J Just a person JF-Expert Member Joined May 16, 2022 Posts 984 Reaction score 1,232 Sep 9, 2022 #1 Habari wakuu, Naomba msaada wa kujua je, unaeza pata visit visa ya Canada then ukifika nchini humo ukapata kaz ukabidili kuwa work. Naombeni mchango wenu kwenye hili ni muhimu sana.
Habari wakuu, Naomba msaada wa kujua je, unaeza pata visit visa ya Canada then ukifika nchini humo ukapata kaz ukabidili kuwa work. Naombeni mchango wenu kwenye hili ni muhimu sana.
OllaChuga Oc JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 21,569 Reaction score 24,812 Sep 9, 2022 #2 HAIWEZEKANI.
J Just a person JF-Expert Member Joined May 16, 2022 Posts 984 Reaction score 1,232 Sep 9, 2022 Thread starter #3 OllaChuga Oc said: HAIWEZEKANI. Click to expand... Kwanini naomba ufafanuzi
OllaChuga Oc JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 21,569 Reaction score 24,812 Sep 10, 2022 #4 Just a person said: Kwanini naomba ufafanuzi Click to expand... Huwezi kupata work permit ukiwa ndani ya nchi husika. Hasa hizo inchi za magharibi. Ni lazima urudi Tanzania ndio uombe. Otherwise utumie gia ya kusoma. Uende Kama mwanafunzi. Apo ndio utaweza fanikiwa.
Just a person said: Kwanini naomba ufafanuzi Click to expand... Huwezi kupata work permit ukiwa ndani ya nchi husika. Hasa hizo inchi za magharibi. Ni lazima urudi Tanzania ndio uombe. Otherwise utumie gia ya kusoma. Uende Kama mwanafunzi. Apo ndio utaweza fanikiwa.
rommy shabby JF-Expert Member Joined Jun 26, 2017 Posts 1,123 Reaction score 1,302 Sep 10, 2022 #5 Mkuu if una dream za kuingia Canada njia rahisi ni kuingia kama wanafunzi tu hakuna njia ingine
OllaChuga Oc JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 21,569 Reaction score 24,812 Sep 10, 2022 #6 rommy shabby said: Mkuu if una dream za kuingia Canada njia rahisi ni kuingia kama wanafunzi tu hakuna njia ingine Click to expand... Yeah hii ndio njiaa rahisi zaidi. Hakuna nyingine na uwe na mpunga wa kushato. At least USD 10k kuendelea
rommy shabby said: Mkuu if una dream za kuingia Canada njia rahisi ni kuingia kama wanafunzi tu hakuna njia ingine Click to expand... Yeah hii ndio njiaa rahisi zaidi. Hakuna nyingine na uwe na mpunga wa kushato. At least USD 10k kuendelea