Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hizo ni baadhi ya laana za umasikini
Nchi zinazojielewa huwezi kusikia upumbavu huo, sio kwenye mabasi wala miziki na maspika kila kona
Hata kwenye usafiri wa Umma kwenye madirisha yameandikwa heshimu wenzio unapoongea na simu
Hapo ni simu tu kuongea unaambiwa ongea taratibu
Nyie mnafurahia kelele za miziki kwenye mabasi kama sio laana ni nini?
Hao viongozi ndio kabisa utakuta nao walitoka kwenye umasikini ndio maana wanaona labda Dunia nzima wako hivyo
Nchi zinazojielewa huwezi kusikia upumbavu huo, sio kwenye mabasi wala miziki na maspika kila kona
Hata kwenye usafiri wa Umma kwenye madirisha yameandikwa heshimu wenzio unapoongea na simu
Hapo ni simu tu kuongea unaambiwa ongea taratibu
Nyie mnafurahia kelele za miziki kwenye mabasi kama sio laana ni nini?
Hao viongozi ndio kabisa utakuta nao walitoka kwenye umasikini ndio maana wanaona labda Dunia nzima wako hivyo