Respect,watu tulivyokuwa tunasema hii vita ni ngumu tulitarajia lazima watajitokeza wengi kumpinga Makonda.Angalia jinsi Polisi,Mwigulu walivyokuwa kimya
Kukaa kimya sio kwamba hawatendi......hawa wanaweza kuwa bora 100 times makonda
Kelele na vita ya dawa za kulevya wapi na wapi? = maji na mafuta ya taa
kelele nikuwaepusha wahusika wajifiche na kuficha ushahidi