Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wakati dunia ikapambana na janga la Corona mambo mengi yanatokea.
Rais Paul Kagame wa Rwanda amekuwa kiongozi wa ukweli baada ya kujitikeza kupata chanjo ya corona ili kuwapa imani wananchi wake nao kupata hiyo chanjo.
Hongereni sana ndugu zetu Wanyarwanda kwa kupata kiongozi wa kujivunia.
Rais Paul Kagame wa Rwanda amekuwa kiongozi wa ukweli baada ya kujitikeza kupata chanjo ya corona ili kuwapa imani wananchi wake nao kupata hiyo chanjo.
Hongereni sana ndugu zetu Wanyarwanda kwa kupata kiongozi wa kujivunia.