Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majonzi ya pale morogoro bado hayajafutika mioyoni mwa watuSi wangeita tu wananchi wachote kuliko hii hasara.
Au nakosea Bro?
Ni tanzania pekee ambayo zimamoto watafika eneo la tukio na kusema hawana maji wakati moto umetokea kando kando ya bahari
HahahahaNi tanzania pekee ambayo zimamoto watafika eneo la tukio na kusema hawana maji wakati moto umetokea kando kando ya bahari
Labda tuanzie kwa "mchimba kisima kaingia mwenyewe" ndio tujue maana halisi na sahihi ni ipi katika muktadha huo.Acha kujifanya mjuaji wakati kichwani ni upepo.
Ati Tanzania hakuna Visima vya mafuta. Sijui umetumia Criteria ipi kuwasilisha upuuzi huu. Unajua maana ya kisima? Unajua maana ya "Tank"
Yaani kama kuna visima vya Maji iweje kusiwepo na Visima vya Mafuta?
Najua mawazo yako Mgando utasema visima vya Mafuta ni vile vilivyopo Uarabuni. Ili ujue kichwa chako sio kizima.
Kisima cha mafuta hata wewe unaweza kuwa macho hapo nyumbani. Unachimba kisima cha kawaida kisha unayahifadhi mafuta humo ndani.
Sheli( Nafahamu ni kampuni ya mafuta) lakini kwa Watanzania walisema Sheli wanalenga vituo vya mafuta. Hivyo nitatumia neno hilo hilo kurejelea maana ya kituo cha mafuta. Sheli nyingi Tanzania zinavisima vya Mafita sasa wewe sijui unapataje uhodari kusema kigambamo hakuna kisima cha mafuta tena ujinga wako ukakupeleka mbali zaidi kuitaja Tanzania ati haina visima vya mafuta.
Labda uje na maana mpya ya Istilahi "Kisima" na hiyo ya "Tank"
Haya Wasomaji watajua nani aliyesomea ujinga. Kati ya mtoa post na wewe Mvamia post.
Nakushauri ugombee uraisi wa Tz.Si wangeita tu wananchi wachote kuliko hii hasara.
Chama gani mkuu?Nakushauri ugombee uraisi wa Tz.
Wanachotea mbali.Majonzi ya pale morogoro bado hayajafutika mioyoni mwa watu
Hivi moto wa mafuta nao huzimwa na maji?Ni tanzania pekee ambayo zimamoto watafika eneo la tukio na kusema hawana maji wakati moto umetokea kando kando ya bahari
Dah umejichora kichizi kwa huu upupuAcha kujifanya mjuaji wakati kichwani ni upepo.
Ati Tanzania hakuna Visima vya mafuta. Sijui umetumia Criteria ipi kuwasilisha upuuzi huu. Unajua maana ya kisima? Unajua maana ya "Tank"
Yaani kama kuna visima vya Maji iweje kusiwepo na Visima vya Mafuta?
Najua mawazo yako Mgando utasema visima vya Mafuta ni vile vilivyopo Uarabuni. Ili ujue kichwa chako sio kizima.
Kisima cha mafuta hata wewe unaweza kuwa macho hapo nyumbani. Unachimba kisima cha kawaida kisha unayahifadhi mafuta humo ndani.
Sheli( Nafahamu ni kampuni ya mafuta) lakini kwa Watanzania walisema Sheli wanalenga vituo vya mafuta. Hivyo nitatumia neno hilo hilo kurejelea maana ya kituo cha mafuta. Sheli nyingi Tanzania zinavisima vya Mafita sasa wewe sijui unapataje uhodari kusema kigambamo hakuna kisima cha mafuta tena ujinga wako ukakupeleka mbali zaidi kuitaja Tanzania ati haina visima vya mafuta.
Labda uje na maana mpya ya Istilahi "Kisima" na hiyo ya "Tank"
Haya Wasomaji watajua nani aliyesomea ujinga. Kati ya mtoa post na wewe Mvamia post.
Iran wabaya sana[emoji144][emoji144]
Sina sifa za uongozi.Ccm!
Una sera nzuri Jiwe unamtoa sekunde tu.
Ya dawasco sidhaniHivi moto wa mafuta nao huzimwa na maji?
Hivi moto wa mafuta nao huzimwa na maji?