#COVID19 Vita dhidi ya Corona: Rais Kagame atoa mfano kwa raia wake

#COVID19 Vita dhidi ya Corona: Rais Kagame atoa mfano kwa raia wake

Mimi siwezi kubali Raisi wangu ageuzwe test tube ya dawa ya chanjo ya Corona kwenye early stage asubiri awe wa mwisho huko

Hata wafanyakazi wa sekta ya afya hawatakiwi kuanza kwanza wasubiri waone waliowachanja kwanza
Biden,Obama,Bush etc wamechomwa chanjo then anakuja msela wa pale kwa mfuga mbwa analeta ubishi.

Ndio dunia yetu hio.
 
Biden,Obama,Bush etc wamechomwa chanjo then anakuja msela wa pale kwa mfuga mbwa analeta ubishi.

Ndio dunia yetu hio.
Wao wananadi bidhaa yao una uhakika gani kama walichanjwa chanjo ya Corona ? Picha tu ilikurlthibitishia kuwa wamechoma? Kuwa ohh nimeona video!! mfano uko mahakamani ukaulizwa una uhakika kuwa biden na Trump.walichoma? Utapeleka picha mahakanani? Wale viongozi wa juu hawawezi ku risk kiasi hicho lakini walitaka bidhaa yao ianze ku roll out sokoni ianze kuingixa pesa ndio wakafanya lile igizo
 
Wao wananadi bidhaa yao una uhakika gani kama walichanjwa chanjo ya Corona ? Picha tu ilikurlthibitishia kuwa wamechoma? Kuwa ohh nimeona video!! mfano uko mahakamani ukaulizwa una uhakika kuwa biden na Trump.walichoma? Utapeleka picha mahakanani? Wale viongozi wa juu hawawezi ku risk kiasi hicho lakini walitaka bidhaa yao ianze ku roll out sokoni ianze kuingixa pesa ndio wakafanya lile igizo
Nigga hebu tuliza wenge,malizia kula utumbo na miguu ya kuku hapo then shushia na ile juice ya kabudi kutoka Madagascar afu jilalie zako.

Haya mambo sio ya size yako.
 
Kuna utaratibu wa chanjo kama hizo ulizonazo mwilini. Wtanzania wote waliozaliwa kuanzia miaka ya 70's wana chanjo
Kwa hiyo kila baada ya miaka kadhaa ni lazima kuwekewa muhuri?
Kwa hiyo ndio kusema
What goes around comes around!!!!!!
This is really Neo colonialism iliyosemwa na Trump
 
Kwa hiyo kila baada ya miaka kadhaa ni lazima kuwekewa muhuri?
Kwa hiyo ndio kusema
What goes around comes around!!!!!!
This is really Neo colonialism iliyosemwa na Trump
Bila chanjo polio kutoka kwa mabeberu sasa hivi ungekua mlemavu maana polio ingekua imeshafanya yake.
 
Mataputapu wetu anapigania maisha yake saa hizi.Huwezi kupingana na sayansi ukawa salama,never!
Dogo hela ina nguvu kuliko Sayansi,watu wenye hela ndio wako nyuma ya tafiti za hizi chanjo na madawa.
 
Mimi siwezi kubali Raisi wangu ageuzwe test tube ya dawa ya chanjo ya Corona kwenye early stage asubiri awe wa mwisho huko

Hata wafanyakazi wa sekta ya afya hawatakiwi kuanza kwanza wasubiri waone waliowachanja kwanza
Small mind and thinking capacity. Kila roho itaonja mauti. Mungu hajui rais, wewe ndio unajua hilo.
 
Huyu wa kwetu anayeuwa Mamilioni kwa kuzuia chanjo huyu ndio dikteta
Jibu swali Kagame leo hii amekuwa si Dikteta tena kwa sababu ya kuleta chanjo za corona kwa wananchi wake?
 
Nakuuliza kuhusu Kagame unaniambia kuhusu mtu mwengine,mimi nataka kujua Kagame sio Dikteta tena?
Nani kasema Paul "skinny" Kagame ni Dikteta mimi sijawahi kusema sasa tafuta aliyosema
 
Nani kasema Paul "skinny" Kagame ni Dikteta mimi sijawahi kusema sasa tafuta aliyosema
Kwahiyo tatizo ni wewe tu kusema au huyo mtu kuwa na hivyo vigezo vya kuitwa dikteta? kwahiyo kwa sababu mimi sijasema kuwa Magufuli ni Dikteta ndio anakuwa si Dikteta kwa sababu sijasema?

Sasa nakuuliza uniambie Kagame ni Dikteta au sio Dikteta? nijibu kwa unavyomuona wewe maana wengine wanamwita Dikteta yupo kundi moja na Museveni na Magu.
 
Kwahiyo tatizo ni wewe tu kusema au huyo mtu kuwa na hivyo vigezo vya kuitwa dikteta? kwahiyo kwa sababu mimi sijasema kuwa Magufuli ni Dikteta ndio anakuwa si Dikteta kwa sababu sijasema?

Sasa nakuuliza uniambie Kagame ni Dikteta au sio Dikteta? nijibu kwa unavyomuona wewe maana wengine wanamwita Dikteta yupo kundi moja na Museveni na Magu.
Dikteta ni Magufuli kwenye ukanda huu wa Mashariki
 
Back
Top Bottom