Vita dhidi maambukizi ya corona Tanzania, kampuni ya Total Tanzania mfano wa kuigwa!. Ukifika lazima unawe, upimwe na mashine ndipo uruhusiwe kuingia!

Vita dhidi maambukizi ya corona Tanzania, kampuni ya Total Tanzania mfano wa kuigwa!. Ukifika lazima unawe, upimwe na mashine ndipo uruhusiwe kuingia!

Wanabodi,
Katika kusaidia kudhibiti Maambukizi ya virusi vya Corona, kukitokea any good practice, lets share ili na wengine waige.

Leo nimetembelea makao makuu ya kampuni ya mafuta ya Total, Total Tanzania, ukifika pale
  1. Hatua ya kwanza ni lazima unawe na maji moto tiririka hapo nje na sabuni, wamejenga kabisa sink la kunawia na liko permanent. Wewe hugusi chochote, ukiweka mkono sink lina sense maji tiririka ya moto yanatoka, ukiweka mkono kwenye sabuni sabuni nayo inatoka. System hii niliiona Kempinski na Serena. Ukimaliza unaingia kwenye blow drier kukausha mikono, na kumalizia kwa sanitizer.
  2. Hatua ya pili baada ya kunawa, unakutana na wahudumu wawili wa kike na kiume, wameshika mashine kama zile la traffic kupimia pombe madereva, unapimwa joto na mashine kwa kukupima maeneo mawili, kwenye paji la uso na kwenye mshipa mkubwa wa damu wa mkono huku umekunja ngumi. Kipimo cha joto la kichwa kisipotally na joto la mkono, safari yako kuingia Total inaishia hapo. Ukiwa fit, unaingia hatua ya tatu.
  3. Ukimaliza unapewa hand gloves unavaa, kisha unapewa face mask unavaa.
  4. Hatua ya nne ni kupewa escort, haushiki chochote, milango ni kufunguliwa ndipo unaingia ndani na kumsubiri mwenyeji wako kwenye chumba maalum sanitized. Unakaa kwenye kiti, mwenyeji wako akifika, anakaa umbali wa mita 1.5, kama umeleta barua yoyote au kitu chochote kinapokelewa na kupotishwa kwenye sterilisar tray ndio inapokelewa kama barua za ubalozi wa Marekani au UK!.
  5. Ukimaliza yule askari aliyekuleta anakusindikiza hati pale nje, zile gloves na face mask ni zako, nje kuna dust bin ya kukanyaga inafunguka unavua na kutupa, au unaweza ku sepa nazo.
My Take
Huu ni utaratibu mzuri sana, sijui ile mashine inauzwa kiasi gani, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu angetangaza public corporations zote zinazotembelewa na watu, zaidi ya kunawa mikono, zinunue mashine hizo na asubuhi wafanyakazi wote wapimwe, na wageni wote wapimwe, wapewe face mask bure na zinunue sterile cabinets barua zote ziwe sterilised kabla ya kupokelewa.

Najua it's a cumbersome procedure lakini kwa wenzetu wanaojali, it's worth to spend little on prevention than much on cure.

Hongera sana Total Tanzania kuonyesha mfano, nadhani kwa sababu hii ni kampuni ya kimataifa, vikampuni vyetu locals, let's learn mambo mazuri kwa wenzetu waliotutangulia, Corona inazuilika.

Paskali
Chapeni Kazi Corona ni Mafua tu,Total ni Wachochezi,wanaleta taharuki katika Jamii.
MAYALLA kwa kisukuma ni NjAAA

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Bei ya vifaa hivyo unless viwe subsdized na serikali. Wiki jana niliingia hotel moja ya nyota za kutosha maarufu sana mjini, mlangoni kuna mtu anakupa sanitizerz kwenye lift pia ila niliwasikia nafikir alikua floor manager akiwagombeza wafanyakazi wake pale mapokezi kuwa dumu la lita 5 sijui elfu 80000 linaishaje siku moja nyie mnatumiaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Ng'wanamangilingili, tuonyeshe uhitaji ndipo serikali ipunguze kodi au kutoa subsidy.
Huyo meneja naye, yaani anashangaa elfu 80 kwa dumu la lita 4 kwa siku, hiyo ni bei ya chupa ya 750 mls za yuje jamaa ninayetembea nae, Joni Mtembezi alama nyeusi, alama nyekundu ni 40,000, alama ya dhahabu ni 480,000 kwa lita moja na alama ya blue ni 720,000 kwa lita moja!.

