Umeona sasa tunavyosema nyie mashabiki wa Utopolo ni manyani, ubunifu unaozungumziwa sio neno visit Tanzania, ili ule ubunifu wa kutafuta mdhamini wa kukaa kwenye kifua cha jezi badala ya jezi kua plain.Hakuna ubunifu wowote, ujinga na utaahira tu, wagekuwa wabunifu wangetafuta maneno yanayo-deliver the same message lakini ambayo hayajatumiwa na nchi au mtu yoyote. Poor simba
Na Kidimbwi FC ni ya nani?Simba sc si ya wanachama Tena Hilo liko wazi, hii ishakuwa Mali ya Moo full stop. Hao wanachama na hisa zao Ni geresha tu kutaka kuizuga serikali.
Muulize mropokaji wenu, yeye ndiyo anajua hiyo kidimbwi kaitoa wapi.Na Kidimbwi FC ni ya nani?
Nakuuliza wewe mshabiki maandazi wa Kidimbwi FC nani anawawezesha?Muulize mropokaji wenu, yeye ndiyo anajua hiyo kidimbwi kaitoa wapi.
Inaonesha uelewa wako wa mambo upo chini Sana. Uelewa wa mpira na biashara.Sisi mashabiki tunahitaji burudani safi uwanjani na ushindi..hatujali kama visit Tanzania wamelipa au la timu inamilikiwa na Mo au diamond si tunataka ushindi tu
Biashara acha wafanye wao sisi haituhusu kabisa na hatutaki kujua biashara ikoje,,, sisi tunataka ushindi na pila birianiInaonesha uelewa wako wa mambo upo chini Sana. Uelewa wa mpira na biashara.
Wamesema kuwa Simba wamejitolea bure Ndio maana na Mimi nikasema kwa kuwa Ni bure basi serikali ingelipa fadhila kea kuwapa uwanja wa taifa bure.Kwani simba wamesema huo mkataba ni bure tu simba itaitangaza Tanzania bila kulipwa chochote?
Shida tunabeba maneno ya kwenye vijiwe. Pili hoja zako za mwisho kuhusu nani wa kuhandle mikataba nahisi ujasoma vzr katiba ya simba, ungesoma usingeandika ulichoandika
Ndio maana huu mfumo una Mashaka, huwezi kuwa na hisa 49% unafanya maamuzi ya klabu. Wenye hisa 51 ambaye ni mwenyekiti wa Simba sc ya wanachama ndiye anapaswa kuwa na nguvu kubwa kuliko wenye hisa chache ambayo ni Mo group. Japo wanapaswa kufanya majukumu kwa pamoja.Hujui lolote kuhusu mfumo wa hisa unavyofanya kazi, 51% ya wanachama ni kikundi cha watu wengi, mfumo wa hisa ni mtu sio watu mwenye hisa nyingi ndio anakua mwenyekiti wa bodi. Unaspeculate eti Barbara kapewa ruhusa na nani? Hivi mo au mwenyekiti wa Simba? Swali hili linaonyesha namna gani hujui mfumo wa uendeshwaji wa klabu.
Hao wote hawana mamlaka ya kutoa maamuzi yoyote, chombo chenye mamlaka hayo ni bodi ya wagurugenzi. Unaonyesha huoni faida ya kiuchumi Simba kuvaa Jezi hizo, Kwa kutumia jezi hizo Simba itakuza zaidi brand yake, mauzo ya jezi kutokana na logo ya visit Tanzania, na pia itatangaza utalii wa nchi yake, Simba ni ya Tanzania na wala si Burundi. Manufaa ya nchi yanatija kwa Simba pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka sijasema kuwa idea ni mbaya hapana, Lengo ni je, Simba inapata faida gani kutangaza nchi bure? Jibu ni UZALENDO. Kama sisi tunakuwa wazalendo basi hata serikali na TFF wapunguze Makati yasiyo na msingi kwa timu.Neno tu visit Tanzania hiyo jezi itanunuliwa na ambao si wanasimba pia ,imekaa kizalendo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unadhani bila nemo Visit Tanzania jezi za Simba zisingeuzwa ? Kujitengenezea mazingira ya dili zingine hapo nakubali.Simba kupitia hili swala wanatengeneza faida kupitia mauzo ya jezi...pamoja na kujitengenezea channel ya dili zingine
Kwa Nini serikali haikuona haja ya kubadili maneno. Nakubali kuwa maneno hayo hayana mvuto kabisa.Hakuna ubunifu wowote, ujinga na utaahira tu, wagekuwa wabunifu wangetafuta maneno yanayo-deliver the same message lakini ambayo hayajatumiwa na nchi au mtu yoyote. Poor simba
Narudia tena angalia biashara inavyoenda mpira ni biashara. Mpira ni uwekezaji, halafu Kama hujui ni kuwa mpira ni menejimenti, ukiwa na uongozi mbovu timu haitosurvive. Kule England Kuna timu za sunderland, Notingham forest na posmouth, hizi timu zinaelekea kufa kwa sababu ya uongozi mbaya.Biashara acha wafanye wao sisi haituhusu kabisa na hatutaki kujua biashara ikoje,,, sisi tunataka ushindi na pila biriani
Bado haijalishi sisi mashabiki tunataka furaha uwanjani hayo mambo ya mpira biashara wafanye hao wawekezaji na biashara zao, faida zao sisi hazituhusu ,sisi faida yetu ni furaha ya ushindi uwanjani.Narudia tena angalia biashara inavyoenda mpira ni biashara. Mpira ni uwekezaji, halafu Kama hujui ni kuwa mpira ni menejimenti, ukiwa na uongozi mbovu timu haitosurvive. Kule England Kuna timu za sunderland, Notingham forest na posmouth, hizi timu zinaelekea kufa kwa sababu ya uongozi mbaya.
