Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Duuh,umewaambia wakuhamishe nini?Naona wamekupeleka biashara,uchumi na ujasiliamali!Q1l
No, ndani ya jf, hatuna preferential members, we are all equal, hivyo it's just a matter of time hata uzi huu utaunganishwa au kuhamishwa.
P
Hata stanbic bank kinondoni hapa wanafanya hivyo huu utaratibu ungefanyika inchi nzima,kwenye mkusanyiko ingependeza sana.Wanabodi,
Katika kusaidia kudhibiti Maambukizi ya virusi vya Corona, kukitokea any good practice, lets share ili na wengine waige.
Leo nimetembelea makao makuu ya kampuni ya mafuta ya Total, Total Tanzania, ukifika pale
My Take
- Hatua ya kwanza ni lazima unawe na maji moto tiririka hapo nje na sabuni, wamejenga kabisa sink la kunawia na liko permanent. Wewe hugusi chochote, ukiweka mkono sink lina sense maji tiririka ya moto yanatoka, ukiweka mkono kwenye sabuni sabuni nayo inatoka. System hii niliiona Kempinski na Serena. Ukimaliza unaingia kwenye blow drier kukausha mikono, na kumalizia kwa sanitizer.
- Hatua ya pili baada ya kunawa, unakutana na wahudumu wawili wa kike na kiume, wameshika mashine kama zile la traffic kupimia pombe madereva, unapimwa joto na mashine kwa kukupima maeneo mawili, kwenye paji la uso na kwenye mshipa mkubwa wa damu wa mkono huku umekunja ngumi. Kipimo cha joto la kichwa kisipotally na joto la mkono, safari yako kuingia Total inaishia hapo. Ukiwa fit, unaingia hatua ya tatu.
- Ukimaliza unapewa hand gloves unavaa, kisha unapewa face mask unavaa.
- Hatua ya nne ni kupewa escort, haushiki chochote, milango ni kufunguliwa ndipo unaingia ndani na kumsubiri mwenyeji wako kwenye chumba maalum sanitized. Unakaa kwenye kiti, mwenyeji wako akifika, anakaa umbali wa mita 1.5, kama umeleta barua yoyote au kitu chochote kinapokelewa na kupotishwa kwenye sterilisar tray ndio inapokelewa kama barua za ubalozi wa Marekani au UK!.
- Ukimaliza yule askari aliyekuleta anakusindikiza hadi pale nje, zile gloves na face mask ni zako, nje kuna dust bin ya kukanyaga inafunguka unavua na kutupa, au unaweza ku sepa nazo.
Huu ni utaratibu mzuri sana, sijui ile mashine inauzwa kiasi gani, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu angetangaza public corporations zote zinazotembelewa na watu, zaidi ya kunawa mikono, zinunue mashine hizo na asubuhi wafanyakazi wote wapimwe, na wageni wote wapimwe, wapewe face mask bure na zinunue sterile cabinets barua zote ziwe sterilised kabla ya kupokelewa.
Najua it's a cumbersome procedure lakini kwa wenzetu wanaojali, it's worth to spend little on prevention than much on cure.
Hongera sana Total Tanzania kuonyesha mfano, nadhani kwa sababu hii ni kampuni ya kimataifa, vikampuni vyetu locals, let's learn mambo mazuri kwa wenzetu waliotutangulia, Corona inazuilika.
Paskali
Kila mutu getini anapimwa na kunawa mikono ndio unaluhusiwa kuingia kama ingekua hivyo inchi nzima kwakiasi furani tungezibiti aise.Pascal Mayalla,
Paskali bana, kweli ww ni msukuma, ukiona tukio kama linakukosha na kukupa hamasa mpaka unaona na sisi tujue lililokusimsimua! Ni hivi, hilo uliloiona hapo Total Ni mbwembwe tu, na wala haliwezi kufanya kazi kwenye mikusanyiko mikubwa, ambako ndio kwenye hatari kubwa ya maambukizi.
Pata picha watu watumie mtindo huo kwenye masoko, kisha uone kama kuna litakaloendelea. Anyway, ngoja tukupongeze kwa kwenda kwenye ofisi za total, na si ajabu umevuta chochote ili uje umwage hili promo humu jukwaani.