P
 
Pata picha hiyo process ukaifanyie hapo kariakoo. Anyway, ngoja nisiharibu furaha na hamasa yako.
Kama ndio itasaidia kuokoa maisha kwa kuepuka maambukizi, it's worth it. Issue ni seriousness kwasababu sisi we are not hard hit.
P
 
Wanabodi,
Katika kusaidia kudhibiti Maambukizi ya virusi vya Corona, kukitokea any good practice, lets share ili na wengine waige.

Leo nimetembelea makao makuu ya kampuni ya mafuta ya Total, Total Tanzania, ukifika pale
  1. Hatua ya kwanza ni lazima unawe na maji moto tiririka hapo nje na sabuni, wamejenga kabisa sink la kunawia na liko permanent. Wewe hugusi chochote, ukiweka mkono sink lina sense maji tiririka ya moto yanatoka, ukiweka mkono kwenye sabuni sabuni nayo inatoka. System hii niliiona Kempinski na Serena. Ukimaliza unaingia kwenye blow drier kukausha mikono, na kumalizia kwa sanitizer.
  2. Hatua ya pili baada ya kunawa, unakutana na wahudumu wawili wa kike na kiume, wameshika mashine kama zile la traffic kupimia pombe madereva, unapimwa joto na mashine kwa kukupima maeneo mawili, kwenye paji la uso na kwenye mshipa mkubwa wa damu wa mkono huku umekunja ngumi. Kipimo cha joto la kichwa kisipotally na joto la mkono, safari yako kuingia Total inaishia hapo. Ukiwa fit, unaingia hatua ya tatu.
  3. Ukimaliza unapewa hand gloves unavaa, kisha unapewa face mask unavaa.
  4. Hatua ya nne ni kupewa escort, haushiki chochote, milango ni kufunguliwa ndipo unaingia ndani na kumsubiri mwenyeji wako kwenye chumba maalum sanitized. Unakaa kwenye kiti, mwenyeji wako akifika, anakaa umbali wa mita 1.5, kama umeleta barua yoyote au kitu chochote kinapokelewa na kupotishwa kwenye sterilisar tray ndio inapokelewa kama barua za ubalozi wa Marekani au UK!.
  5. Ukimaliza yule askari aliyekuleta anakusindikiza hati pale nje, zile gloves na face mask ni zako, nje kuna dust bin ya kukanyaga inafunguka unavua na kutupa, au unaweza ku sepa nazo.
My Take
Huu ni utaratibu mzuri sana, sijui ile mashine inauzwa kiasi gani, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu angetangaza public corporations zote zinazotembelewa na watu, zaidi ya kunawa mikono, zinunue mashine hizo na asubuhi wafanyakazi wote wapimwe, na wageni wote wapimwe, wapewe face mask bure na zinunue sterile cabinets barua zote ziwe sterilised kabla ya kupokelewa.

Najua it's a cumbersome procedure lakini kwa wenzetu wanaojali, it's worth to spend little on prevention than much on cure.

Hongera sana Total Tanzania kuonyesha mfano, nadhani kwa sababu hii ni kampuni ya kimataifa, vikampuni vyetu locals, let's learn mambo mazuri kwa wenzetu waliotutangulia, Corona inazuilika.

Paskali
Mbona US hawajatoboa pamoja na kuwa na technolojia ya juu mkuu? Au ni umbumbumbu wao kama akina Mayala a.k.a Njaa?
 
Leo nimetoka TRA Mbagala ...hakuna cha kunawa mikono wala nini na watu kibao wamerundikana kusubiri kuhudumiwa,wengine wanamafua. hatuko serious kabisa na tutakufa kama kuku.
Utakufa wewe mwenye upungufu wa CD4
 
Hongera Total napenda kujaza mafuta katika vituo vyao na hili itabidi niwaunge mkono kila wakati.
 
Back
Top Bottom