kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Pascal Mayalla,
Paskali bana, kweli ww ni msukuma, ukiona tukio kama linakukosha na kukupa hamasa mpaka unaona na sisi tujue lililokusimsimua! Ni hivi, hilo uliloiona hapo Total Ni mbwembwe tu, na wala haliwezi kufanya kazi kwenye mikusanyiko mikubwa, ambako ndio kwenye hatari kubwa ya maambukizi.
Pata picha watu watumie mtindo huo kwenye masoko, kisha uone kama kuna litakaloendelea. Anyway, ngoja tukupongeze kwa kwenda kwenye ofisi za total, na si ajabu umevuta chochote ili uje umwage hili promo humu jukwaani.
Mimi sitalipa.
Na hao wanajazana hapo wakati unaweza kulipa online/ electronical
Mtu unazungumzia kile unachotumia. Mfano kwenye pombe, mimi huwa natembea na Joni Mtembezi tuu, hivyo huwezi kunisikia nikizungumzia bia.Hivi una mkataba na Total? Mbona hujawahi kuizungumzia Puma au GBP?
Sheli maana yake ni nini, unataka kumaanisha vituo vyao vya mafuta ama?. Nyie ndo wale wa "rewrite again" na "repeat again" 🤣🤣🤣🤣
Kwenye hivi vita vya Corona, ukikutana na jambo lolote zuri la kusaidia jamii, please shara, hivi ndio vitu vizuri vya kuzungumziwa. Tangu kuingia kwa janga la Corona, sijakanyaga benki wala ATM, maana kuko empty kumekauka.ATM zote Nmb Zina sanitizer
Wanabodi,
Katika kusaidia kudhibiti Maambukizi ya virusi vya Corona, kukitokea any good practice, lets share ili na wengine waige.
Leo nimetembelea makao makuu ya kampuni ya mafuta ya Total, Total Tanzania, ukifika pale
My Take
- Hatua ya kwanza ni lazima unawe na maji moto tiririka hapo nje na sabuni, wamejenga kabisa sink la kunawia na liko permanent. Wewe hugusi chochote, ukiweka mkono sink lina sense maji tiririka ya moto yanatoka, ukiweka mkono kwenye sabuni sabuni nayo inatoka. System hii niliiona Kempinski na Serena. Ukimaliza unaingia kwenye blow drier kukausha mikono, na kumalizia kwa sanitizer.
- Hatua ya pili baada ya kunawa, unakutana na wahudumu wawili wa kike na kiume, wameshika mashine kama zile la traffic kupimia pombe madereva, unapimwa joto na mashine kwa kukupima maeneo mawili, kwenye paji la uso na kwenye mshipa mkubwa wa damu wa mkono huku umekunja ngumi. Kipimo cha joto la kichwa kisipotally na joto la mkono, safari yako kuingia Total inaishia hapo. Ukiwa fit, unaingia hatua ya tatu.
- Ukimaliza unapewa hand gloves unavaa, kisha unapewa face mask unavaa.
- Hatua ya nne ni kupewa escort, haushiki chochote, milango ni kufunguliwa ndipo unaingia ndani na kumsubiri mwenyeji wako kwenye chumba maalum sanitized. Unakaa kwenye kiti, mwenyeji wako akifika, anakaa umbali wa mita 1.5, kama umeleta barua yoyote au kitu chochote kinapokelewa na kupotishwa kwenye sterilisar tray ndio inapokelewa kama barua za ubalozi wa Marekani au UK!.
- Ukimaliza yule askari aliyekuleta anakusindikiza hadi pale nje, zile gloves na face mask ni zako, nje kuna dust bin ya kukanyaga inafunguka unavua na kutupa, au unaweza ku sepa nazo.
Huu ni utaratibu mzuri sana, sijui ile mashine inauzwa kiasi gani, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu angetangaza public corporations zote zinazotembelewa na watu, zaidi ya kunawa mikono, zinunue mashine hizo na asubuhi wafanyakazi wote wapimwe, na wageni wote wapimwe, wapewe face mask bure na zinunue sterile cabinets barua zote ziwe sterilised kabla ya kupokelewa.
Najua it's a cumbersome procedure lakini kwa wenzetu wanaojali, it's worth to spend little on prevention than much on cure.
Hongera sana Total Tanzania kuonyesha mfano, nadhani kwa sababu hii ni kampuni ya kimataifa, vikampuni vyetu locals, let's learn mambo mazuri kwa wenzetu waliotutangulia, Corona inazuilika.
Paskali
Mkuu nitakutafuta nikuulize baadhi ya vitu kuhusu hao Total.Wanabodi,
Katika kusaidia kudhibiti Maambukizi ya virusi vya Corona, kukitokea any good practice, lets share ili na wengine waige.
Leo nimetembelea makao makuu ya kampuni ya mafuta ya Total, Total Tanzania, ukifika pale
My Take
- Hatua ya kwanza ni lazima unawe na maji moto tiririka hapo nje na sabuni, wamejenga kabisa sink la kunawia na liko permanent. Wewe hugusi chochote, ukiweka mkono sink lina sense maji tiririka ya moto yanatoka, ukiweka mkono kwenye sabuni sabuni nayo inatoka. System hii niliiona Kempinski na Serena. Ukimaliza unaingia kwenye blow drier kukausha mikono, na kumalizia kwa sanitizer.