No ni baada ya wewe kunichongea kwa ma modes, tena wanafanya kazi maroboti, kwa vile imetajwa kampuni ya Total na inafanya biashara ya mafuta, sio kila kitu kuhusu Total ni biashara tuu. Kwenye hoja za uzi huu kuna biashara gani hadi uletwe huku kwa uchumi na ujasiliamali?. Huu uzi ulipaswa uende hoja mchanganyiko.Duuh,umewaambia wakuhamishe nini?Naona wamekupeleka biashara,uchumi na ujasiliamali!
Nimeshtuka,yawezekana wewe jamaa unafanya kazi kama moderator JF!
Hahahahaahaa,mkuu nimecheka sana!Angalia wasikupige ban kwa kuwaita maroboti!😅😅😅No ni baada ya wewe kunichongea kwa ma modes, tena wanafanya kazi maroboti, kwa vile imetajwa kampuni ya Total na inafanya biashara ya mafuta, sio kila kitu kuhusu Total ni biashara tuu. Kwenye hoja za uzi huu kuna biashara gani hadi uletwe huku kwa uchumi na ujasiliamali?. Huu uzi ulipaswa uende hoja mchanganyiko.
P
Karibu sana, niangalie mwenzio ninavyo jaziwa mafuta
Kila mutu getini anapimwa na kunawa mikono ndio unaluhusiwa kuingia kama ingekua hivyo inchi nzima kwakiasi furani tungezibiti aise.
Hata Hawa NMB BRANCH kurasini hapa uhamiaji ukingia lazima unawe Ndani kna sanitizer za kutoshaWanabodi,
Katika kusaidia kudhibiti Maambukizi ya virusi vya Corona, kukitokea any good practice, lets share ili na wengine waige.
Leo nimetembelea makao makuu ya kampuni ya mafuta ya Total, Total Tanzania, ukifika pale
My Take
- Hatua ya kwanza ni lazima unawe na maji moto tiririka hapo nje na sabuni, wamejenga kabisa sink la kunawia na liko permanent. Wewe hugusi chochote, ukiweka mkono sink lina sense maji tiririka ya moto yanatoka, ukiweka mkono kwenye sabuni sabuni nayo inatoka. System hii niliiona Kempinski na Serena. Ukimaliza unaingia kwenye blow drier kukausha mikono, na kumalizia kwa sanitizer.
- Hatua ya pili baada ya kunawa, unakutana na wahudumu wawili wa kike na kiume, wameshika mashine kama zile la traffic kupimia pombe madereva, unapimwa joto na mashine kwa kukupima maeneo mawili, kwenye paji la uso na kwenye mshipa mkubwa wa damu wa mkono huku umekunja ngumi. Kipimo cha joto la kichwa kisipotally na joto la mkono, safari yako kuingia Total inaishia hapo. Ukiwa fit, unaingia hatua ya tatu.
- Ukimaliza unapewa hand gloves unavaa, kisha unapewa face mask unavaa.
- Hatua ya nne ni kupewa escort, haushiki chochote, milango ni kufunguliwa ndipo unaingia ndani na kumsubiri mwenyeji wako kwenye chumba maalum sanitized. Unakaa kwenye kiti, mwenyeji wako akifika, anakaa umbali wa mita 1.5, kama umeleta barua yoyote au kitu chochote kinapokelewa na kupotishwa kwenye sterilisar tray ndio inapokelewa kama barua za ubalozi wa Marekani au UK!.
- Ukimaliza yule askari aliyekuleta anakusindikiza hadi pale nje, zile gloves na face mask ni zako, nje kuna dust bin ya kukanyaga inafunguka unavua na kutupa, au unaweza ku sepa nazo.
Huu ni utaratibu mzuri sana, sijui ile mashine inauzwa kiasi gani, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu angetangaza public corporations zote zinazotembelewa na watu, zaidi ya kunawa mikono, zinunue mashine hizo na asubuhi wafanyakazi wote wapimwe, na wageni wote wapimwe, wapewe face mask bure na zinunue sterile cabinets barua zote ziwe sterilised kabla ya kupokelewa.
Najua it's a cumbersome procedure lakini kwa wenzetu wanaojali, it's worth to spend little on prevention than much on cure.
Hongera sana Total Tanzania kuonyesha mfano, nadhani kwa sababu hii ni kampuni ya kimataifa, vikampuni vyetu locals, let's learn mambo mazuri kwa wenzetu waliotutangulia, Corona inazuilika.