Ikumbuke Ac Milan na Inter namna walivyoyumba kiuchumi baada ya mabosi kuondoka. Mo hatakaa Simba milele. Simba unahitaji kuwa na vyanzo vya mapato nje na mwekezaji.
Kidimbwi unateseka ukiwa wapi?Narudia tena angalia biashara inavyoenda mpira ni biashara. Mpira ni uwekezaji, halafu Kama hujui ni kuwa mpira ni menejimenti, ukiwa na uongozi mbovu timu haitosurvive. Kule England Kuna timu za sunderland, Notingham forest na posmouth, hizi timu zinaelekea kufa kwa sababu ya uongozi mbaya.
Ikumbuke Ac Milan na Inter namna walivyoyumba kiuchumi baada ya mabosi kuondoka. Mo hatakaa Simba milele. Simba unahitaji kuwa na vyanzo vya mapato nje na mwekezaji.
Uzalendo kwamba hawalipwi chochote?Ni suala la uzalendo na zuri kutangaza nchi ya Tanzania nje ya Tanzania. Timu ya Simba inapaswa kupewa heko kwa Hilo.
Simba itapata kutembelea nchi za Sudan, Misri na Kongo. Nchi hizi za kiafrika Zina ukaribu mkubwa na Tanzania isipokuwa Sudan. Hivyo wasudan watakumbuka kuwa Kuna nchi inaitwa Tanzania.
Jambo linalonitatiza ni kuingiza dili hilo bure kabisa. Hii sio nzuri, Simba ilipaswa kupata chochote. Angalau kingesaidia kuwapa motisha wachezaji Kama hela isingetumiwa na Simba SC. Kama ni uzalendo basi wangepunguza walau hata mil 200.ili iwasaidie hata kwa kulipia hotel.
Kwa sababu klabu ya Simba ni mali ya Mo Dewji Ndio maana sio ajabu wanafanya haya. Ni kama Man City ya Sheikh Mansoor
Sidhani kama Man City kuingiza dili na Etihad inamaana Mansoor sio mzalendo Bali Ile ni biashara.Tunaposema mpira ni biashara,hii ilikuwa fursa ya kupata kuingiza mapato.
Mwenyekiti wa Simba ajaye anapaswa asiwe mtu wa kuburuzwa. Anapaswa awe ndiye msimamizi wa madili kama haya Ili Simba ya wanachama iwe na chochote.Yamkini Mo akawa Hana shida na hela hizo, ila Simba ya wanachama ambayo inasemekana Ina hisa 51% ambayo kwa Hakika ni asilimia hewa. Hizi Ndio pesa ambazo Simba ilipaswa kuwa nazo.
Leo Barbra ameingia huo mkataba kwa BARAKA za kaimu mwenyekiti au kwa BARAKA za Mwenyekiti wa Bodi? Narudia tena hili dili Halina maslahi kwa Simba. Ilipaswa mwenye hisa 51% Ndio awe na sauti. Sasa swali ni kuwa Barbra yuko kwa maslahi ya Simba ya Mo au Simba SC?
Sijaandika kwa nia mbaya au kuwa Simba wamekosea Ila nahisi serikali ilipaswa ichangie.simba inatumia uwanja wa taifa mechi moja ni Mil.4 na unatoa kabla ya mechi.Basi Simba nao wangepewa kutumia uwanja huu bure kwa mechi za nyumbani za CAF champions ligi Kama fadhila.
Kuchangiwa kwa hoja karibu
Ndio ndivyo nilivyosikia. Wamejitolea kizalendo.Uzalendo kwamba hawalipwi chochote?