Vita dhidi maambukizi ya corona Tanzania, kampuni ya Total Tanzania mfano wa kuigwa!. Ukifika lazima unawe, upimwe na mashine ndipo uruhusiwe kuingia!

Watu wanajilinda unasema mbwembwe?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi una mkataba na Total? Mbona hujawahi kuizungumzia Puma au GBP?
Mtu unazungumzia kile unachotumia. Mfano kwenye pombe, mimi huwa natembea na Joni Mtembezi tuu, hivyo huwezi kunisikia nikizungumzia bia.

Kwenye mafuta ya gari, mafuta ya ukweli ni Total pekee. Wanaojaza vituo vya Puma nao waje waseme uzuri wa mafuta ya Puma au GBP.

Tena kwa taarifa yako, sio mimi tuu ndio nayasifia mafuta ya Total, bali Puma ni mali ya serikali na ndio vituo rasmi vya kujaza mafuta ya serikali, msikilize mserikali huyu anasema nini kuhusu Total
P
 
ATM zote Nmb Zina sanitizer
Kwenye hivi vita vya Corona, ukikutana na jambo lolote zuri la kusaidia jamii, please shara, hivi ndio vitu vizuri vya kuzungumziwa. Tangu kuingia kwa janga la Corona, sijakanyaga benki wala ATM, maana kuko empty kumekauka.
Ukiona jambo lolote zuri worth sharing, please share, mimi nimeona hili la Total ni jema linapaswa kuigwa na wengine.
P
 

Hata karantini hukai, very nice


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nitakutafuta nikuulize baadhi ya vitu kuhusu hao Total.
Kuna project nataka nifanye nao, nipate tips kutoka kwako. Sije nikaenda kupima Corona kisha bahasha yangu ya A4 ikawekwa kwenye dustbin.
 
Kaka mayala, zipo nyingi tena ndogo sana zina utarataibu huo na sio total tu, tembea baba uone na sio kusifia hiuyo peke yake
 
Mkuu nitakutafuta nikuulize baadhi ya vitu kuhusu hao Total.
Kuna project nataka nifanye nao, nipate tips kutoka kwako. Sije nikaenda kupima Corona kisha bahasha yangu ya A4 ikawekwa kwenye dustbin.
Wale ni wazungu, hawana longo longo,
Tembelea kwanza hapa uangalie profile yao
Total Tanzania
Ukiona hiyo project in fall within andika, nitasaidia kuipush bahasha yako hadi ifike kule kwenyewe,kunako.
P
 
Kuna ule uzi ulileta hapa kuisifia TOTAL, naona umeleta tena...Mbona makampuni mengi tu yamefanya hivyo mkuu...
 
Moderator hii nayo ni habari ya siasa???Kuna watu mnawaogopa humu jukwaani!
Yes hizi ni siasa za Corona. Ndani ya jf members wote tuko equal na tuna equal status, ila sisi members ndio tuko tofauti, tunauwezo tofauti tofauti wa kujenga hoja. Kwavile ugonjwa wa Corona ni janga la kitaifa na kimataifa, jf nayo imetoa umuhimu kwa habari za Corona kukaa hapa.
P
 
Kuna ule uzi ulileta hapa kuisifia TOTAL, naona umeleta tena...Mbona makampuni mengi tu yamefanya hivyo mkuu...
Mkuu Uzalendo, si unasema kile ulichoona, mimi nimeona Total, na wewe sema ulichoona ila kila mazuri ya kuigwa ya kila kampuni, tuyaige.
P
 
Sawa mkuu,ila nimekuwa nafuatilia hoja zako mara nyingi.Huwa nikiona jina lako basi lazima uzi huo niusome mpaka mwisho japo huwa si mchangiaji sana!Mara nyingi umekuwa na bahati(kama kweli ni bahati) ya nyuzi zako kutounganishwa japo maudhui ni yaleyale,lakini pia ndio kama hivi uzi unaostahili kuwa jukwaa la hoja na habari mchanganyiko unaachwa jukwaa la siasa!Nimeona nyuzi za watu humu kuhusu Corona zikipelekwa jukwaa la habari mchanganyiko,ila wewe unasurvive tu!
Hongera,labda verified members mnapewa kipaumbele au pia sababu ya mahusiano yako ya karibu na Melo au labda kwakuwa mko wote kwenye tasnia ya habari,yote yanawezekana!
 
No, ndani ya jf, hatuna preferential members, we are all equal, hivyo it's just a matter of time hata uzi huu utaunganishwa au kuhamishwa.
P
 
Tigershark: sema wewe ndio unabahati hata ya kusoma au kucoment kwenye nyuzi za huyu mwamba ujue waandishi kama pascal sehemu nyingine ilitakiwa tuwe tunanunua maandiko yao kila ukisoma kazi yake unatakiwa uilipie lakini ndio hivo tena


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wakati mwingine hata mimi nakuja na habari inayoweza kumuongezea mtu fulani maarifa!Tukisema tuanze kubana kupashana habari,hili jukwaa litakufa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…