kwenye vituo vya sheli mafuta wanahifadhi chini??? So vile navyo ni visima?????? Acheni bhangi zile ni sehemu wanahifadhi mafuta tu kisima means kinazalisha mafutaaa toka ardhini
Kisima ni nini?

Tunaitaje kwa kiingereza?

Je vilivyopo pale nini nini jina lake matenki yalosimama juu, je mafuta yalohifadhiwa chini kunaitwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera jeshi letu. Asante kwa kutimiza wajibu.
Mnapenda sifa...ukweli ni kuwa gari ya kwanza kufika ni ya TIPER na ndio walifanya kazi kubwa..baadae gari iliyokuja na form ni ya Airport...wengine walkuwa watazamaji tu...askari alijitolea kwenda kufunga valve baada ya moto kuzimwa kwa kiasi kikubwa sana...
Niwaombe serikali..hii ni kama reminder tu..watafute magari yao ya zimamoto..haya makampuni yanalipa hela nying sana...moto umeanza saa tatu kasoro..umezimwa saa sita...tank lingewaka ingekuaje?
 
Lazima masuala ya ''safety''hayakuzingatiwa
Siku zijazo wawe makini mno,oil depo sio sawa na ghala la mahindi
 
Unajua hata kwenye vituo vya sheli mafuta wanahifadhi chini??? So vile navyo ni visima?????? Acheni bhangi zile ni sehemu wanahifadhi mafuta tu kisima means kinazalisha mafutaaa toka ardhini

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujajibu swali unashambulia

nisehemu tu zinazotumika kuhifadhi hapo umetaja kazi yake sio jina kwa msamiati mmoja vinaitwaje ?

Je mbona visima usemi sehemu inayofanyaje fanyaje sijui unataja jina tu ‘visima'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kisima cha mafuta Kigamboni na lake oil hawajawahi kuwa na kisima cha mafuta Tanzania hii, labda useme matenki ya mafuta ya lake oil.

Hizi shule za kusomea ujinga ni majanga.
Tank kwa Kiswahili linaitwaje? Naona kama vile hajakosea KISIMA NDO TENKI MAMA
 
Pole sana, dua lako ovu limegonga ukuta. Wanajeshi wetu wa kupambana na moto wameuzima saa sita usiku.
Lakini kutakapo kuwa na vifaa vya kisasa baada ya kununuliwa na faida ya biashara ya ndege moto kama huo utazimwa kirahisi zaidi badala ya masaa mengi kama ya jana
 
Back
Top Bottom