- Hatua ya pili baada ya kunawa, unakutana na wahudumu wawili wa kike na kiume, wameshika mashine kama zile la traffic kupimia pombe madereva, unapimwa joto na mashine kwa kukupima maeneo mawili, kwenye paji la uso na kwenye mshipa mkubwa wa damu wa mkono huku umekunja ngumi. Kipimo cha joto la kichwa kisipotally na joto la mkono, safari yako kuingia Total inaishia hapo. Ukiwa fit, unaingia hatua ya tatu.
- Ukimaliza unapewa hand gloves unavaa, kisha unapewa face mask unavaa.
- Hatua ya nne ni kupewa escort, haushiki chochote, milango ni kufunguliwa ndipo unaingia ndani na kumsubiri mwenyeji wako kwenye chumba maalum sanitized. Unakaa kwenye kiti, mwenyeji wako akifika, anakaa umbali wa mita 1.5, kama umeleta barua yoyote au kitu chochote kinapokelewa na kupotishwa kwenye sterilisar tray ndio inapokelewa kama barua za ubalozi wa Marekani au UK!.
- Ukimaliza yule askari aliyekuleta anakusindikiza hadi pale nje, zile gloves na face mask ni zako, nje kuna dust bin ya kukanyaga inafunguka unavua na kutupa, au unaweza ku sepa nazo.
Huu ni utaratibu mzuri sana, sijui ile mashine inauzwa kiasi gani, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu angetangaza public corporations zote zinazotembelewa na watu, zaidi ya kunawa mikono, zinunue mashine hizo na asubuhi wafanyakazi wote wapimwe, na wageni wote wapimwe, wapewe face mask bure na zinunue sterile cabinets barua zote ziwe sterilised kabla ya kupokelewa.
Najua it's a cumbersome procedure lakini kwa wenzetu wanaojali, it's worth to spend little on prevention than much on cure.
Hongera sana Total Tanzania kuonyesha mfano, nadhani kwa sababu hii ni kampuni ya kimataifa, vikampuni vyetu locals, let's learn mambo mazuri kwa wenzetu waliotutangulia, Corona inazuilika.
Paskali
Wale ni wazungu, hawana longo longo,Mkuu nitakutafuta nikuulize baadhi ya vitu kuhusu hao Total.
Kuna project nataka nifanye nao, nipate tips kutoka kwako. Sije nikaenda kupima Corona kisha bahasha yangu ya A4 ikawekwa kwenye dustbin.
Yes hizi ni siasa za Corona. Ndani ya jf members wote tuko equal na tuna equal status, ila sisi members ndio tuko tofauti, tunauwezo tofauti tofauti wa kujenga hoja. Kwavile ugonjwa wa Corona ni janga la kitaifa na kimataifa, jf nayo imetoa umuhimu kwa habari za Corona kukaa hapa.Moderator hii nayo ni habari ya siasa???Kuna watu mnawaogopa humu jukwaani!
Mkuu Uzalendo, si unasema kile ulichoona, mimi nimeona Total, na wewe sema ulichoona ila kila mazuri ya kuigwa ya kila kampuni, tuyaige.Kuna ule uzi ulileta hapa kuisifia TOTAL, naona umeleta tena...Mbona makampuni mengi tu yamefanya hivyo mkuu...
Sawa mkuu,ila nimekuwa nafuatilia hoja zako mara nyingi.Huwa nikiona jina lako basi lazima uzi huo niusome mpaka mwisho japo huwa si mchangiaji sana!Mara nyingi umekuwa na bahati(kama kweli ni bahati) ya nyuzi zako kutounganishwa japo maudhui ni yaleyale,lakini pia ndio kama hivi uzi unaostahili kuwa jukwaa la hoja na habari mchanganyiko unaachwa jukwaa la siasa!Nimeona nyuzi za watu humu kuhusu Corona zikipelekwa jukwaa la habari mchanganyiko,ila wewe unasurvive tu!Yes hizi ni siasa za Corona. Ndani ya jf members wote tuko equal na tuna equal status, ila sisi members ndio tuko tofauti, tunauwezo tofauti tofauti wa kujenga hoja. Kwavile ugonjwa wa Corona ni janga la kitaifa na kimataifa, jf nayo imetoa umuhimu kwa habari za Corona kukaa hapa.
P
No, ndani ya jf, hatuna preferential members, we are all equal, hivyo it's just a matter of time hata uzi huu utaunganishwa au kuhamishwa.Sawa mkuu,ila nimekuwa nafuatilia hoja zako mara nyingi.Huwa nikiona jina lako basi lazima uzi huo niusome mpaka mwisho japo huwa si mchangiaji sana!Mara nyingi umekuwa na bahati(kama kweli ni bahati) ya nyuzi zako kutounganishwa japo maudhui ni yaleyale,lakini pia ndio kama hivi uzi unaostahili kuwa jukwaa la hoja na habari mchanganyiko unaachwa jukwaa la siasa!Nimeona nyuzi za watu humu kuhusu Corona zikipelekwa jukwaa la habari mchanganyiko,ila wewe unasurvive tu!
Hongera,labda verified members mnapewa kipaumbele au pia sababu ya mahusiano yako ya karibu na Melo au labda kwakuwa mko wote kwenye tasnia ya habari,yote yanawezekana!
Wakati mwingine hata mimi nakuja na habari inayoweza kumuongezea mtu fulani maarifa!Tukisema tuanze kubana kupashana habari,hili jukwaa litakufa!Tigershark: sema wewe ndio unabahati hata ya kusoma au kucoment kwenye nyuzi za huyu mwamba ujue waandishi kama pascal sehemu nyingine ilitakiwa tuwe tunanunua maandiko yao kila ukisoma kazi yake unatakiwa uilipie lakini ndio hivo tena
Sent from my iPhone using JamiiForums