#COVID19 Vita dhidi ya Corona: Rais Kagame atoa mfano kwa raia wake

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Wakati dunia ikapambana na janga la Corona mambo mengi yanatokea.

Rais Paul Kagame wa Rwanda amekuwa kiongozi wa ukweli baada ya kujitikeza kupata chanjo ya corona ili kuwapa imani wananchi wake nao kupata hiyo chanjo.

Hongereni sana ndugu zetu Wanyarwanda kwa kupata kiongozi wa kujivunia.

 
Acha unafik mkuu kile kipindi cha lockdown mwaka jana nyie si mlikuwa mnashangiliaa leo unaleta upuuzi hapa.
 
Nilisoma sehemu kuna viongozi walikuwa wabishi wa jitihada sasa hawawezi kufanya kitu wanatawazwa na manesi wa nchi nyingine. Tusimbishie Mungu wala sayansi maana Mungu katupa uwezo wa kufikiri tusimjaribu.
 
Acha unafik mkuu kile kipnd cha lockdown mwaka jana nyie si mlikuwa mnashangiliaa leo unaleta upuuzi hapa
Tulia mjifunze kwa wenzenu wapo wanadunda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…