Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,858
- 14,733
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Royal Dutch Shell(Shell).....Waholanzi na Waingereza.No Total sio Mungereza ni Mfaransa, Mungereza ni Shell.
P
Kempinski ni iliyokuwa Kilimanjaro Hotel, Serena ni iliyokuwa Sheraton Hotel.
Wachache sana wataikumbuka Sheraton.Kempinski ni iliyokuwa Kilimanjaro Hotel, Serena ni iliyokuwa Sheraton Hotel.
P
Mkuu Ngongo, kwa watu sensitive na mlio wa engine za magari yao, na kiwango cha uchomaji wa mafuta, wakijaza mafuta vituo vya Total wata notice the difference, gari inatulia, mlio safi, na unakwenda mwendo mrefu kwa mafuta kidogo sababu mafuta ya Total yameongezwa kiambata cha excellium.Hongera Total napenda kujaza mafuta katika vituo vyao na hili itabidi niwaunge mkono kila wakati.
Wasukuma bana.Haya ngoja nitaweka kwanguWanabodi,
Katika kusaidia kudhibiti Maambukizi ya virusi vya Corona, kukitokea any good practice, lets share ili na wengine waige.
Leo nimetembelea makao makuu ya kampuni ya mafuta ya Total, Total Tanzania, ukifika pale
My Take
- Hatua ya kwanza ni lazima unawe na maji moto tiririka hapo nje na sabuni, wamejenga kabisa sink la kunawia na liko permanent. Wewe hugusi chochote, ukiweka mkono sink lina sense maji tiririka ya moto yanatoka, ukiweka mkono kwenye sabuni sabuni nayo inatoka. System hii niliiona Kempinski na Serena. Ukimaliza unaingia kwenye blow drier kukausha mikono, na kumalizia kwa sanitizer.
- Hatua ya pili baada ya kunawa, unakutana na wahudumu wawili wa kike na kiume, wameshika mashine kama zile la traffic kupimia pombe madereva, unapimwa joto na mashine kwa kukupima maeneo mawili, kwenye paji la uso na kwenye mshipa mkubwa wa damu wa mkono huku umekunja ngumi. Kipimo cha joto la kichwa kisipotally na joto la mkono, safari yako kuingia Total inaishia hapo. Ukiwa fit, unaingia hatua ya tatu.
- Ukimaliza unapewa hand gloves unavaa, kisha unapewa face mask unavaa.
- Hatua ya nne ni kupewa escort, haushiki chochote, milango ni kufunguliwa ndipo unaingia ndani na kumsubiri mwenyeji wako kwenye chumba maalum sanitized. Unakaa kwenye kiti, mwenyeji wako akifika, anakaa umbali wa mita 1.5, kama umeleta barua yoyote au kitu chochote kinapokelewa na kupotishwa kwenye sterilisar tray ndio inapokelewa kama barua za ubalozi wa Marekani au UK!.
- Ukimaliza yule askari aliyekuleta anakusindikiza hati pale nje, zile gloves na face mask ni zako, nje kuna dust bin ya kukanyaga inafunguka unavua na kutupa, au unaweza ku sepa nazo.
Huu ni utaratibu mzuri sana, sijui ile mashine inauzwa kiasi gani, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu angetangaza public corporations zote zinazotembelewa na watu, zaidi ya kunawa mikono, zinunue mashine hizo na asubuhi wafanyakazi wote wapimwe, na wageni wote wapimwe, wapewe face mask bure na zinunue sterile cabinets barua zote ziwe sterilised kabla ya kupokelewa.
Najua it's a cumbersome procedure lakini kwa wenzetu wanaojali, it's worth to spend little on prevention than much on cure.
Hongera sana Total Tanzania kuonyesha mfano, nadhani kwa sababu hii ni kampuni ya kimataifa, vikampuni vyetu locals, let's learn mambo mazuri kwa wenzetu waliotutangulia, Corona inazuilika.
Paskali
Sheraton>MovenPick>Royal Palm>SerenaWachache sana wataikumbuka Sheraton.
Sheraton>Movenpick>Serena
Hili neno.
Nilihisi moja nimeisahau ila sikuweza kukumbuka ni ipi.Sheraton>MovenPick>Royal Palm>Serena
P
Hivi una mkataba na Total? Mbona hujawahi kuizungumzia Puma au GBP?Hili neno.
P
Mkuu Abitali Mwerevu, hapo kwenye vichwa virefu ndipo power yangu ilipolalia, ukiisha soma tuu kichwa kinajisheleza kufikisha ujumbe kusudiwa na sio lazima usome bandiko. Kuweza kufikisha ujumbe mzito kwa sentensi chache, kiuandishi hii inaitwa sending "Power Messages" ukisoma tuu heading umemaliza ujumbe umekufikia.Fanyia kazi vichwa vyako vya habari. Ni virefu mno, yaani kichwa cha habari kinakuwa kama habari kamili.