Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Hilo Taifa bila Mungu si kitu usijidanganye kufunga Makanisa na Misikiti yaani shetani anaaaacheeekaIssue sio upagani bana
Sisi tunaangalia taifa letu hiyo mikusanyiko katika nyumba za ibada izuliweeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafananishaje ulaya na Tanzania(Africa) kuna vitu vya ulaya uwezi ku apply kwetuNdo maana Ulaya Wamefanya Total Lockdown...kila kitu kimefungiwa, hapa hatuwezi?
Mkuu sijawahi sikia hili la mashekh kukusanya watu na kuwapa utajili tupe mfano ni Shekh gani?Umesahau na mashehe wanaokusanya watu ili kuwapatia utajiri na Mambo mengine, hao vipi hawahitaji kukemewa?
Nafikiri unatania haupo serious.Siyo lazima muambiwe msipande daladala.
Jiongezeni wenyewe.
Za kwenu mchanganye na za wengine.
Mtu kama unaona vipi...usipande daladala na mwendokasi.
Tembeeni. Endesheni baskeli, bodaboda, bajaji.
Pandeni maguta.
Nafikiri unatania haupo serious.
Fikiria mama anayetegemea aendeshe maisha ya wanae kwa kuuza samaki, atoke pugu hadi ferry afike pale saa kumi na moja alfajiri kwa miguu, arudi na ndoo ya samaki kichwani 😎
[emoji23][emoji23]Sloan,hili ni janga!Siloam washasema wameifuta Corona kwenye uso wa dunia
Akili yako ndogo, huu ugonjwa unahitaji collective measures si roborobo hata we unayechukua tahadhari utakupata tu kama utakuwa umezungukwa na wanaoupata kila siku..Siyo lazima muambiwe msipande daladala.
Jiongezeni wenyewe.
Za kwenu mchanganye na za wengine.
Mtu kama unaona vipi...usipande daladala na mwendokasi.
Tembeeni. Endesheni baskeli, bodaboda, bajaji.
Pandeni maguta.
Unasoma wap mrembooVyuo mbona hajasema utaratibu uwe vipi, lol naogopa Hadi Basi mieee [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili yako ndogo, huu ugonjwa unahitaji collective measures si roborobo hata we unayechukua tahadhari utakupata tu kama utakuwa umezungukwa na wanaoupata kila siku..
The only solution ni kuzuia all forms of gathering tena kwa kutumia nguvu na sheria kali..
Italy for now ukikutwa tu nje ni murder case..
Unaona kinachofanyika ufaransa ama hata spain, hata hapo Rwanda jirani.. Corona ndo hiyohiyo huyu si mtoto wa corona guys
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesema waweke utaratibu kwenye.usafiri wa Umma, ungekuwa hata na akili nusu ya unazopaswa kuwa nazo ungeelewa mantiki ya hoja yangu
Imewaokoa wale vijana, kule walikuwa salama zaidi maana serikali imeplay part yake kuwalinda watu wakeKama vile ilivyowapa $0 wale wanafunzi wa kibongo walio stuck kule china.
Kitimoto maelekezo yapoje? Tuendelee kula au mpaka sanitizer?Hamia Tegeta kwa muda....
How.. Wewe ni mtumishi wa umma bado serikali inakuitaji uende kazini utakutana na watu ambao in one or another wanaweza kuwa wameambukizwa coz u never know route za kila MTU.. Hapo unaavoid vipi.. Hiyo individual effort inakuokoa vipi in that situation..Collective measures ni pamoja na individual initiatives na individual effort.
When each individual plays his/ her part, it can be done.
Stop waiting for the government to do everything for you.
That’s dumb.