Paskali
Asante kwa taarifa.Hata Hawa NMB BRANCH kurasini hapa uhamiaji ukingia lazima unawe Ndani kna sanitizer za kutosha
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
No ni baada ya wewe kunichongea kwa ma modes, tena wanafanya kazi maroboti, kwa vile imetajwa kampuni ya Total na inafanya biashara ya mafuta, sio kila kitu kuhusu Total ni biashara tuu. Kwenye hoja za uzi huu kuna biashara gani hadi uletwe huku kwa uchumi na ujasiliamali?. Huu uzi ulipaswa uende hoja mchanganyiko.
P
Mkuu Michael Makene, asante nimekisikia, na karibu mitaa hii....wewe ndg nilikua nakukubali Sana kwenye uchambuzi na kuusema ukweli bila kumungunya maneno lakini tokea uende kwenye kamati ya job umekua muoga balaa....simama katika ukweli itetee nchi yako washauri watawala bila kuogopa Kama watanuna hii taifa ni lakwetu sote mlipuko ukizidi tutaumia sote....waandishi nguri Kama wewe ndio wakati wenu wakupaza sauti mliponye taifa Kama mnashindwa kukemea muonapo kusua sua kwa wenye dhamana basi toeni elimu kwa jamii namna ya kujikinga na maambukizi
Wandugu, hapa nafanya tuu follow up ya Corona nikipitia kujikumbusha niliwahi kuandika nini au kusema nini kuhusu Corona na hiki kinacho endelea sasa. Corona is real tusifanye masihara, tujilinde kwa kufuata ushauri wa kitaalamu.Wanabodi,
Katika kusaidia kudhibiti Maambukizi ya virusi vya Corona, kukitokea any good practice, lets share ili na wengine waige.
Leo nimetembelea makao makuu ya kampuni ya mafuta ya Total, Total Tanzania, ukifika pale
My Take
- Hatua ya kwanza ni lazima unawe na maji moto tiririka hapo nje na sabuni, wamejenga kabisa sink la kunawia na liko permanent. Wewe hugusi chochote, ukiweka mkono sink lina sense maji tiririka ya moto yanatoka, ukiweka mkono kwenye sabuni sabuni nayo inatoka. System hii niliiona Kempinski na Serena. Ukimaliza unaingia kwenye blow drier kukausha mikono, na kumalizia kwa sanitizer.
- Hatua ya pili baada ya kunawa, unakutana na wahudumu wawili wa kike na kiume, wameshika mashine kama zile la traffic kupimia pombe madereva, unapimwa joto na mashine kwa kukupima maeneo mawili, kwenye paji la uso na kwenye mshipa mkubwa wa damu wa mkono huku umekunja ngumi. Kipimo cha joto la kichwa kisipotally na joto la mkono, safari yako kuingia Total inaishia hapo. Ukiwa fit, unaingia hatua ya tatu.
- Ukimaliza unapewa hand gloves unavaa, kisha unapewa face mask unavaa.
- Hatua ya nne ni kupewa escort, haushiki chochote, milango ni kufunguliwa ndipo unaingia ndani na kumsubiri mwenyeji wako kwenye chumba maalum sanitized. Unakaa kwenye kiti, mwenyeji wako akifika, anakaa umbali wa mita 1.5, kama umeleta barua yoyote au kitu chochote kinapokelewa na kupotishwa kwenye sterilisar tray ndio inapokelewa kama barua za ubalozi wa Marekani au UK!.
- Ukimaliza yule askari aliyekuleta anakusindikiza hadi pale nje, zile gloves na face mask ni zako, nje kuna dust bin ya kukanyaga inafunguka unavua na kutupa, au unaweza ku sepa nazo.
Huu ni utaratibu mzuri sana, sijui ile mashine inauzwa kiasi gani, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu angetangaza public corporations zote zinazotembelewa na watu, zaidi ya kunawa mikono, zinunue mashine hizo na asubuhi wafanyakazi wote wapimwe, na wageni wote wapimwe, wapewe face mask bure na zinunue sterile cabinets barua zote ziwe sterilised kabla ya kupokelewa.
Najua it's a cumbersome procedure lakini kwa wenzetu wanaojali, it's worth to spend little on prevention than much on cure.
Hongera sana Total Tanzania kuonyesha mfano, nadhani kwa sababu hii ni kampuni ya kimataifa, vikampuni vyetu locals, let's learn mambo mazuri kwa wenzetu waliotutangulia, Corona inazuilika.
Paskali